🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mitandao sehemu ya kupunguza stress sio kila kitu kina uhalisia! Humu kila mtu ana kazi nzuri lakini ilivyokuja sensa kila mtu anaulizia jina lake km limechaguliwa? [emoji23][emoji23][emoji23]
Tena wale waliokuwa wakurugenzi yaani full drama
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
mambo ni mengi aisee 😂😂Jirani acha tu nilicheka tena huyo mtu alisema pm yuko USA [emoji23][emoji23][emoji23]
Nikajua changamoto ya afya ya akili imejaa bongoland
wizzle kua na amani jamani🤗,,,me niko jf kuenjoy tu hapa.....usinichukulie serious hivyo kipenziIla wewe!
Umejua kuni suprise aisee!
Wengine nimeweza kuwadharau ila kwako nimeshindwa "wizo"🤣
Alifariki Kwa ugonjwa au kipigo?Mama wa watoto amefariki mkuu.
Naomba uniambie nawezaje kumbadilisha?
mambo ni mengi aisee [emoji23][emoji23]
ahahah😂😂😂😂😂Humu changanyikeni jirani [emoji23][emoji23]
Nikamuuliza za USA ndio umerudi kulamba teuzi za sensa?
Kwani bado hujaizoea jf kipenzi 🤔🤔Poa "wizo"
ahahah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
sio mchezo,,,mtu anaona bora ajifariji tu kwa staili hiyo atafanyaje sasa🤷♀️🤷♀️🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wamevurugwa na maisha
Aliugua dear🙏Alifariki Kwa ugonjwa au kipigo?
Mimi/baba WA watoto wangu tunaishiaga kufinya tu au kakofi kamoja..Kwa mtoto
Mtu anaweza kupiga mtoto mda wooote huo ni MUUAJI
Wewe atakuua
Kwani bado hujaizoea jf kipenzi [emoji848][emoji848]
sio mchezo,,,mtu anaona bora ajifariji tu kwa staili hiyo atafanyaje sasa[emoji2368][emoji2368][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
yeah ni kweli,, ukiwaskiliza wanaJf mbona utashindwa kula maana akili zao zenyewe kama za jirani yangu hapa...hatueleweki tuko upande gani😂😂Humu km una roho nyepesi unatelekeza I’d mimi nilikaza kwenye uzi wangu mpk wengine tumekuwa mabest ss hivi
maisha jirani 😂Ndio aseme yuko USA wakati anakaa kwa mama kibonge [emoji23][emoji23][emoji23]