Pamoja na kuwa mmepima ugonjwa hauonekani, yupo ambaye anaweza kuona tatizo la mumeo na si kuona tu hata kutibu. naye ni Mungu tu, muombee wewe fanya maombi ya kufunga hata kama yeye hana imani, imani yako inaweza kumponya mumeo, lakini pia ukiwa unaendelea kufanya hivyo muombe akubali umpeleke kwenye maombi.
Mungu anaweza dada yangu. kuwa mjasiri na kukukataa magonjwa kwa mwezio. kumbuka matatizo kama hayo siyo fungu lako alilokuandalia mwenyezi Mungu. ni vita vya ibilisi tu. fanya maombi dada na kuwashirikisha baadhi ya watu wa MUNGU.
POLE