Mume wangu kaniambia kwa kuwa nina bima niende hospitali mwenyewe

Ni unajipa tu umuhimu kwenye maisha ya mtu ilihali huenda huna huo umuhimu.

Mkuu kosa la jamaa ni lipi sasa hapo?? mbona unakua Mzigo wa misumari kwa ndugu yetu.

Mtu anawahi harakati zake anakupa hela uende hospital unalalamika,,, asingekupa pia ungelalamika...nini Jema kwako???

Mmeo ni mtu mzima,, kutokana na hali yako ameona unaweza kwenda mwenyewe,,, ungekuwa wa kuhitaji msaada angefanya hvo pia akupeleke.....nini sasa unalia lia humu ndugu.
 
Kwahiyo unataka aache kwenda kazini akusindikize hospitali!?

Hebu kuwa serious na maisha
 
Mbona kuna wanawake wengi wanaenda wenyewe hospitalini na wako kwenye ndoa, na ndoa zao ziko freshi tu,punguza kudeka haya maisha muda mwengine ni kupambana, mama hospital na kule mzee anatafuta pesa, maisha yanakuwa matamu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…