Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

Sasa ikiwa mnaona ni vibaya kumtumikia Yehova chagueni leo yule mtakaemtumia, iwe ni miungu ambayo mababu zenu waliabudu nga°ambo ya mto. Yoshua 24:15

HULAZIMISHWI KUMWAMINI YEHOVA, CHAGUA MUNGU UTAKAE ONA ANA KUFAA.
Kwa vile Yehova si Mungu Yehova ni Mtoto wa Hudi aliyezaa na Sharka mke wa Pili wa Hudi baada ya Kukimbia Kutoka India [emoji1128]. Yehova alirithi Mali za Hudi na Alipofariki alizikwa kwa Heshima Kubwa sana kilima Sinai
 
Stories za dini ya kikuristo ni fix hazileti mantiki kwa normal reasoning person.
 
Ukitumia akili zako timamu utajua hapa Hakuna Ukweli wowote

Maana hao hao waliotunga hayo maandiko wanakuja Kusema Huyo waliomsulubu alikuwa ni Mungu. Ila Ukiwauliza Kwahiyo Binadamu walimuua Mungu hawana Jibu. Na Ukiwauliza Kwahiyo Dunia ilimuua Mungu na Ikawa haina Mungu kwa Siku 3 mfululizo hawana Jibu
 

Hayo mengi hayanivurugi sana linakonivuruga ni hilo la amekufa a kwa akili ya dhambi zetu ajabu zambiii zina zidi Kila kukichaaa sio kupungua
 
YESU ameshakuja na hakuwalazimisha wayahudi wamuamin hata wewe hulazimishwi umuamini YESU kama mtoto wa Mungu, ukristo tofauti na dini nyingine haumlazimishi mtu aamin doctrine yake
 

Kuna kundi la watu ambao hawajui lakini wanajifanya wanajua. Wewe upo kwenye Hilo kundi. Unaishambulia Biblia na kusema Ni uongo. Jiulize ni kwanini Yesu au Issa anatajwa Sana kwenye Quran?.
 

Huyo mwanae tena si ndio Mungu mwenyewe au hata Sielewi biblia inanichanganya
 

Sasa Mbona bd tuna dhambi [emoji16]
 
They say this theory of God is only there to help y'all overcome the worst of weathers. For a sober mind, it's got a lotta holes in it.
Naamin haujalazimishwa uamin, ukienda china utakuta watu wengi tu hawana dini na wanaishi vizuri hata wewe unaweza fuata mkondo huo, kila binadamu ana uhuru wa kuishi atakavyo ili mradi asivunje sheria na asiwe kero kwa mwenzake
 
YESU ameshakuja na hakuwalazimisha wayahudi wamuamin hata wewe hulazimishwi umuamini YESU kama mtoto wa Mungu, ukristo tofauti na dini nyingine haumlazimishi mtu aamin doctrine yake
Aliwaambia Bila Yeye hawawezi uona Ufalme wa Mbinguni unasemaje hakuwalazimisha

Basi Huijui Historia vizuri ya Ukristo. Usidhani Ukristo ulisambaa Kwa Njia Unazodanganywa Leo hii. Waulize Mababu zako, Soma Historia kuna Watu waliuliwa kwa Kuupinga hasa Baada ya Mifumo ya Upapa Kuanza na Ukoloni afrika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…