Mungu alimtoa sadaka mwanae wa pekee, ikiwa yeye ndie Mungu Sadaka aliitoa kwa nani?

Mungu alimtoa sadaka mwanae wa pekee, ikiwa yeye ndie Mungu Sadaka aliitoa kwa nani?

alitupa sie watenda dhambi tuitumie kusafisha maovu yetu tumtii yeye! Biblia mbona simple tu we soma tafsiri kivyako ukipata jibu sepa

Duh . Umekisoma ulichokiandika lakini ?

Mungu aliwapa watenda dhambi sadaka ? Mbona kanisani hatupewi sadaka wanasema sadaka zote ni za Mungu ?
 
Habari wadau

Mafundisho ya kanisani na hata biblia yanafundisha Mungu alimtoa sadaka mwanae wa pekee.

Je, Mungu alimpa nani hiyo sadaka ikiwa yeye ndie Mungu?
Ukishachoka mambo ya Imani usitafute gia ya maswali ya kimwili achana nayo tu uwe mpagani mnapenda kubishana vitu vya kuamini visivyothibitishwa kwa niia mnazotaka ukifikia hatua hii hupati jibu lolote usiwe kama fala mambo ya Imani waachie waliojitoa ufahamu Kiranga
 
Kutoka 20:8-11...Ikumbuke siku ya Sabato uitakase. Siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote; lakini siku ya saba ni Sabato ya BWANA, Mungu wako, siku hiyo usifanye kazi yo yote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufuga, wala mgeni aliye ndani ya malango yako. Maana, kwa siku sita BWANA alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo BWANA akaibarikia siku ya Sabato akaitakasa.
 
Kutoka 20:8-11...Ikumbuke siku ya Sabato uitakase. Siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote; lakini siku ya saba ni Sabato ya BWANA, Mungu wako, siku hiyo usifanye kazi yo yote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufuga, wala mgeni aliye ndani ya malango yako. Maana, kwa siku sita BWANA alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo BWANA akaibarikia siku ya Sabato akaitakasa.
umeelewa alichouliza mtoa mada?
 
Habari wadau

Mafundisho ya kanisani na hata biblia yanafundisha Mungu alimtoa sadaka mwanae wa pekee.

Je, Mungu alimpa nani hiyo sadaka ikiwa yeye ndie Mungu?
Ili akuokoe wewe mdhambi alikua kua anakuoneaha the way anavo kupenda, kujali na kuthamini.
 
Ukishachoka mambo ya Imani usitafute gia ya maswali ya kimwili achana nayo tu uwe mpagani mnapenda kubishana vitu vya kuamini visivyothibitishwa kwa niia mnazotaka ukifikia hatua hii hupati jibu lolote usiwe kama fala mambo ya Imani waachie waliojitoa ufahamu Kiranga
Hata wapagani wana imani zao, usinichanganye na wapagani.

Jielimishe.
 
Back
Top Bottom