Mumeo akiku-cheat na wewe m-cheat

Wapo wengi si uoe wengi sasa?
Na kabla hujaoa umwambie hiyo wa kwanza kuwa wewe ni wale wa kuoa Wake wengi. Na sio umtapeli.
Unajua maana ya kutapeli wewe? Namtapeli wakati nipo naye na Nampa kitu roho inapenda. Tunachepuka kuongeza upendo.
 
We fata ushauri wa mtoa mada tu, ila mkumbuke Wanaume waoaji wamebaki wachache huko mtaani
Halafu swala la ndoa si pekee Wanawake ni wahitaji wakubwa hata Wanaume mnauhitaji huo.
Ndoa ni furaha kama haipatikani 🤷🏼‍♂️
 
Kwa nini upumbavu wa mtu mwingine unifanye na mimi niwe mpumbavu?
Ndipo ninapokupendea hapo mke mtarajiwa.

Kwa ufupi mtoa mada anasema mwenza wako akitafuta UKIMWI nawewe utafute uupate ili muwe sawa.
 
nilichogundua wanaume tuna umoja sana hii hoja kwa asilimia 80 imepingwa

Tuache uovu.
Tusiwe wamoja kwenye uovu bali tuwe wamoja kwenye Haki.

Umoja wa kijinga.
Watu wanatetea ku-cheat
Unajua maana ya kutapeli wewe? Namtapeli wakati nipo naye na Nampa kitu roho inapenda. Tunachepuka kuongeza upendo.

Ngoja naye a-cheat ili aongeze upendo.
 
Wana wa Israel walikuwa na kanuni moja ikisema Tit for Tat yaani jicho kwa jicho lakini Bwana Yesu alipokuja aliirekebisha na kuiondoa.Naona wewe mwenzetu bado unaiendeleza.
 
Halafu swala la ndoa si pekee Wanawake ni wahitaji wakubwa hata Wanaume mnauhitaji huo.
Ndoa ni furaha kama haipatikani 🤷🏼‍♂️
Umesema sahihi Mkuu, lakini kwa asili sisi Wanaume tunaweza kuvumilia kuibiwa hela, kuliwa nauli, kuibiwa hati ya kiwanja/nyumba n.k

Lakini sio kusalitiwa.

Hata mimi pamoja na kuwa nipo kwenye late 78, lakini siku nisikie Bibi yenu wamemkula kimasihara wale vijana wa rikiboy basi ndiyo siku kila mtu atalala kitanda chake ikiwezekana kila mtu chumba chake 😢
 
Wanawake wengi wanaolewa kwasababu ya ugumu wa maisha, hawana uhakika wa kutoboa haya maisha bila mwanaume.
Aliyesema ndoa ni ajira hakukosea.
Ndoa ni hitaji la kila Mwanamke Mkuu

Ndiyo maana sisi miaka ile ya 1963 hadi 1971 ilikuwa ni ruksa kuoa wake hadi 12, muhimu uweze kuwatunza tu.
 
Huyo jamaa ujuaji ni mwingi mnoo.
 
Kamwe sifundishi hiki.Ntafundishaa maaadili sitaki kuwa mtumwa Jehenamu na sehemu ya laana Kwa vizazi kuanzia kizazi changu mpaka cha tatu duniani maana laana hudumu vizazi vitatu
 
Ndoa ni hitaji la kila Mwanamke Mkuu

Ndiyo maana sisi miaka ile ya 1963 hadi 1971 ilikuwa ni ruksa kuoa wake hadi 12, muhimu uweze kuwatunza tu.
Hujawahi kuwa mwanamke unajuaje hitaji lao?
Ndoa ni huko zamani sio sasa hivi majanga matupu.
Mimi ni mwanamke naona ndoa ni upuuzi sasa unasemaje ni hitaji la kila mwanamke?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…