Mumeo akiku-cheat na wewe m-cheat

Mwanamke yoyote yule anayeshindana Kuchiti na Mwanaume hana Akili ( yaani ni Mpumbavu wa Kutukuka ) wa Kiwango cha Kimataifa aliyethibitishwa.
 
Mwanamke yoyote yule anayeshindana Kuchiti na Mwanaume hana Akili ( yaani ni Mpumbavu ) mkubwa wa Kiwango cha Kimataifa aliyethibitishwa.

Hivyo ndivyo porojo zetu Wanaume tunazowaambia wanawake.
Ila kwa binti za Tibeli moto lazima uwake lazima hapo mwanamke ataitwa shetani kwani hiyo mwanaume atafurahia shoo.

Uki-cheat unajisikia raha. Mkeo aki-cheat unasema ati yeye ni Mpumbavu πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mwanaume ha-cheat anatimiza wajibu wake wa asili, kiasili mwanamke mmoja hawezi kumtosheleza mwanaume hizi imani za kuletewa zinzokutaka kuoa mke mmoja zisikupumbaze ila mwanamke ku-cheat huo ni umalaya na haikubaliki, mwanaume ukigundua mkeo malaya tandika makofi fukuza ndani ya nyumba
 
Kuna kitu unakitafuta sema nini mwamba?

Wanasema kwa akili sana
 
Tibeli, Waambie bintizo haipendezi mwanamke kuchunguliwa chunguliwa down there na watu tofauti tofauti. Uanawake unaendana na usafi.

Tunatamani iwe tit for tat, ila haina thamani kwetu sisi wanawake . Ila kama mtu hawezi
Kusamehe ni vizuri akalipa kisasi πŸ˜‚πŸ€­
 
Ndio hivyo sasa. Uki-cheat basi elewa mkeo naye anatakiwa akamuliwe
Doesnt go around like that man. We live experience may be that is y we dont talk or write too much.. tatizo ni kwamba vijana mkoo too theoretical..
Street ina namnza zake.

Wanaotombewa hata hawatombei wenzao. Na unakuta wanaotombea wenzao wao hata hawakamuliwi wake zao
 
Kuna kitu unakitafuta sema nini mwamba?

Wanasema kwa akili sana

Mkuu sipendi usaliti.
Uonevu.

Usione kwa nini wanaume tumecharuka hapa, hiyo ndiyo picha halisi ya jinsi wanaume wengi tulivyo. Ubinafsi, uonevu na usaliti.

Kwa wanaume waaminifu wangesema, haina shida kwa sababu wanajua hawawezi ku-cheat. Na kama wata-cheat basi wapewe haki yao kwa matendo yao.
 

Wanawake wote wakiwa kama Watibeli hakuna mwanaume atakayecheat dunia ingalipo.
Kwa sababu wanaume sisi ndio tunaumia zaidi moyoni wake zetu waki-cheat.
Lakini tunawachukulia wanawake rahisi kwa sababu ya porojo kama hizo za usafi.

Huwezi kuwa msafi kwa wanaume wachafu. Labda ujidanganye
 
Na Mimi ukinichiti tu na nikijua Adhabu nitakayokupa ni kukuambia uchague nikufanyie kati ya yafuatayo na ukikataa nakuambia ubebe Virago vyako uondoke kabla sijakuchukulia Maamuzi mengine ya Kimedani na Kishalubela ( Kikatili )

1. Nipite njia yako ya Buza kwa Mpalange
2. Nikungoe Jino bila Ganzi
3. Ningoe Filimbi yako ya Kibaiolojia na Meno
4. Nikubandue kwa Hasira kuanzia Asubuhi hadi Kesho bila Mapumziko ya kuomba kunywa Maji
5. Nimlete Hawara yangu Chumbani kwetu na niwe Nambandua Mubashara huku Ukishuhudia
6. Unichagulie Rafiki yako wa Kike unayemuona ni Mrembo kukuzidi ili Nimbandue na Nizae nae
7. Nikupeleke Kijijini Kwetu ukalime Mihogo, Mtama, Ulezi, Uwele na Mahindi kwa muda wa Miezi Mitatu

Kudadadeki....!!
 
Nitamuomba babu yetu aridhie tujenge sanamu lako juu ya geti letu ...sawa eee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…