Muna ametua Airport bila maiti ya mwanaye

huyu
huyu mdada mumusamehe bure, ameondokewa na mzazi wake na siyo mtoto kama mnavyofikiri, hivyo kwa sasa hana wa kumuongoza! Tegemeeni lolote kutoka kwake! Mtoto Patrick (Mungu aipumzishe roho yake pema kwa mapenzi yake) ndie aliyekuwa akimuongoza huyu mama! Akimwambia mama fanya hv naye anafanya, sasa ndio hivyo tena! Mungu ampe wepesi ktk kipindi hiki! Kwa ndugu yetu Peter, pole sana kaka, tunayashiriki maumivu ya moyo wako, jipe moyo, na Mungu akufanyie wepezi uvuke salama!
 
Katika hili nikuite msengerema kwa kumtetea huyu malaya wa kishetani

Sweetheart nisamehe tu huyu kimburu kaniudhi kumtetea kahaba wa kishetani
Hebu niambie mama hana haki na mwanae,?kwanini mnagandamiza sana muna kosa gani kafanya mpaka mumuone peter yuko sahihi ,hiyo maiti au itafufuka jamani

Shoga angu jf leo wanichamba jamani
 
Ndgu me mbona mme niacha njiapnda nipen habar kina endelea ki2 gni kwann??
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] mjini kuna visa

Hata sijui nisimame upande upi naona kichina China tu hapa
Hahaaaaaaq,,,,masinemalee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…