Si kutaka kiki, kwanza tangu lini walokole wasioana wakaishi pamoja.Joel na muna wote wachawi.....haiwezekani mtoto anaumwa ye ampandishe jukwaani kumtolea ushuhuda si umbulula huo
Ni sheitwaaani kaokoka upuuzi gani wakati haelewani na mamake .....kuna kitu kibaya duniani kama kukosana na mama mzazi aliyekuzaaa huku akiwa ana asilimia kumi tu za kubaki duniani ....muna ni mpuuzi
Anawinda rambirambi tu yuleKwani stive nyerere yeye anasemaje
Enzi za bifu na wema,wema alianzisha msemo kila mtu na mama ake ili kumkomoa muna ambae hapatani na mama ake.
Mtu akiokoka anasamehe wote ila aanze maisha mapya ya wokovu,sasa mwenzetu sijui kaokokaje huku bado ana ugomvi na mama ake Na ndugu zake
Kwa nini aweke kiburi...kwa nini amnyime baba mtoto mait ...hiyo maiti INA siri gani mpk aishikirie .....kama alijiona ye anaweza kila kitu kwa nini alikua anamuomba peter pesa za kumlea mtoto matibabu na kila kituHeheheheh kwani msiba ukizikiwa anakopenda mama mtoto kuna shida gani
Daah!so saad!Na huko Nairobi inasemekana kulikuwa na show ya Joel hakuna cha hospital wala nn Joel anampandishaga hiyo mtoto kwenye majukwaa ili atoe ushuhuda kama yeye ndio kamponya na Peter alikataa mtoto wake kwenda huko
Kumbe ule msemo mana yake ilikuwa ni hivi huyu dada ajiangalie jamani tunaishi mara moja tu
Mpuuzi tu yuleHalafu siku zote anapost pics za show yake ya nairobi bada ya mtoto kufa anapost post ya kujiliza kinafki
Peter akashitaki na ikiwezekana muna apate kipigo cha mbwa kokoSi kutaka kiki, kwanza tangu lini walokole wasioana wakaishi pamoja.
Yaan Peter aende mahakamani akamyooshe!!
dada wa Taifa huko keshasema mwili ulitangulia kabla Muna hajafika.
Mi nilijua tu hawezi kubali kirahisi hvyo!
Huyu Dada akili zake sio za hapa[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16]kuna tofauti kati ya ndoa na uhawara ujue
Mtu kama ulizaa ndoani mtoto ni wababa...mama huna haki!haswaa akiwa anamhudumia tena ktk uislam ndo huolewi mpk idhini itoke ubabani kwenu mama hahusiki hata chembe kwenye ndoa
So Muna kwa kua mtoto hata kama wa Castro lakini ulimuaminisha peter kua ni wake mpe haki yake kwa kua alikua anamhudumia!
[emoji2]
Mbona nasikia alikuwa bega kwa bega na mama mtoto kuuguza mtoto jamani mbona mnamuona muna mbaya wakati ndio ama wa mtoto,yaan wanaume wanapewa hadhi isiyo yaoHalafu siku zote anapost pics za show yake ya nairobi bada ya mtoto kufa anapost post ya kujiliza kinafki
Tupo nyuma yake na iwe fundisho kwa wanawake wote wanaotambulisha mtoto mmoja kwa baba wawili.Peter akashitaki na ikiwezekana muna apate kipigo cha mbwa koko
Walikuwa wanamtesa sana mtoto kwa manufaa yao binafsiDaah!so saad!
Ila dogo alikua anaumwa kweli japo hapo walikua wamepanga wafanye show huko huko!
Haya maisha haya!
Ndo hivyo na team muna wakaweka kila mtu na mwanae.
Mbona nasikia alikuwa bega kwa bega na mama mtoto kuuguza mtoto jamani mbona mnamuona muna mbaya wakati ndio ama wa mtoto,yaan wanaume wanapewa hadhi isiyo yao
Sasa waliendaje mtoto anaumwa jamani kumbe tenaBega kwa bega kwenye shows tu mamaa
Sasa waliendaje mtoto anaumwa jamani kumbe tena