Muna ametua Airport bila maiti ya mwanaye

Muna ametua Airport bila maiti ya mwanaye

Huyu Mtu ni nani? Mbona huu msiba umeshika kasi sana kwenye social media? Ni mbongo movie au bongo flava?
 
Singo maza na maslay queen wasiojielewa naona wana hasira na Peter, bwana peter ana haki ya kudai kumzika mwanae,kamlea tokea anazaliwa hadi hapo alipo.
Shangaa halafu linatoka senge moja linasema eti muna aachiwe mtoto ....kama aliamua kukomaa angelea peke yake na kuuguza mpk kusomesha ....sio hela za matibabu atoe pita ye alete upuuzi ....limeomba nauli ya ndege limepanda bus janamke fala lile mweh ....
Sijui mwanamke Toleo gani msiiiiieeeew
 
Kwa nini Serikali ya Dar es Salaam na uongozi wote usiingilie kwa kumuweka ndani Huyo Malaya au wanasubiria mpaka vifo vitokee ndiyo wasemee... Kafara yoyote inayotolewa kwa kuua lazima kuwe na Mtafuruku na Iwe gumzo Nchi nzima. Siri ya Kifo cha huyo Mtoto anakijua Mama yake Mungu hahusiki.. Ila kwa Nini Toka Juzi na matusi yote Hakuna Kiongozi wa serikali kuingia huu upuuzi .. Inakuwaje Mwanamke mmoja anasababisha watu kuwa macho na kushinda kwenye mitandao ya Jamii kufautilia Ujinga.. Nyie Wacha siku hizi baada ya kukosa Nguvu za kiume mumekuwa legelege kiasi Hicho...
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]serious serikali iingilie bila kushirikishwa...jamani kaah!

Hakuna aliyeimbiwa ajishushe nao..nyie watu makini endeleeni na vitu vyenu serious!!
 
Word!
Garama zote zlikua znatolewa na nan
Kuanzia shule,matumiz,mpaka anaumwa
Na bili ya hospital??

Majukumu yote atoe baba mtoto alaf
Leo ufokefoke kuwa msiba upo kwako
Na ww ndo uatapanga pa,kumzka
Mtoto !!


Hayo maji mnayoyafulia chupi
Na kuyapkia chai walahi mtawanywesha
Wajinga wajinga tu
 
Akili pungufu pekee ndio watamtetea muna. Mwanamke ana ugomvi hadi na familia yake akiwemo mama ake aiseeee huyu binti kama alikua anataka kiki kwa msiba wa mwanae basi ameipata tena kubwa tu
Shangaa halafu linatoka senge moja linasema eti muna aachiwe mtoto ....kama aliamua kukomaa angelea peke yake na kuuguza mpk kusomesha ....sio hela za matibabu atoe pita ye alete upuuzi ....limeomba nauli ya ndege limepanda bus janamke fala lile mweh ....
Sijui mwanamke Toleo gani msiiiiieeeew
 
Akili pungufu pekee ndio watamtetea muna. Mwanamke ana ugomvi hadi na familia yake akiwemo mama ake aiseeee huyu binti kama alikua anataka kiki kwa msiba wa mwanae basi ameipata tena kubwa tu
Ni sheitwaaani kaokoka upuuzi gani wakati haelewani na mamake .....kuna kitu kibaya duniani kama kukosana na mama mzazi aliyekuzaaa huku akiwa ana asilimia kumi tu za kubaki duniani ....muna ni mpuuzi
 
Asante Mod's kwa kuniachia huru... Ban inauma.

Dada Munalove, kwanza shikamoo, japo najua utaikataa shikamoo yangu, maana mpaka leo bado unaji-bebisha wakati kidali poo ulicheza na shangazi yangu wa Kimara....Anneth. Shangazi yangu sa hivi mashavu yashachuma kunde....shauriro.

Leo naomba niongee na wewe kidogo kuhusu huu mwenendo wako na unapoelekea.

Da Muna, kwanza mie nakupenda sana...sana, na ni mmoja wa follower wako kule Instagram, japo si kwa user name hii.

Da Muna, unakumbuka jina lako la kuzaliwa, namaanisha lililopo kwenye cheti cha kuzaliwa pale ofisi za RITA? Nakumbuka ulikuwa unaitwa Maimuna Hassan, leo nasikia hutaki hata kulisikia, na unajiita MunaLove, Muna mapenzi....kwa mapenzi gani haswa?....ungekuwa unajua mapenzi na kuhandle bwana usingemkimbia Peter, mumeo wa kwanza, ndio.... kwani hukuwahi kuolewa wewe?....unajisahaulisha? Maana katika page yako kule insta hakuna hata picha moja ya baba mtoto wako....sio vizuri.

Zari yuko na Diamond lakini kwenye page yake picha za Ivan zipo, hata kwenye page ya Dina Marious kamuweka ncha kali wake Ndege japo wamebaki kulea mtoto. Mh. Sugu na matusi yote aliyopata na anayoendelea kupata bado hajafuta picha za Faidha na mwanae Sasha, itakuwa wewe ng'anda wa karatani?

Haya sasa turudi, hivi Kalala jr a.k.a mariyoo ndo mshaachana jumla eeeee, basi kazi. Kwani hiyo Mil.1 'uliyomkopesha' ndo tiketi ya kuachana kwenu?
Kwanza aliyekwambia 'ukweni' panakopeshwa nani? Kwa akili zako ulijua Kalala ukimkopesha hiyo pesa atakulipa? Kweli mjini umekuja jana na roli la makabichi, Ila ushajifunza kuwa wapenzi hawakopeshani...elewa hivo.

Haya bidada, hivi unakumbuka asili yako wewe, unalikumbuka kabila lenu kweli? Unakumbuka enzi za Kanumba wewe na Dida mlivyokuwa mmepauka kama goti la kilema?.... Leo hata kutoa fungu la kumi kusaidia wasanii wenu mnashindwa? Wewe (inasemekana) unauza ngada, Dida (inasemekana) anauza ngada, ila yote maisha.

Hivi unakumbuka kama ulikuwa na mume wa ndoa anaitwa Peter, mtoto wa Magomeni? Najua huwezi kumkumbuka maana ushawapata akina Kalala jr na Petiti man..

Hivi unajua Peter alipo? Ndio, Peter, baba wa mtoto wako Patrick. Nasikia unamwambia Patrick mwanao kuwa baba yake ni Kalala jr, haya, ushaachana na Kalala jr, mtambulishe kwa Petit man maana kila kukicha baba wapya.... mpaka mimba kakupachika!

Mumeo Peter alikupenda sana, ila ndio kisicho riziki, ukamuendea kwa mganga, ukamfusha na mafusho yako sabini....baba wa watu kawa kama zezeta, wewe ulikuwa sio wa kumlaza mumeo wa ndoa Peter chini sakafuni, kitandani ukalala na Kalala Jr,....haya kiko wapi.

Peter alikusitiri sana kaka wa watu, we sio wa kumcheza shere ilikuwa.
Alikutoa mafichoni na vi-maigizo vyenu uchwara... ulikuwa umekauka kama Rubby,....ulikuwa unanuka vumbi. Ila hukumbuki hata moja lake, kweli tenda wema.....!! Leo wamlaza kaka wa watu chini.

Peter akawa zuzu mzuzue, ulivyoona anakubana, ukaamua kuhamia kwa Kalala jr, huko hamkudumu mkaamua mpange nyumba. Haya.. Kalala kaosha rungu weeeeee, Petit kiulaini kaja kufunga goli, kweli Mungu shibidu.

Halafu ujue Hamisa japo haongei ila inamuuma, wewe sio wa kumkuwadia Lulu kwa Majey, ndio hata kama Hamisa alimpokonya Majey kwa Zuhura, ila kumbuka kazaa nae... Ona anamlea Fanta na baba mwingine, William Bugeme, (Bossmtoto)... Hamisa nae alimpokonya William kwa Linnah, walah wasanii wa Bongo wachafu sana!

La mwisho kwangu, Da Munalove ndugu zake Peter wanaomba ukamzindue ndugu yao maana kawa kama ndondocha. Mpaka leo hajaoa, nyumba yake kaikimbia... anakaa kwa mama yake mzazi. Usiku kucha anakutaja wewe Maimuna Hassan, (mganga wako kiboko).

Pia hiyo mimba ya Petit jiandae kugombana na ukoo mzima pamoja na team nzima ya Diamond, Esmakham, Zari, Kiba na Kalala jr.

Halafu wewe sijui una zindiko gani....unajua mwanaume akiwa nawe halafu akija kuachana nawe, hapandi juu ng'oooo. Nahisi unawabebelea nyota zao.
Au ndo Kinje anavyowatuma nyie punda wake?

Mie sijakuchamba sana maana naogopa usije ukakataa kunialika kwenye baby shower yako bureeeeee!! Si unajua mie team Wema and Muna.

Ila Da Muna, kama kweli Lulu anataka kufunga ndoa na Majey waambie wahamie angani....si unajua muosha huoshwa eeeee. Sie yetu macho na masikio!
Muone, ndio maana umem-bambikia Peter mtoto....Patrick sio wake.


Muna na mwanae Patrick Peter
 
Muna kanichosha nilivyo na mahasira ya haraka angekua ndugu yangu wangestukia namdunda!!

Utafikiri kachanganyikiwa vitu anavyofanya.
[emoji2] [emoji2] I don't nini kinamfanya awehuke hvyo!!

Daah!hatari tupu![emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Angetumia busara kumpumzisha mwanae bila hii migogoro. Kha kama kisa rambirambi uwiiiii maajabu ya karne
Watu wanataka kumzika haraka huku hajapokea michango mkononi..

Kama vile bado anataka apatie pesa kwa mwanae na hao mario wake kabla hajazikwa.
 
Umeona kuhusu alichomfanyia mama akee inaonekana hayupo vizuri na mama akee mpaka dada zake
Akili pungufu pekee ndio watamtetea muna. Mwanamke ana ugomvi hadi na familia yake akiwemo mama ake aiseeee huyu binti kama alikua anataka kiki kwa msiba wa mwanae basi ameipata tena kubwa tu
 
Nchi ina ujinga hii yaani watu wanahaha na upuuzi
 
Back
Top Bottom