Holly Star
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 4,327
- 8,142
Adam ni wapi aliumbwa sura ww ndo unasoma between linesNgoja nikutoe ujinga.
Mungu hakuumba wanawake wawili, ni mmoja tu.
unachotakiwa kujua ni kwamba Katika mwanzo sura ya Kwanza Uumbaji aliofanya Mungu ni kuumba Roho peke yake, Kisha Sura ya Pili ndipo mwili ulifinyangwa.
soma biblia vizuri nakwa utulivu zaidi.