BILGERT
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 6,534
- 11,011
Unaweza kubadilisha tabia yoyote mkuu. Kumbuka hakuna anaye zaliwa na hasira,chuki wala hofu..vyote unajifunza kulingana na mazingira ama malezi unayo pitia..mwisho inakuwa tabia ambayo inaku control kutoka kwenye subconscious mind..maana huko ndo store ya matabia yote uliyo jifunza..mwisho pia unaweza ku empty hizo takataka zote ukiamua..kuna procedure zake (Meditation)Duh kwa hilo pole sana mkuu.
Kiukweli hiyo ni ngumu sana kumbadilisha huyo mtaalam hapo, sijui kama inawezekana kuibadili tabia ya mtu sina uhakika.
Kupenda na kuchukia ni vitu viwili vipo katika same line but different pole.
Labda kama kuna njia ipo ya kumfanya mtu kupenda kitu anacho kichukia tena anakichukia kitu unconditionally narudia ni ngumu sana.
Mkuu, najua feelings ulizonazo kwa mdogo wako( nina mdogo wangu pia huyu dogo sipendi ataseke kabisa hata nkiambiwa kafanya nini huwa najitahidi kumrekebisha kwa upole sana tofauti na wengine mpaka home wanajua). Lakini kama njia utakazopewa na members zikigoma njia nzuri ni kutowaweka pamoja.
Kutokukaa pamoja itakusaidia wewe zaidi kutokupata stress ndogondogo kama hizo.