Mumeo akiku-cheat na wewe m-cheat

Tibeli hajui what it takes kucheat kwa mwanamke. Ndio maana mwanamke kama hana “njaa/tamaa ya vikubwa” ni ngumu sana kuwa cheater.

Kumlipa mtu haki yake sio ku-cheat.
Ni haki kama haki zingine.
Akitenda wema anapongezwa kwa mema akitenda mabaya lazima mtu awajibishwe kwa kiwango kilekile.

Kumpa mtu haki yake sio kumkomoa
 
Hapo kwenye bold hapo, ndo patamu..!! Ndo wanaposhindwia wengi..!!! Huwezi rudishia ku-cheat kwa anayekufanyia kila kitu..!! Kwamba akiyakata anayokufanyia umeisha..!!
 
Hapo kwenye bold hapo, ndo patamu..!! Ndo wanaposhindwia wengi..!!! Huwezi rudishia ku-cheat kwa anayekufanyia kila kitu..!! Kwamba akiyakata anayokufanyia umeisha..!!

Wanawake wengi ni wanafiki kwa sababu ya umaskini. Kuwa tegemezi. Lakini kanuni hizi zinatumiwa na Wadada wote wanaojiweza.

Huwezi leta dharau alafu ukadai heshima
 
Kuna mwanamke alitaka anipe penzi nikamuuliza vipi utake kunipa penzi penzi na una mume? Alinijibu mume wake anafanya nje na yeye anataka afanye. Yupo mwingine naye alikuja kushitaki kwangu kuwa mume wake ana michepuko mingi na yeye anataka awe nayo mingi ili ngoma iwe droo. Alishitaki kama mume wake anafanya na yeye atafanya. Wanawake wengine waume zao ni wababe wakifanya nje watakabaliwa na kipigo cha kufa mtu
 
Mkuu leo umezingua na hii mada yako.

Alafu tangu lini Asiye oa akamshauri aliye oa?

Wanawake please, kama mnaipenda ndoa yenu msije kufata ushauri wa huyu Mtibeli.

Anataka kuwapotosha ili muachike huko kwenye ndoa zenu alafu mje Michelle humu.

Kumbukeni,

Mwanamke mpumbavu atavunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe ....
 

Suleiman aliyeandika hiyo aya mwenyewe aliandika kuwa aziniye na Mwanamke jana akili kabisa. Alafu yeye akazini na wanawake miatatu
 

Kipigo cha kufa Mtu😆😆
 
Wakumbushe mtaani Wanaume waoaji ni wachache sana, bora watulia na ndoa zao

Binti zako waambie wasome, kisha wafanye kazi za uzalishaji mali. Alafu ndoa itakuja tuu.
Kuliko ndoa ije ya kuumizana.

Wanaume tuache ku-cheat na kama tutafanya kufanya usaliti basi malipo yetu yawe vilevile tulivyofanya.
Hiyo ndio Haki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…