mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,005
- 20,805
Sometimes nafsi inapingana na ukweli,Ukweli mchungu haswa. Kwa wanaume siwezi kuwabishia[emoji23] Mungu anipe busara tu
Huku moyoni unaumia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sometimes nafsi inapingana na ukweli,Ukweli mchungu haswa. Kwa wanaume siwezi kuwabishia[emoji23] Mungu anipe busara tu
Kubwa ni hili ndugu yangu.Pray for him .
Sema huenda ni malezi aliyokulia hawakuwahi kuchangamana na kufanya sharing. Kila mtu ana kitu chake so hajazoea kutoa vya kwake.Umeongea vyema sana kaka angu. Ntatafuta tena neno lenye busara nimwambie kwamba huyu ni mtoto. Amlee tu kama mwanae
Umenena hapo kwamba kuna watu hawana experience kuishi na ndugu, sasa maisha yetu ya kiafrica haya kweli tuta avoid? Utaweza kuishi bila watu ndani? Kwamfano mmepata watoto ndani ya nyumba mnaenda kazini mnamuacha na mtu baki akimdhuru nani atatetea? Kidogo akiwa na ndugu anakua na uoga flani.Lazima uelewe, binadamu tumeumbwa tofauti, hata kimtazamo pia. Unachopenda wewe siyo mwingine apende.
Kuna watu kuishi na ndugu, wanaona ni mzigo usiobebeka. Huenda ni wachoyo, hawajawahi ishi familia kubwa.
Hebu mpeleke hostel huyo mdogo wako, awe anapita kuwasalimu tu.
U slay queen siwezi kukataa sana ila akirudi toka chuo lazima afanye kazi kama kuna vyombo ataosha. Katika malezi ya mama yetu huyu mtoto amelelewa na anapiga kazi vizuri tu. Lakini angekuwepo ndugu yake anafanya hivyo alafu mimi nakuwa na gubu angekubali?Mtoe hapo nyumbani, mpangie chumba au mlipie hostel !
Usikute unalalama hapa ukute mdogo wako Ni type zile za vitoto vya chuo vimekaa kivivu vivu tu,,,, mda wote simu/tv , hapa muda na Kaz ndg ndg za hm mfano usafi,,,
Au ukute vile vi-slay queen kila weend ana birthday kwa rfk zake,,,,
Jaribu kum-shape vzr !
Mume hawezi kulalama ovyo Kuna shida, au alishamtaka akamnyima, dogo anaogopa kukuambia ili asivunje ndoa !
Best option mtoe hapo
Angekuwa pisi Kali hayo yote Wala usingeyaona
Unamuonea sana mumeoNi pisi kali aisee. Mzuri mno
Sawa naomba kukuliza hili swali. Kabla ya kumleta binti, hapo nyumbani Je ulishauriana na mume wako? Alikubali? Ama ulifanya maamuzi mwenyewe ya kumleta bila kumshirikisha mumeo?Umenena hapo kwamba kuna watu hawana experience kuishi na ndugu, sasa maisha yetu ya kiafrica haya kweli tuta avoid? Utaweza kuishi bila watu ndani? Kwamfano mmepata watoto ndani ya nyumba mnaenda kazini mnamuacha na mtu baki akimdhuru nani atatetea? Kidogo akiwa na ndugu anakua na uoga flani.
Hostel amekosa kabisa na kumwachia kupanga ni ngumu binti kumwacha akapange wakati nyumbani papo hata kwa wazazi tu si itakua ajabu
Umri amevuka, nyumbani pa kuishi papo ni wa kumwambia tu rudi nyumbani, sasa namwambiaje? Mimi ningefanyiwa hivyo na hii akili yangu nisingekaa kuja kusahauKama mdogo wako kavuka umrivwa miaka 18 tafuta chumba umpangie awe anakaa uko ila kama yuko chini ya umri uwo mpeleke kwa rafiki au ndugu yako yeyote mana umesema kwenu baba mkorofi fanya hivyo..
Namuonea huruma kupanga na mimi sina uwezo wa kumpangia, hana kazi si ndo naenda kumuacha aingie kwenye mtego wa mababa wa mjini, ni mzuri so kusumbuliwa lazima ila akiwa chini yangu nammudu nimemwekea hadi mda wa kurudi. Hata kama anaenda sehemu lazima aage kwangu na kwa shemeji yake. Kama wametongozana nikijua ntapata busara kutokea hapo. Acha Mungu anioneshe najipunguzia stress za kuwaza hayoKama mna uwezo kwanini msiruhusu huyo mdogo wako akapange, aishi mwenyewe.
Sio rahisi mtu kumkataa ndgu wa mke/mume lakini kikubwa ni mmoja kati yenu ajiongeze kulingana na dalili zinavoonekana.
Na tatizo hilo nahisi hata mdogo wako analijua coz mtu kama hakupendi mbona unaona tu huyu mtu ananichukia.
Mdogo wako asije akafeli kwa stress za hapo kwako kisa kukazania uonekane mwema kwa ndgu zako.
Tafuta njia mdogo wako akapange ila awe anakuja kuwasalimia mara kwa mara.
Kuna dalili mumeo kakataliwa kama wadau wanavosema. Huko kukaza kichwa ukiwatetea as if wewe ni mungu unaona hadi mawazo yao, sawa endelea kukaza.
Kama mdogo wako Hana muda mrefu ataondoka basi huna budi kumvumilia.Kuhusu kuzaa wala sio kikwazo tuko vizuri. Namrudishaje nyumbani mtoto sasa nawaambiaje? Wakati mimi ndo nilishadadia aje akae huku karibu na chuo. Leo nasema arudi kwasababu gani.
Na kingine mdogo wangu anaweka mambo yake sawa atarudi tu nyumbani ila huo mda wa miezi kadhaa mbona ntakoma mimi. Maana mume kila siku anaibuka na jipya naumia