Siku pi hiyo nafasi good night uku kwetu ni usiku sanaNikiwa sina dini maana yake nini?
Jieleze vizuri ueleweke. Unganisha mawazo yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku pi hiyo nafasi good night uku kwetu ni usiku sanaNikiwa sina dini maana yake nini?
Jieleze vizuri ueleweke. Unganisha mawazo yako.
Kwanini unamuomba Mungu ikiwa yeye anajua mahtaji yako?Habari wadau
Mafundisho ya kanisani na hata biblia yanafundisha Mungu alimtoa sadaka mwanae wa pekee.
Je, Mungu alimpa nani hiyo sadaka ikiwa yeye ndie Mungu?
Siku pi hiyo nafasi good night uku kwetu ni usiku sana
Ni mstari gani kwenye Biblia unaosema Mungu alitoa sadaka?Habari wadau
Mafundisho ya kanisani na hata biblia yanafundisha Mungu alimtoa sadaka mwanae wa pekee.
Je, Mungu alimpa nani hiyo sadaka ikiwa yeye ndie Mungu?
Dini ni sawa na CCM tu, uaminisha watu ujinga kwa vitu visivyokuwepo na kuwapa matumini ya hajabu.Habari wadau
Mafundisho ya kanisani na hata biblia yanafundisha Mungu alimtoa sadaka mwanae wa pekee.
Je, Mungu alimpa nani hiyo sadaka ikiwa yeye ndie Mungu?
Sadaka inayotolewa na Binadamu ni ya Mungu na sadaka inayotolewa na Mungu ni ya Binadamu.Duh . Umekisoma ulichokiandika lakini ?
Mungu aliwapa watenda dhambi sadaka ? Mbona kanisani hatupewi sadaka wanasema sadaka zote ni za Mungu ?
Kwamba unafikiri na wewe tuta ku term kama Great thinker ,kwa huu ujinga ulioandika hapa 🤔Kutoa Ni moyo ,
Kwaio sir God anao Moyo😳
Hili approve Nini?Kwa sisi paka tusio na shukran
Hata wewe mbona unajinyenyekeza kwa Mme wako, wakati yeye kama mwanaume anatambua jukumu lake kwakoKwanini unamuomba Mungu ikiwa yeye anajua mahtaji yako?
Ili tumwabudu Yeye tupate uzima wa mileleYote kwa yote why Mungu alituumba, what was his point 😁
Majibu utayopata hapa ni "Biblia huwezi kuielewa kama huna upako na roho mtakatifu"Habari wadau
Mafundisho ya kanisani na hata biblia yanafundisha Mungu alimtoa sadaka mwanae wa pekee.
Je, Mungu alimpa nani hiyo sadaka ikiwa yeye ndie Mungu?
Why anatuchoma moto tusipo muabudu na hatukumuomba atuumbeIli tumwabudu Yeye tupate uzima wa milele