Mume wangu mtarajiwa ni mwanaume katili

Status
Not open for further replies.
Juzi tu ulitoka kufanya mapambio. Miksa kumchinjia mwanangu baharini... Damu zote zikachanganyika na maji so hakuna USHAHIDI.
Leo hii umerudi? . Clepatina mapenzi ya Kila kitu kuweka mitandaoni sio mapenzi
Ilikua hatari kweli damu mingimingi ili mwagika aiseeh! IamBrianLeeSnr alishia kupakwa shombo sana 🤣🤣🤣 Ila haikuwa na namna...Mlokole aka chukua jiko...🤣🤣🤣 kumbe mlokole ni shetani hahahaaa....
 
Mtoto wa kiume lazima umnyooshe mapema na inavyoonekana kwa aina ya malezi yako,tayari umeshamuharibu,ila hicho kipigo cha mbwa koko kinaweza kumrudisha mstarini
Hajaharibika mkuu.
Na alikua hataki kufanya hicho kitendo.
Na pia siwez kuwa nimemuharibu sbb hawajakaa na mim muda mrefu.

Yes kwa kile kipigo hawez kurudia tena kwa kweli
 
Subiri kuuliwa au kutobolewa macho tu hapo! Mgonjwa bwana ako
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…