Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,229
- 13,442
Kweli unajidhalilisha zaidi pale unapotaka kuonewa huruma kwa uchafu uliofanya. Unaolewa na bwana mwengine ukiwa na mimba ya miezi 2 ya mwanaume mwingine. Huyo dada hana hata chembe ya aibu sijui ndugu zake wanajisikiaje wanvyosikia habari kama hizi.Kimya kina maana pia
Hivi viingereza vyenu....mnh,kuna kitu kinaitwa assertive tactics in impression management..
msimcheke muna, labda na nyie mngekua kama yeye,mngefanya the same...
desperate need to repair image ambayo imekua tarnished,
pole Muna,mie nakuelewa unachofanya,
ila ,
iwe mwisho kuwasiliana na waandishi,
unamwaga petrol kwenye moto tayari…
wataendelea kukusema tu..
wanadamu wabaya..
watavunja ndoa yako for real
clouds ilikuwepo SHILAWADUCha kushangaza kwenye ile interview sikuona kipaza sauti cha ITV TBC startv au hata clouds....
Indeed funga jarada....Kwahiyo Peter ni baba mlezi na Casto ni baba mzazi, basi sawa haina shida, ila kisheria ni mtoto wa Peter, kibaiolojia ni wa Casto; case closed.
Kesho tulikuwa tuende kumpa pole majirani hata siendi tena.hana adabu yuleAisee nilifikiri baada ya kumpumzisha mwanae ndio ingekuwa mwisho wa sarakasi. Kuna watu na viatu
Hahahaha nenda tu kampe pole utapatamo dakika za kumwelewa zaidiKesho tulikuwa tuende kumpa pole majirani hata siendi tena.hana adabu yule
Yule peter nae alichelewa kuoa ,kumuona huyo binti ndani ya mwezi ndoa wala hakumchangisha mtu.alikuwa na hela balaa.
Bonge la kilazaHuyu mama ni aibu tupu...sijui kalelewa wapi?
Kiki sizizo na goalsHao waandishi wa habari walikosa kazi ya kufanya i think
Aibu tupu ,hata watu wakiniona natoka huko naonekana akili sina.Hahahaha nenda tu kampe pole utapatamo dakika za kumwelewa zaidi
Hongera kwa lipi haswa? she is too selfish....she is dying with guiltsafi Muna na hongera kwa kuutua mzigo Patric atakuwa na amani huko aliko
Aibu sanaKuwa na mke kama huyo Muna ni aibu sana.