Mume...your wife is calling you!

Mume...your wife is calling you!

baada ya kuchoka usingle mother....Nimeona is not funny....Nahitaji mume jaman.....

08/09...Natimiza 29..Kimo f 5.5....Primary teacher...Mtoto mmoja....am blackbeauty......Mcheshi na vurugu nyinginyingi....Ha ha haaa.
Ninayemwitaji....Awe mwajiriwa...Aliyejiajiri au mfanyabiashara na mwenye uhitaji wa kuoa kweli.Umri...29...40.azidi f5.5....Anyngoz.......Akiwa anaishi...Mbeya,Iringa,morogoro...Dsm....Itakuwa kheri coz huko nauli naziwezea kipind hki cha magu.

Nina mtoto....So ukipenda ua na boga lake mpendwa.
Testing inaruhusiwa???
 
baada ya kuchoka usingle mother....Nimeona is not funny....Nahitaji mume jaman.....

08/09...Natimiza 29..Kimo f 5.5....Primary teacher...Mtoto mmoja....am blackbeauty......Mcheshi na vurugu nyinginyingi....Ha ha haaa.
Ninayemwitaji....Awe mwajiriwa...Aliyejiajiri au mfanyabiashara na mwenye uhitaji wa kuoa kweli.Umri...29...40.azidi f5.5....Anyngoz.......Akiwa anaishi...Mbeya,Iringa,morogoro...Dsm....Itakuwa kheri coz huko nauli naziwezea kipind hki cha magu.

Nina mtoto....So ukipenda ua na boga lake mpendwa.
Kwenye mtoto sio tabu kwangu ,ila we mbilikimo nittaharibu kizazi changu
 
Mimi napenda sana waalimu. Daah naombeni niende pm jaman nikaongee na mdada huyu.

Ila dada kwa nn uliachana na baba mtoto wako? Na je mtoto wako ni wa kiume au wa kike?
 
Mimi napenda sana waalimu. Daah naombeni niende pm jaman nikaongee na mdada huyu.

Ila dada kwa nn uliachana na baba mtoto wako? Na je mtoto wako ni wa kiume au wa kike?
uliposema uende pm ndo ulikuwa sahihi
 
Back
Top Bottom