Nas Jr
JF-Expert Member
- May 15, 2018
- 7,920
- 8,675
Ni unajipa tu umuhimu kwenye maisha ya mtu ilihali huenda huna huo umuhimu.
Mkuu kosa la jamaa ni lipi sasa hapo?? mbona unakua Mzigo wa misumari kwa ndugu yetu.
Mtu anawahi harakati zake anakupa hela uende hospital unalalamika,,, asingekupa pia ungelalamika...nini Jema kwako???
Mmeo ni mtu mzima,, kutokana na hali yako ameona unaweza kwenda mwenyewe,,, ungekuwa wa kuhitaji msaada angefanya hvo pia akupeleke.....nini sasa unalia lia humu ndugu.
Mkuu kosa la jamaa ni lipi sasa hapo?? mbona unakua Mzigo wa misumari kwa ndugu yetu.
Mtu anawahi harakati zake anakupa hela uende hospital unalalamika,,, asingekupa pia ungelalamika...nini Jema kwako???
Mmeo ni mtu mzima,, kutokana na hali yako ameona unaweza kwenda mwenyewe,,, ungekuwa wa kuhitaji msaada angefanya hvo pia akupeleke.....nini sasa unalia lia humu ndugu.