Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
kwakweli😂😂Mwendokasi tukamalizie kucheka jinsi watu wanavyobambiwa na dungadunga [emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwakweli😂😂Mwendokasi tukamalizie kucheka jinsi watu wanavyobambiwa na dungadunga [emoji23][emoji23]
Mmh,nimesoma mpaka nikasoma lakin sikufanikiwa kufika mwisho
kwakweli[emoji23][emoji23]
Ulivyo na akili mingi hili umeamini?😂😂😂 pole mtoa mada ilikuwa hasira hata usiogope
Nje ya mada nakushauri usipende kutusimulia kila kitu hasa kinachohusu mahusiano yako nk kumejaa wachawi humu hakufai,
wengineo asanteni kwa kunichekesha aisee
Sijui nikutukane au basi
😂😂😂Hebu niache mieUlivyo na akili mingi hili umeamini?
Asante dear🙏.😂😂😂 pole mtoa mada ilikuwa hasira hata usiogope
Nje ya mada nakushauri usipende kutusimulia kila kitu hasa kinachohusu mahusiano yako nk kumejaa wachawi humu hakufai,
wengineo asanteni kwa kunichekesha aisee
Nilikwambia juzi jiweke bize na kumuhudumia shem naona hukunielewa,Asante dear🙏.
Nikirudia tena labda nimelogwa mkuu🤣.
Kweli kabisa usemavyo.Ni cocktail ya wachawi mixer wenye wivu plus kuna midume ya ID za kike niliitibua juzi fulu kuniwangia hapa🤣.
Hapa hakuna mlokole wala msoma bible study na hiyo ndoa ni usanii hahahahaakatuni sio nzuri maana kuna saa huwa anakua kama anabong'oa halafu anatikisa wowowo
Kweli JF usichukulie serious unaweza kufa kabla ya siku zako...Hawa watoto ni mapacha, wa kike na wa kiume na ni watundu kishenzi
Watu wametongozeana mtandaoni, wameachana mtandaoni, kesi za mahusiano mtandaoni. Dah! Is not fairIlikua hatari kweli damu mingimingi ili mwagika aiseeh! IamBrianLeeSnr alishia kupakwa shombo sana 🤣🤣🤣 Ila haikuwa na namna...Mlokole aka chukua jiko...🤣🤣🤣 kumbe mlokole ni shetani hahahaaa....
Mama wawili alishatangulia mbele za haki dear.Ongea vizuri na mama wawili anajua kila kitu
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
usijali twende ntalipa zote na yako😂Nauli unayo lakini jirani? [emoji23][emoji23]
usijali twende ntalipa zote na yako[emoji23]
Nakuheshimu.Hapa hakuna mlokole wala msoma bible study na hiyo ndoa ni usanii hahahahaa
Kweli JF usichukulie serious unaweza kufa kabla ya siku zako...
NB: Ewe ndugu mwandishi kwa hali ya huu mwandiko wewe ni msanii tena unastahili Phd ya uandishi wa frictions stories kama hizi... IamBrianLeeSnr akirudi akukute umebadili hiyo avatar yako na Identity yako wewe ni wakiume sio kwa utunzi huu 🤣🤣🤣
Nimerudia kusoma hii coment yako mkuu.Nilikuambia mapema ulikosea kuleta ule uzi kia umepata mume hapa jf!!
Ulikaribisha vita kubwa SANA!!!
BADO unasafiri mama safari bado ndefu!!
Mungu akubariki!
Inashangaza sanaHuo muda wa kuandika hizo ESSAY mnaupata wapi?
Watu wametongozeana mtandaoni, wameachana mtandaoni, kesi za mahusiano mtandaoni. Dah! Is not fair