Mungu alimtoa sadaka mwanae wa pekee, ikiwa yeye ndie Mungu Sadaka aliitoa kwa nani?

Mungu alimtoa sadaka mwanae wa pekee, ikiwa yeye ndie Mungu Sadaka aliitoa kwa nani?

Why anatuchoma moto tusipo muabudu na hatukumuomba atuumbe
Nimeandika soma hapo juu! Mungu kama mkulima aliyepanda mbegu njema kwa ajili yake mwenyewe!

Aliyepanda ngano hutarajia kuvuna ngano, kama ukigeuka magugu katika shamba lake la ngano ni sharti la mkulima kukuchoma kama MAGUGU siku ya mwisho ya mavuno!
 
Shetani ni mungu wa dunia hii kwa wasio na Yesu,So alitolewa ili kuleta ukombozi wa mwanadamu dhidi ya dhambi.
So Yesu ni sadaka ya upatanisho baina ya Mungu na mwanadamu
 
Kwanza Hebu weka huo mstari tuone kama unasema hivyo na unahitimishaje
 
Habari wadau

Mafundisho ya kanisani na hata biblia yanafundisha Mungu alimtoa sadaka mwanae wa pekee.

Je, Mungu alimpa nani hiyo sadaka ikiwa yeye ndie Mungu?
Unaifahamu sadaka ya kuteketezwa? Kasome walawi 23:33 ndio utajua ugumu wa sadaka hii ukiwa una dhambi unaweza pangiwa kumtoa hata mwanao ila kwasasa hatuhitaji hiyo sadaka sababu tayari Mungu wetu kwa huruma zake akaamua kumtoa mwanaye mpendwa kwaajili ya dhambi hayo mambo huko nyuma yalifanyika badala mbadala wa Yesu

Soma wakolosai 28:7
 
Kimbembe😂😀..lakini pia swali hili hili liwaendee wanaosema YESU ndie MUNGU......
 
Shetani alipotoroka mbinguni, aliondoka na ufunguo wa kuzimu, hivyo ufufuko wa wafu ulikua haiwezekani mpaka shetani anyang'anywe funguo. Ndio mana wale ambao Mungu aliwapenda Sana aliwachukua mbinguni moja kwa moja mfano Musa na Eliya na ndio maana hawa waliweza kumtokea Yesu mlimani.

Yesu alipokufa alienda kufanya vita kuzimu na kuchukua ufunguo wa kuzima, mwandishi mmoja alisema baada ya Yesu kufa watu waliokufa walianza kutoka makaburini, hiyo ni lugha ya alama kwamba Yesu ameshinda vita kuzimu.
 
Habari wadau

Mafundisho ya kanisani na hata biblia yanafundisha Mungu alimtoa sadaka mwanae wa pekee.

Je, Mungu alimpa nani hiyo sadaka ikiwa yeye ndie Mungu?
Waliofeli form four utawajua tu
 
Habari wadau

Mafundisho ya kanisani na hata biblia yanafundisha Mungu alimtoa sadaka mwanae wa pekee.

Je, Mungu alimpa nani hiyo sadaka ikiwa yeye ndie Mungu?
Sadaka aliyo toa ni mwili wa binadamu (mwana wa adamu) kwa ajili ya nafsi yake mwenyewe.....sasa hapo kwa ajili ya nafsi yake mwenyewe ili iweje ni somo lenye akili kubwa sana...
 
Swali nzuri na muhimu sana hili, hapo ndipo ukuu wa Yesu Kristo na ukombozi wake kwa Ulimwengu nzima unavyofanyika kwa namna kamilifu sana na hakuna namna bora zaidi ya hii: KUJITOA SADAKA MWENYEWE KWA AJILI YA UKOMBOZI WA WAPENDWA WAKO!

Hiki ndicho cha ajabu sana alichofanya Yesu Kristo na shetani hawezi kamwe kufanya jambo hili:

Katiba sadaka yoyote ile kuna mambo haya:
1. Mtoa sadaka (kuhani)
2.Mpokea sadaka (Mungu)
3.Sadaka yenyewe na
4.Mahali pa kutolea sadaka (madhabahu)

Sasa kinachofanya sadaka ya Yesu Kristo (Mungu) iwe sadaka ya pekee na kamilifu sana kwa namna ambayo hakuna sadaka nyingine inayoweza kufika hapo ni hili:

Yesu Kristo ndiye sadaka yenyewe, Yesu ndiye madhabahu inapotolewa sadaka hiyo, Yesu ndiye kuhani mtoa sadaka hiyo na Yesu ndiye Mungu apokeaye sadaka hiyo!

Katika ukamilfu wa utoaji sadaka hakuna ukamilifu zaidi ya huu!
Habari wadau

Mafundisho ya kanisani na hata biblia yanafundisha Mungu alimtoa sadaka mwanae wa pekee.

Je, Mungu alimpa nani hiyo sadaka ikiwa yeye ndie Mungu?

Alitupa sie watenda dhambi tuitumie kusafisha maovu yetu tumtii yeye! Biblia mbona simple tu we soma tafsiri kivyako ukipata jibu unaloona limekufaa sepa

Duh . Umekisoma ulichokiandika lakini ?

Mungu aliwapa watenda dhambi sadaka ? Mbona kanisani hatupewi sadaka wanasema sadaka zote ni za Mungu ?

Hii mada huwezi kupata majibu aisee

Ngoja wafia dini waje wakupopoe na kitu ambacho nao hawana ushahidi nacho zaidi yakusoma Kwenye vitabu ...

Tafadhali usilale 😅

Mkatoliki wangu njoo unipee elimu hapa Mdakuzi

Na kwanini Mungu amtoe mwanae afe kwa ajili yetu badala ya kumuua Shetani himself chanzo cha dhambi?

Ni mstari gani kwenye Biblia unaosema Mungu alitoa sadaka?

Sadaka inayotolewa na Binadamu ni ya Mungu na sadaka inayotolewa na Mungu ni ya Binadamu.

Mungu alimtoa mwanae wa pekee ili akafanyike mbegu ya ukombozi wa wanadamu!

Kiufupi Mungu alionesha fomula ya kwamba ili UVUNE lazima uwe utoe Mbegu!
Hata leo ili mkulima avune huwa ni lazima atoe mbegu yake iliyobora kwa ajili ya kuharibu shambani (anaitupa/anaizika ) Ili kwa punje moja ikalete punje nyingi!

Mungu alitoa msingi kwamba huwezi kuvuna pasipo kupanda!

Hivyo Mungu Alitoa Mali (sadaka) yake kama kafala ili ikafanyike kuwa mbegu kwa kuukomboa ulimwengu kwa kila AAAMINIYE! (hakusema kwa kila mtu hapana, bali kwa kila AAMINIYE)
Hivyo yule anaeutazama msalaba wa Yesu kwa Imani ya ukombozi Hupokea Uponyaji (elewa neno Aaminiye)

Hivyo Mungu ni mkulima wa kwanza kupanda mbegu kwa faida yake mwenyewe!

Ndiyo maana bibilia inasema Mungu husamehe kila roho inayotubu kwa Faida ya Mungu mwenyewe!

Alitoa sadaka ya Yesu kama mbegu bora kwa Faida yake Mwenyewe!

Shetani ni mungu wa dunia hii kwa wasio na Yesu,So alitolewa ili kuleta ukombozi wa mwanadamu dhidi ya dhambi.
So Yesu ni sadaka ya upatanisho baina ya Mungu na mwanadamu

Unaifahamu sadaka ya kuteketezwa? Kasome walawi 23:33 ndio utajua ugumu wa sadaka hii ukiwa una dhambi unaweza pangiwa kumtoa hata mwanao ila kwasasa hatuhitaji hiyo sadaka sababu tayari Mungu wetu kwa huruma zake akaamua kumtoa mwanaye mpendwa kwaajili ya dhambi hayo mambo huko nyuma yalifanyika badala mbadala wa Yesu

Soma wakolosai 28:7

Shetani alipotoroka mbinguni, aliondoka na ufunguo wa kuzimu, hivyo ufufuko wa wafu ulikua haiwezekani mpaka shetani anyang'anywe funguo. Ndio mana wale ambao Mungu aliwapenda Sana aliwachukua mbinguni moja kwa moja mfano Musa na Eliya na ndio maana hawa waliweza kumtokea Yesu mlimani.

Yesu alipokufa alienda kufanya vita kuzimu na kuchukua ufunguo wa kuzima, mwandishi mmoja alisema baada ya Yesu kufa watu waliokufa walianza kutoka makaburini, hiyo ni lugha ya alama kwamba Yesu ameshinda vita kuzimu.
 
Jombaaaa hii kitu ni complicated kabisa

Swali ni zuri lakin sioni majibu ya kueleweka hapa
 
Achana na hadithi zisizo na kichwa wala miguu.

Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
 
Huyu yesu ni Mungu?

Ni Mungu yupi uliyemkusudia?
Adiosamigo
Hawa ni vichaa Yesu kwenye bibilia zao anasema hakuna mtu atamuona Mungu akaishi, afu Yesu wangapi walimuona.

Afu toka lini sadaka unampa Yesu, kwani Yesu masikini? Hawa bibilia zao wakizisoma zinawachangan'ya kama zilivyo wachanga'ya walio ziandika 😄
 
Habari wadau

Mafundisho ya kanisani na hata biblia yanafundisha Mungu alimtoa sadaka mwanae wa pekee.

Je, Mungu alimpa nani hiyo sadaka ikiwa yeye ndie Mungu?
unataka kuyaelewa mambo ya rohoni kwa akili? kweli? hayaeleweki kirahisi hivyo!

hatua ya kwanza kuyaelewa mambo ya rohoni ni kumpa Bwana Yesu maisha yako. kisha mengine hufuatia. yatafunuliwa kwako na Roho wa Mungu.


JESUS IS LORD&SAVIOR
 
Huyu yesu ni Mungu?

Ni Mungu yupi uliyemkusudia?
Adiosamigo
Watu wanaabudu miti, mawe, maji, wanyama kama miungu yao. Mungu aweza kujiweka katika form yoyote atakayo, akijiweka katika umbo la mwanadamu that’s the best for a god to be!
 
Back
Top Bottom