Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata nyie kusema ulimwengu uliumbwa ni maneno tu.Nilishakuambia hayo ni maneno tu na si uthibitisho.
Ukipata uthibitisho lete.
Ulijuaje na unathibitishaje kwamba huyo Mungu yupo kisha hachunguziki?Mungu hachunguziki
Umeshasema "Mfano mtu" Sasa unamlinganisha Mungu na mtu? Hayo unayoyajua na kuyaamini wewe yapo kwenye dimension zako binadamu, sio dimension za Mungu.Yapo mengi usiyoyafahamu wala kuweza kufahamu!Eti wakuu.
Ebu mnieleweshe kidogo kuhusu hili.
Mfano : Mtu anapotaka kujenga nyumba, lazima kuna kuwa na ramani ya nyumba aliyo iona mahali labda akavutiwa nayo na yeye akaenda kujenga ki namna ile.
Je, Mungu wakati anaumba ulimwengu na kila kilichopo (viumbe hai na visivyo hai) na universe ki ujumla, aliona wapi mfano wa huo ulimwengu na vitu vyake hadi akaamua aviumbe kwa namna vilivyoonekana hivi.
Au hakuwa na ramani yeyote na namna uliwengu utakavyokuwa bali alianza tu kuumba ukawa hivyo ulivyo ndiyo hivo.
Kama alishakuwa na ramani tayari, je allitoa wapi, nani aliisanifu hiyo ramani ?
Naomba niishie hapo kwa leo.
NB : hapa nazungumza na wanao amini tu kuwa kuna Mungu, sizungumzi na wasio amini
Kauli hii inathibitisha wazi huwezi kuthibitisha hoja yako kwamba ulimwengu ulikuepo milele,.. na ndiyo maana umeamua kujifananisha na wanaosema ulimwengu uliumbwa.Hata nyie kusema ulimwengu uliumbwa ni maneno tu.
Hata nyie waamini Mungu hamuwezi kuthibitisha kwamba ulimwengu uliumbwa na huyo Mungu kwa hiyo swala la kusema kwamba ulimwengu uliumbwa bado pia halina uthibitisho.Kauli hii inathibitisha wazi huwezi kuthibitisha hoja yako kwamba ulimwengu ulikuepo milele,.. na ndiyo maana umeamua kujifananisha na wanaosema ulimwengu uliumbwa.
Kafanye tafiti juu ya hoja yako,. ukipata uthibitisho lete.
Kama ni hivyo,..bora useme kwamba hujui mechanism iliyotumika mpaka ulimwengu ukawepo,.....kuliko kuwaambia watu kila siku humu kwamba Ulimwengu haujaumbwa bali ulikuepo milele...Hata nyie waamini Mungu hamuwezi kuthibitisha kwamba ulimwengu uliumbwa na huyo Mungu kwa hiyo swala la kusema kwamba ulimwengu uliumbwa bado pia halina uthibitisho.
Msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika wala uthibitisho.Kama ni hivyo,..bora useme kwamba hujui mechanism iliyotumika mpaka ulimwengu ukawepo,.....kuliko kuwaambia watu kila siku humu kwamba Ulimwengu haujaumbwa bali ulikuepo milele...
Ukisema moja kwa moja Ulimwengu haujaumbwa maana yake una uhakika 100% haujaumbwa...Hivyo utapaswa kuleta ushahidi,..Lakini ukisema "hujui" unaacha nafasi kwamba siku moja nikipata elimu juu ya mechanism iliyotumika mpaka ulimwengu ukawepo ndiyo nitahitimisha na nitakua na uhakika kama umeumbwa ama la.
NB: Waamini Mungu hatuna jukumu la kuthibitisha kama Dunia iliumbwa ama la....labda kama wewe haujui nini maana ya Imani......Faith is for something you can't see, hear, touch, or feel but that logically makes sense!
Mbona hakuna Mtu aliyesema ulimwengu umeumbwa kwa imani..., au umemaanisha nini hapa?Msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika wala uthibitisho.
Ukweli hauendani na imani, Hivyo ukisema Ulimwengu uliumbwa kwa imani automatically ni uongo.
Mpaka pale imani hiyo itakapo thibitishika ndipo itakuwa ukweli.Mbona hakuna Mtu aliyesema ulimwengu umeumbwa kwa imani..., au umemaanisha nini hapa?
Nimalizie kwa kusema kwamba..,Si kila imani ni uongo kama unavyodai bali zipo imani ambazo kwenye hali na muda sahihi zinathibitishika na kuwa Hakika kabisa na ipo mifano isiyohesabika juu ya hilo.
Ndugu, unapaswa kuelewa maana ya maneno yaliyotumiwa kwenye Biblia. Mfano neno "Mbingu" kwenye Biblia lina maana zaidi ya moja na hiyo ni kutokana na tafsiri iliyofanyika kutoka original manuscripts za Agano la kale zilizoandikwa kwa Kiebrania kwenda lugha ya Kiyunani na lugha zingine.Turudi katika perspective ya religion scriptures.
"Hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu na ardhi."
At the same time, vitabu vinadai Mungu ni wa milele yani yupo siku zote hata kabla ya huo uumbaji.
Lakini Vitabu havijaeleza Mungu alikuwa eneo lipi wakati akifanya huo uumbaji.
Na hilo eneo liliumbwa na nani?
Na kama hilo eneo liliumbwa, je ni sahihi kusema mbingu na ardhi ndio uumbaji wa mwanzo?
Unaweza kutusaidia majibu ya hayo maswali?
Najua sentensi hiyo haizungumzii mwanzo wa Mungu."Hapo mwanzo MUNGU aliumba mbingu na nchi". Sentensi hii haizungumzii "mwanzo wa MUNGU", bali inazungumzia "mwanzo wa uumbaji" wa ulimwengu.
Concerning yangu mimi ni kujua mazingira gani aliyokuwepo Mungu kabla ya uumbaji.Neno mbingu katika hiyo sentensi linamaanisha anga (atmosphere) na nchi ni dunia. Biblia katika kitabu cha Mwanzo inazungumzia mwanzo wa uumbwaji wa ulimwengu (the universe including our solar system).
Wakati anaona dunia ikiumbwa yeye akuwa kakaa kwa Mangi au wapi?Dunia haijawahi kutokuwepo kwa sababu hakuna uthibitisho wowote ule unao onyesha kwamba Dunia haikuwepo kisha ikawepo.
Yani hakuna wakati wowote ule ambao imethibitishika kwamba Dunia haikuwepo kisha ikawepo.
Kila mtu amezaliwa ndani ya dunia na kuikuta tayari ipo.
Hakuna binadamu aliyezaliwa nje ya dunia halafu akaona dunia ikiumbwa.
Kwahiyo wewe ile imani yako kwamba ulimwengu ulikuepo tu milele na haujaumbwa ni uongo?Mpaka pale imani hiyo itakapo thibitishika ndipo itakuwa ukweli.
Vinginevyo imani bila uthibitisho ni uongo.
Nimekujibu hili swali lako. Soma vizuri utaona jibu lakeNajua sentensi hiyo haizungumzii mwanzo wa Mungu.
Nachotaka mimi kujua kabla ya Mungu kuanza kufanya huo uumbaji, yeye alikuwa akiishi wapi au makazi yake yalikuwa wapi?
Kwasababu yeye ni wa milele alikuwepo tangu na tangu. Sasa kama saizi vitabu vya dini vinadai makazi ya Mungu yapo mbinguni je kabla ya mbingu na ardhi havijaumbwa yeye alikuwa wapi?
Na hapo alipokuwa paliumbwa na nani?
Hata hili pia nimeshakujibu. Tatizo lako husomi reply kwa kutulia.Concerning yangu mimi ni kujua mazingira gani aliyokuwepo Mungu kabla ya uumbaji.
Yani aliumba huu ulimwengu akiwa wapi, kwasababu logic inakataa kufikiri kuwa Mungu aliumba ulimwengu akiwa ndani ya ulimwengu.
Hapo alipokuwa kabla ya huo uumbaji ndio mimi napopataka, ni wapi?
Nimekujibu hili swali lako. Soma vizuri utaona jibu lake
Soma Kumbukumbu la Torati 29:29, utapata majibu ya maswali yako.Sehemu kubwa ya maelezo yako ume preach hakuna sehemu umejibu swali
Weka hiyo quote ya hiyo verse kwa faida ya woteSoma Kumbukumbu la Torati 29:29, utapata majibu ya maswali yako.