Achana na spoon feeding za wazungu, dunia yetu hii haijaumbwa na huyo mungu, mungu mnayemwabufu na kumtolea fedha ni binadam kutoka sayari zingine, human existence ni project za watu kutoka sayari ya nibiru na huwa wanakuja kuangalia maendeleo yetu toka wametutengeneza hadi leondo sisi tunawaita alien, wana interaction na baadhi ya binadam, kasome vixuri area51 iliyo marekani. Hakuna kitu kinaitwa mungu, ni imani za kishenzi kuwahi kutokea. Matukio huwa yanajirudia mkuu, kwa sasa mnaona utitiri wa vimakanisa ama madhehebu, miaka 3000 mbele waliojiiita mungu wale wakenye watakuwa na wafuasi dunia nzima na kweli wataamini mungu aaka yesu alizaliwa kenya akaaishi na akapaa mbinguni, yesu pia alikuja kwa staili hiyo ndo maana ndugu zake wenyewe walimuua kwa sababu ya kukaidi sheria kali za wayahudi. Sisi ni wakristo ana tunamfuata yesu, ila nikuhakikishir yesu hakuwa mkristo alikuwa anasali dini za kiyahudi tungeamini dini za kiyahudi basi angalau, wayahudi wenyewe hawaamini katika yesu na ukimtaja unakula kifungo