Nas Jr
JF-Expert Member
- May 15, 2018
- 7,920
- 8,675
Mamy Milly anatumia jina gani insta mana napitwa na mengi mie...
wakikuambia ni tag
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mamy Milly anatumia jina gani insta mana napitwa na mengi mie...
Kugombea maiti si jambo jema wamsitiri tuHapa ni Peter awahi Mahakaman asubuhi kuzuia mazishi mpaka mahakama iamue nani anastahili kumzika Marehemu
huyu mdada mumusamehe bure, ameondokewa na mzazi wake na siyo mtoto kama mnavyofikiri, hivyo kwa sasa hana wa kumuongoza! Tegemeeni lolote kutoka kwake! Mtoto Patrick (Mungu aipumzishe roho yake pema kwa mapenzi yake) ndie aliyekuwa akimuongoza huyu mama! Akimwambia mama fanya hv naye anafanya, sasa ndio hivyo tena! Mungu ampe wepesi ktk kipindi hiki! Kwa ndugu yetu Peter, pole sana kaka, tunayashiriki maumivu ya moyo wako, jipe moyo, na Mungu akufanyie wepezi uvuke salama!Drama zinaendelea, taarifa kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere ni kwamba mwanadada Muna amewasili kutoka nchini Kenya lakini tofauti na matarajio ya waombolezaji waliokuwa wakisubiri mwili wa marehemu mwanaye, Patrick, Muna amekuja jinsi alivyo.
Taarifa za ndani zinaeleza kwamba kumbe mwili ulishawasili Bongo kimyakimya tangu jana usiku na mpaka sasa upo hospitali umehifadhiwa. Lengo lake ni kama alivyoeleza awali, kwamba anataka yeye ndiyo asimamie msiba wa mwanaye na amzike kama atakavyoamua mwenyewe.
======
TAHARUKI imezuka kwa ndugu, jamaa na marafiki waliofika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere Jijini Dar es Salaam baada ya mwili wa mtoto Patrick kudaiwa kuchukuliwa na watu wasiojulikana muda mfupi baada ya kuwasili uwanjani hapo leo.
Habari zaidi, soma=>Rose Nungu (Munalove), akubali kupeleka msiba nyumbani kwa baba wa Patrick
Hebu niambie mama hana haki na mwanae,?kwanini mnagandamiza sana muna kosa gani kafanya mpaka mumuone peter yuko sahihi ,hiyo maiti au itafufuka jamaniKatika hili nikuite msengerema kwa kumtetea huyu malaya wa kishetani
Sweetheart nisamehe tu huyu kimburu kaniudhi kumtetea kahaba wa kishetani
Tzshaderoomwakikuambia ni tag
Hahahahaha na tutakuchamba kweli kweli utusamehe sio kwa kumtetea huyo kiazi mviringoHebu niambie mama hana haki na mwanae,?kwanini mnagandamiza sana muna kosa gani kafanya mpaka mumuone peter yuko sahihi ,hiyo maiti au itafufuka jamani
Shoga angu jf leo wanichamba jamani
Naombeni msinichambe jamani sina nguvu za kuchambana leo,Hahahahaha na tutakuchamba kweli kweli utusamehe sio kwa kumtetea huyo kiazi mviringo
Ndgu me mbona mme niacha njiapnda nipen habar kina endelea ki2 gni kwann??Drama zinaendelea, taarifa kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere ni kwamba mwanadada Muna amewasili kutoka nchini Kenya lakini tofauti na matarajio ya waombolezaji waliokuwa wakisubiri mwili wa marehemu mwanaye, Patrick, Muna amekuja jinsi alivyo.
Taarifa za ndani zinaeleza kwamba kumbe mwili ulishawasili Bongo kimyakimya tangu jana usiku na mpaka sasa upo hospitali umehifadhiwa. Lengo lake ni kama alivyoeleza awali, kwamba anataka yeye ndiyo asimamie msiba wa mwanaye na amzike kama atakavyoamua mwenyewe.
======
TAHARUKI imezuka kwa ndugu, jamaa na marafiki waliofika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere Jijini Dar es Salaam baada yamwili wa mtoto Patrick kudaiwa kuchukuliwa na watu wasiojulikana muda mfupi baada ya kuwasili uwanjani hapo leo.
Habari zaidi, soma=>Rose Nungu (Munalove), akubali kupeleka msiba nyumbani kwa baba wa Patrick
Basi uwe unasoma na kupita kimyakimyaNaombeni msinichambe jamani sina nguvu za kuchambana leo,
kuhusu MUNANdgu me mbona mme niacha njiapnda nipen habar kina endelea ki2 gni kwann??
Hahaaaaaaq,,,,masinemalee[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] mjini kuna visa
Hata sijui nisimame upande upi naona kichina China tu hapa
Lazima nicoment kama hampendi nyie ndio mkae kimyaBasi uwe unasoma na kupita kimyakimya
Cha nini mie shogaLazima nicoment kama hampendi nyie ndio mkae kimya
Halaf ushanunua kipimo cha sukari na presha
Hahahahahahaha usinifanyie hivyo .....utafanya nimwambie Mr me na yeye basiLazima nicoment kama hampendi nyie ndio mkae kimya
Halaf ushanunua kipimo cha sukari na presha
Si kabla ya mecho yasijetukuta yale mtu anafia kifuaniCha nini mie shoga
😛 😛 😛 😛 😛 😛 😛 😛 😛 😛 😛 😛Si kabla ya mecho yasijetukuta yale mtu anafia kifuani
Tembea navyo kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahahahaha usinifanyie hivyo .....utafanya nimwambie Mr me na yeye basi
Hahahaha aiseeeee dah umejua kunichekeshaTembea navyo kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]
Wanafki wakubwa tu haoHivi walokole kumbe hawana akili kiasi hiki?