Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Mnaumiza kichwa tu, mchaga na mapishi wapi na Yaani
mmakuwa
Hapana dear[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kawaida tu kwanini asuse wakati mi nimepika!Itakuwa wako umemkanyaga bina.
Mwanaume yeyote hawezi kuvumilia kufanyiwa hivyo[emoji1787][emoji1787]
Utatuponza wewe[emoji23][emoji23][emoji23]
Oh...ndo maana pole Sana dearmmakuwa
Its ok. Thou nimecomment kulingana na hii thread. Sio rahisi mtu kuanza kupitia kila thread ya nyuma. Nweiz acha nipitie.Dear pitia thread zake kwanza kuhusu uchumba mpk ndoa
Ndo ukweli huoYaani wewe
Wachagga ndizi wanajuaNdo ukweli huo
Hamna wanachojua mkuu, ndizi wanajua kupika wahaya sio wachaga.Wachagga ndizi wanajua
khakhakhaaa!Maisha ya ndoa kazi sana dadeq
Imajini anayewaziwa hali chakula cha nyumbani ni mtu mzima kabisa
Nimepita kwenye kila thread. Inshort kuna msingi ambao ulishaharibika tangia mwanzo. Nweiz ushaur wangu unabaki palepale. Huyo kuna vifungo vya kwao. Asiposimama kuomba na kila mara akija kuandika humu ataula wa chuya. Bila kusali atakua anatwanga maji kwenye kinu.Dear pitia thread zake kwanza kuhusu uchumba mpk ndoa
HawajuiWachagga ndizi wanajua
Akusome hapa itamsaidiaNimepita kwenye kila thread. Inshort kuna msingi ambao ulishaharibika tangia mwanzo. Nweiz ushaur wangu unabaki palepale. Huyo kuna vifungo vya kwao. Asiposimama kuomba na kila mara akija kuandika humu ataula wa chuya. Bila kusali atakua anatwanga maji kwenye kinu.
Kumcorner mwanaume vizuri sio kwa kumfatilia. Ni kwa kuomba, macho yatiririke machozi haswa. Kuna miaka ya kuwa prayer machine...actually all years. Maana ukimaliza kuombea mume akakaa sawa, utaanza kuombea mtoto ama watoto.
Hakuna namna tusali tu..maana sina ushauri mwngne. Mi mwenyewe natumiaga akili zangu sana kwenye kutatua shida ama matatizo..lakini nikishakwama mwenyewe najileta kwa baba yangu wa mbinguni kwa toba na kujifanya mjuaji, kujaribu kutatua matatizo yangu mwenyewe.
Am not a pro..nope..but am telling you the atleast easy way out. Kupambana na mtu aliyeumbwa na Mungu afu ibilisi anamuhangaisha sio rahisi. Maana hapo kuna roho ya uzinzi inampelekesha. Marehemu bibi yangu mzaa mama alikua mmakua..miss chuga nifate pm nikwambie character zake na za hilo kabila maana si hekima kuandika hapa. Sina any solution bali kusali! kusali! kusali!
Nimepita kwenye kila thread. Inshort kuna msingi ambao ulishaharibika tangia mwanzo. Nweiz ushaur wangu unabaki palepale. Huyo kuna vifungo vya kwao. Asiposimama kuomba na kila mara akija kuandika humu ataula wa chuya. Bila kusali atakua anatwanga maji kwenye kinu.
Kumcorner mwanaume vizuri sio kwa kumfatilia. Ni kwa kuomba, macho yatiririke machozi haswa. Kuna miaka ya kuwa prayer machine...actually all years. Maana ukimaliza kuombea mume akakaa sawa, utaanza kuombea mtoto ama watoto.
Hakuna namna tusali tu..maana sina ushauri mwngne. Mi mwenyewe natumiaga akili zangu sana kwenye kutatua shida ama matatizo..lakini nikishakwama mwenyewe najileta kwa baba yangu wa mbinguni kwa toba na kujifanya mjuaji, kujaribu kutatua matatizo yangu mwenyewe.
Am not a pro..nope..but am telling you the atleast easy way out. Kupambana na mtu aliyeumbwa na Mungu afu ibilisi anamuhangaisha sio rahisi. Maana hapo kuna roho ya uzinzi inampelekesha. Marehemu bibi yangu mzaa mama alikua mmakua..miss chuga nifate pm nikwambie character zake na za hilo kabila maana si hekima kuandika hapa. Sina any solution bali kusali! kusali! kusali!