Lovie Lady hivi sio yule bidada[emoji848]?au basi
Sijaomba atukanwe mpendwa.
Kama una ushauri toa ila ukimtukana ujue umenitukana mimi.
Shindwaa
hivi hili suala linawezekanaje,,, me mbona huwa siwezi kujitekenya na kucheka mwenyewe jamani
😃😃🤐🚶♀️🚶♀️🚶♀️Kumbe sio ke?why this
wanakera sana,,, halafu anahisi watu hatumjui kumbe kitambo sana tunamchora tu
Kuna mabalaa humu aiseee daah.Yaani humu
Tupo wenginimechoka mim sion chakuandika ata
Hamna tatizo kaka amani sana [emoji4]Kwani kuna tatizo nikiwa cocastic [emoji2222][emoji2222]
hili lina I'd mbili za kiume halafu ni very known.....alipigwa bani kipindi flan hivi [emoji41]