Mumewe hawezi kusimamisha tena

Sister Penile fracture ni serious issue.
Kwa jinsi story yako ulivo iandika ndo mana watu wanasema ni chai.
Kwaio huyo jamaa ilivo vunjika huko kwa mchepuko wake hamu ikaisha akavaa nguo akaondoka akarudi home, huko home akiombwa shoo hadindishi siku zinapita hadi mkewe akamshtukia ndo akaamua kumkazia ndo jamaa akasema, siku zote hizo hajasikia maumivu wala kupata shida akienda kukojoa, ni ngumu kidogo kuamini labda kama hizo part umeamua kuziruka, na ukifikiria jinsi wanaume tunavojali maumbile yetu ya huku chini, eti siku zote hizo zipite hadi mke wake ndo kampeleka mchizi hospitali, sio kirahisi hivo....ebu iweke story yako vizur penile fracture sio jambo la mchezo ni ajali mbaya sana hio na ina maumivu makali sana, kwanza mzigo una vimba(hemorrhage) alaf lazima utapata shida kukojoa na ukikojoa ni lazima ukojoe damu, na lazima mke wake angeona bruises or lessions kweny ngozi...itengeneze story upya sister.
 
Kuvunjika kwa uume huweza KUTOKEA pale ambapo tendo la ndoa linafanywa huku mwanamke akiwa juu ya mwanaume
 

Even though the penis does not have bones,you can break your penis if you have a penile fracture.
This happens when an erect penis is bent suddenly and with force.It is usually happens during sexual activity.
Na staili pendwa ya MWANAMKE KUWA JUU YA MWANAUME,ileee wanasemaga ikaliee,ooooh baby IKALIE ndo CHANZO kimojawapo Cha uume kuvunjika.na tiba NI operation
 
Kuvunjika kwa uume huweza KUTOKEA pale ambapo tendo la ndoa linafanywa huku mwanamke akiwa juu ya mwanaume
Sister hilo mm najua, vitu vinavonipa wasiwasi nisiamini story yako nimeviandika, soma tena vizur uelewe
 
Usinifafanulie kwa ku-copy and paste from Google haya mambo mi nayafahamu vizur, nahic ww ndo hujanielewa
 
mjegeje ni Elastic material inatanuka na kusinyaa haiwez kuvunjika labda ukate au ioze....
 
Kwa hiyo aliikalia mpaka akaivunja😅😅😅😅hiyo ni vita mura
 
We nani kakwambia hiyo ndio style pendwa ya wanawake?
 
Yaani demu kaikalia kajisahau kajibweteka akihis kakalia kimbweta cha udsm kumbe kakalia ndonga ya msela..... Huyu msela watamtombea mke wake mpaka akili imkae sawa
 
Mwambie asivunje ndoa kama mjegeje mbona kibao tu. Atutafute wenye mijegeje tumuwezeshe aishi vizuri
 
Sasa kama mjegeje umevunjika mshipa na kunyandua hawezi, kuna ndoa hapo? Waungwana huwa tunatoa ruksa mamaa aondoke kwenda kwenye mjegeje mwingine kama hatavumilia changamoto zangu za mjegejo. Ndoa ndio mjegejo, ukiharibika na ndoa inaharibika bibie hatakubali kukaka muda mrefu bila kunyanduliwa
 
Changamoto za kunyandua ziko nyingi kutemeana na umbile la mnyanduliwa. Staili zingine za kunyanduana ni kuumizana na ni hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…