Mungu aliona wapi mfano wa ulimwengu ndiyo akauumba hivi?

Mungu aliona wapi mfano wa ulimwengu ndiyo akauumba hivi?

Ndiyo maana anaitwa MUNGU ni cheo Cha ngazi ya juu kuliko vyote kwenye muundo wa maisha na uhai kabla na baada ya maisha haya.

Uwezo wa fikra zetu na utambuzi haviwezi kueleza bayana kuhusu sifa, uwezo na hali ya MUNGU.

Kumjua MUNGU linabaki fumbo asilia linalohitaji mlango wa Imani pekee Ili uwezakano huo uwepo.

Yeyote anayetumia ishara bayana kutaka kumjua MUNGU hataweza kwa maana MUNGU hayupo katika ulimwengu wa macho haya bali kiroho.

Tunapaswa kujali matokeo Bora ya MUNGU wetu katika maisha yetu kuliko kumpima uwezo wake ambao kamwe hauwezi kubainika kwa akili zetu finyu
🙏🙏🙏🙏🙏
Asante mkuu.

Nime note point moja ya msingi "kumjua Mungu kunabaki kuwa fumbo asilia"
 
Eti wakuu.

Ebu mnieleweshe kidogo kuhusu hili.

Mfano : Mtu anapotaka kujenga nyumba, lazima kuna kuwa na ramani ya nyumba aliyo iona mahali labda akavutiwa nayo na yeye akaenda kujenga ki namna ile.

Je, Mungu wakati anaumba ulimwengu na kila kilichopo (viumbe hai na visivyo hai) na universe ki ujumla, aliona wapi mfano wa huo ulimwengu na vitu vyake hadi akaamua aviumbe kwa namna vilivyoonekana hivi.

Au hakuwa na ramani yeyote na namna uliwengu utakavyokuwa bali alianza tu kuumba ukawa hivyo ulivyo ndiyo hivo.

Kama alishakuwa na ramani tayari, je allitoa wapi, nani aliisanifu hiyo ramani ?

Naomba niishie hapo kwa leo.

NB : hapa nazungumza na wanao amini tu kuwa kuna Mungu, sizungumzi na wasio amini
Sasa we bro! Mbona unauliza maswali, marahisi ya, kindergarten, waliotengeneza samsung, i phone, diesel engine, Instagram, Facebook, drone, bulb, waliangalia wapi?
Kabla ya ICBM intercontinental ballistic missile, aliyetengneneza aliangalia wapi? Bro kila kitu ni mawazo tu, aliyetengenenza chanjo ya pepopunda, tete kuwanga, aliangalia wapi? Kama mwanadamu anauwezo, huo!sembuse Muumba!
 
Swali lako halina mashiko, labda uwe unamtizamo/ufahamu tofauti kuhusu Mungu.

Hata hizi ramani tunazotumia nani amezisanifu? Sasa kama mwanadamu anazisanifu Mungu ndio wakumtilia mashaka,

Uumbaji ulikua ni udhihilisho wa kile kilichokuepo tayari, kuto kuonekana kwa kitu haimaanishi kua hiko kitu hakipo.

Mungu ni mwingi wa maono, na kila kitu kilianza kama maono katika fikra za mtu... Kwanza mtu anakua na maono => baadae linakua wazo=>ndipo inapatikana taswira halisi ya kitu => kazi inabakia katika utekelezaji kuunda kitu hicho.

Yote ya yote
🔘Mungu ni Mjuzi wa yote (omniscient),

🔘Mungu ni yupo mahali popote ulimwenguni (Omnipresent)

🔘Mungu ni mwenye (nguvu) UWEZA mkuu wakati wote (Omnipotent).
"uumbaji ilikuwa ni udhihirisho wa kile kilichokuwepo tayari"

Hicho kilicho kuwepo tayari ndiyo hicho mimi nakitafta kilikuwaga wapi na kilikuwa katika hali gani kabla hakijaumbwa, maana umesema kilikuwa tayari.
 
Sasa we bro! Mbona unauliza maswali, marahisi ya, kindergarten, waliotengeneza samsung, i phone, diesel engine, Instagram, Facebook, drone, bulb, waliangalia wapi?
Kabla ya ICBM intercontinental ballistic missile, aliyetengneneza aliangalia wapi? Bro kila kitu ni mawazo tu, aliyetengenenza chanjo ya pepopunda, tete kuwanga, aliangalia wapi? Kama mwanadamu anauwezo, huo!sembuse Muumba!
Kwenye kila ulicho kitaja hapo juu sidhani kama ilikuwa ni wazo jipya.

Zaidi naona tu ilikuwa ni uboreshaji wa vitu ambavyo tayari vilishakuwepo awali hata kama havikuwa fanisi
 
Ndiyo maana sijaamua kulenga wasio amini Mungu kama wewe.
Ningeamua kuwa lengo wote ningekuja na thread hapa "Mungu hayupo au yupo" na wewe ungepata side ya kusimama na uthibitisho wako.

Nakushauri tu : Kuingiza logic and reasoning kwenye mambo ya imani/kiroho/yasiyoonekana kimwili lazima utoke mtupu.

Ndiyo wewe hapo.
Hata wewe swali lako hili la "Mungu aliona wapi dunia ndio akaiumba hivi" Halina logic wala reasoning.

Kwa vile hakuna uthibitisho wowote ule wa uwepo wa huyo Mungu na hakuna uthibitisho wowote ule wa kwamba ulimwengu uliumbwa.

Ulimwengu haujaumbwa, ulimwengu ulikuwepo, upo na utaendelea kuwepo.
 
Hata wewe swali lako hili la "Mungu aliona wapi dunia ndio akaiumba hivi" Halina logic wala reasoning.

Kwa vile hakuna uthibitisho wowote ule wa uwepo wa huyo Mungu na hakuna uthibitisho wowote ule wa kwamba ulimwengu uliumbwa.

Ulimwengu haujaumbwa, ulimwengu ulikuwepo, upo na utaendelea kuwepo.
Hata wewe swali lako hili la "Mungu aliona wapi dunia ndio akaiumba hivi" Halina logic wala reasoning.

Kwa vile hakuna uthibitisho wowote ule wa uwepo wa huyo Mungu na hakuna uthibitisho wowote ule wa kwamba ulimwengu uliumbwa.

Ulimwengu haujaumbwa, ulimwengu ulikuwepo, upo na utaendelea kuwepo.
Hakuna kitu kinaitwa "kilikuwepo" kwenye hii universe apart from God himself.

Hicho kisayansi cha nature kinachokusumbua kichwa mimi nna idea nacho kuliko hata wewe hapo.

Labda Kiranga pekee ndiyo anaweza kuongea kuhusu hilo ndiyo nikamwelewa ila siyo wewe ambae hoja zako ni nyepesi sana kama uji wa mtoto
Hata wewe swali lako hili la "Mungu aliona wapi dunia ndio akaiumba hivi" Halina logic wala reasoning.

Kwa vile hakuna uthibitisho wowote ule wa uwepo wa huyo Mungu na hakuna uthibitisho wowote ule wa kwamba ulimwengu uliumbwa.

Ulimwengu haujaumbwa, ulimwengu ulikuwepo, upo na utaendelea kuwepo.
 
Ulikua katika maono/mawazo/fikra za Mungu mwenyewe mkuu 👇👇👇
Hicho kilicho kuwepo tayari ndiyo hicho mimi nakitafta kilikuwaga wapi na kilikuwa katika hali gani kabla hakijaumbwa, maana umesema kilikuwa tayari.
Hata haya magari kabla hayajavumbuliwa, dhamira na taswila kamili ya gari ilikua katika fikra, mawazo, maono ya mvumbuzi.

Na hata hivi sasa kuna watu wanamaono fulani, so idea ya hicho kitu ipo katika fikra ila haijadhihirishwa bado Kwahiyo ni suala la muda kama mtu huyo atapata neema ya kutekeleza na kulikamilisha idea yake basi tutapata kuona kitu kipya.
Mungu ni mwingi wa maono, na kila kitu kilianza kama maono katika fikra za mtu... Kwanza mtu anakua na maono => baadae linakua wazo=>ndipo inapatikana taswira halisi ya kitu => kazi inabakia katika utekelezaji kuunda kitu hicho
 
Hakuna kitu kinaitwa "kilikuwepo" kwenye hii universe apart from God himself.
Hata huyo God wako hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
Hicho kisayansi cha nature kinachokusumbua kichwa mimi nna idea nacho kuliko hata wewe hapo.
Hicho kiimani chako cha huyo God ni kiimani uchwara tu, Cha watu wajinga wajinga kama wewe mnaotaka kufosi mawazo yenu uchwara yasiyo na uthibitisho wowote ule.
Labda Kiranga pekee ndiyo anaweza kuongea kuhusu hilo ndiyo nikamwelewa ila siyo wewe ambae hoja zako ni nyepesi sana kama uji wa mtoto
Kumbe unaongea kitu ambacho tayari ulisha eleweshwa ila unataka kuendelea kuulizia maswali yasiyo na mantiki.

Wewe ni Tabularasa ..!!
 
Kwani mtu wa kwanza kabisa kujenga Nyumba,alitoa wapi ramani au mfano wa Nyumba? Aliyetengeneza Gari,Meli,Ndege,Simu,Viatu,Saa,Tv....nae alitoa wapi ramani au mfano wa hivyo vitu?

Ukipata majibu ya hayo maswali yangu utakua umepata jibu la swali lako.
 
Na Mm naongezea swali.

Tunaambiwa mwanzo ilikuwa inaitwa Pangea pamoja na muundo tofauti na wa sasa, kwahy maana yake ni kwamba Mungu alikosea kuumba dunia hvy akarudi tena field akatengeneza tena na kuwa na muundo huu wa sasa?
 
Ndiyo maana anaitwa MUNGU ni cheo Cha ngazi ya juu kuliko vyote kwenye muundo wa maisha na uhai kabla na baada ya maisha haya.

Uwezo wa fikra zetu na utambuzi haviwezi kueleza bayana kuhusu sifa, uwezo na hali ya MUNGU.

Kumjua MUNGU linabaki fumbo asilia linalohitaji mlango wa Imani pekee Ili uwezakano huo uwepo.

Yeyote anayetumia ishara bayana kutaka kumjua MUNGU hataweza kwa maana MUNGU hayupo katika ulimwengu wa macho haya bali kiroho.

Tunapaswa kujali matokeo Bora ya MUNGU wetu katika maisha yetu kuliko kumpima uwezo wake ambao kamwe hauwezi kubainika kwa akili zetu finyu
🙏🙏🙏🙏🙏
Mnahangaika sana kumwelezea na kumuongelea huyo Mungu kwa vile Hayupo na hajawahi kuwepo kujiongelea mwenyewe.
 
Unaposema MUNGU aliona wapi mfano wa dunia ndipo akaumba, hivi unamfananisha BWANA MUNGU na Mwanadamu?

Umekosa akili, umekosa adabu kwa MUUMBA wako kiasi unaona hawezi kufanya chochote mpaka kwanza awe ameona?

Na kama mpaka aone kwanza, unataka kusema yupo mwingine aliye mkuu kumzidi YEYE?

Kijana kuwa na adabu kwa MUUMBA wako. Usifikie hatua ya kumdharau MUNGU kuwa hawezi kutenda, hawezi kuumba mpaka awe ameona kwanza.
Jibu swali
 
Hakuna kitu kinaitwa "kilikuwepo" kwenye hii universe apart from God himself.

Hicho kisayansi cha nature kinachokusumbua kichwa mimi nna idea nacho kuliko hata wewe hapo.

Labda Kiranga pekee ndiyo anaweza kuongea kuhusu hilo ndiyo nikamwelewa ila siyo wewe ambae hoja zako ni nyepesi sana kama uji wa mtoto
Mungu yupi? Unaweza kuthibitisha huyo Mungu yupo?
 
Eti wakuu.

Ebu mnieleweshe kidogo kuhusu hili.

Mfano : Mtu anapotaka kujenga nyumba, lazima kuna kuwa na ramani ya nyumba aliyo iona mahali labda akavutiwa nayo na yeye akaenda kujenga ki namna ile.

Je, Mungu wakati anaumba ulimwengu na kila kilichopo (viumbe hai na visivyo hai) na universe ki ujumla, aliona wapi mfano wa huo ulimwengu na vitu vyake hadi akaamua aviumbe kwa namna vilivyoonekana hivi.

Au hakuwa na ramani yeyote na namna uliwengu utakavyokuwa bali alianza tu kuumba ukawa hivyo ulivyo ndiyo hivo.

Kama alishakuwa na ramani tayari, je allitoa wapi, nani aliisanifu hiyo ramani ?

Naomba niishie hapo kwa leo.

NB : hapa nazungumza na wanao amini tu kuwa kuna Mungu, sizungumzi na wasio amini
Siyo lazima aione anaweza akabuni mwenyewe
 
Eti wakuu.

Ebu mnieleweshe kidogo kuhusu hili.

Mfano : Mtu anapotaka kujenga nyumba, lazima kuna kuwa na ramani ya nyumba aliyo iona mahali labda akavutiwa nayo na yeye akaenda kujenga ki namna ile.

Je, Mungu wakati anaumba ulimwengu na kila kilichopo (viumbe hai na visivyo hai) na universe ki ujumla, aliona wapi mfano wa huo ulimwengu na vitu vyake hadi akaamua aviumbe kwa namna vilivyoonekana hivi.

Au hakuwa na ramani yeyote na namna uliwengu utakavyokuwa bali alianza tu kuumba ukawa hivyo ulivyo ndiyo hivo.

Kama alishakuwa na ramani tayari, je allitoa wapi, nani aliisanifu hiyo ramani ?

Naomba niishie hapo kwa leo.

NB : hapa nazungumza na wanao amini tu kuwa kuna Mungu, sizungumzi na wasio amini
Kwanini mungu alimfukuza shetani (Lucifer) mbinguni, akamleta duniani, kwani kulikuwa hakuna mahali pakumpeleka?

ni uwasi gani alioufanya shetani mpaka kusababisha mungu wa hurum na msamaha, kutomsamehe shetani?

Kwanini hatujui ukweli wa kisa cha mungu na shetani kuchukiana wakati walikuwa pamoja na mpaka mmoja kuaza kumfukuza mwenzake...
 
Back
Top Bottom