Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

Hayo mengi hayanivurugi sana linakonivuruga ni hilo la amekufa a kwa akili ya dhambi zetu ajabu zambiii zina zidi Kila kukichaaa sio kupungua
Na Utavurugika Zaidi.
[emoji3507]Dhambi hazijaisha na Zipo hata kwa wale wanaosema Wamempokea

[emoji3507]Wanasema Yupo ndani yao na Wao wapo ndani yake. Ila Unashangaa inakuwaje Mungu yupo ndani yangu ila inafikia Hatua naenda Kutembea na Malaya. Naua mtu nasema Uongo hivi akiwa ndani yangu atawezake Ruhusu mimi kufanya hayo

Tumeharibikiwa Ndugu yangu sana na Hasa Hawa Wanaomeza Tu chochote kinacho kuja Mbele yao bila Kutafakari
 
Kuna Kujua na Kufahamu. Anayejua kila kitu Ni Mungu Peke yake.
Sasa tuko pamoja, Mungu yupo nawe umekiri ndo anayejua kila kitu Sasa kwanini unahoji mambo yake kwamba hayupo au Yesu hajatumwa na Mungu!

Ubarikiwe Sana kwa kukiri uwepo na anajua kila kitu.
 
Basi Huijui Historia vizuri ya Ukristo. Usidhani Ukristo ulisambaa Kwa Njia Unazodanganywa Leo hii. Waulize Mababu zako, Soma Historia kuna Watu waliuliwa kwa Kuupinga hasa Baada ya Mifumo ya Upapa Kuanza na Ukoloni afrika.

Wewe ndio usome historia vizuri. Acha propaganda za uongo. Watu gani waliuawa, wakati wa missionary walijenga shule na mahospitali ambayo mpaka leo zinatumika. Halafu ukristo msingi wake Ni hiari sio lazima.
 
Alimtoa sadaka mwanaye mpendwa akamuacha apigwe kichapo cha aibu mpaka kifo

Fikiria huyo ni mwanaye mpendwa na hakuna mwingine kwa Mungu mwenye kuzidi viwango vya upendo kama huyo

Na bado belivers wanaendelea kutaka tuamini kuwa anatupenda

He killed his own son so that he can forgive us... but if we don’t believe he killed his own son he is gonna kill us too

What a joke but I ain't laughin?
🤣🤣🤣🤣

Umenichekesha hapo kwenye kizungu
 
Wewe Ni dhehebu gani mpaka useme Yesu sio Mungu?. Msingi wa Ukristo Ni utatu Mtakatifu. Mungu Baba, Mungu Mwana na Roho Mtakatifu. Kama huamini hilo wewe utakuwa sio mkristo Bali dini nyingine au cult.
Soma comment namba 35 nimejibu swali lako vizuri kabisa.
 
Kuna Mambo Yapo Ulimwenguni ukiyatafakari kwa Kina hayaingii Akilini ndugu waafrika wenzangu

Kuna Historia katika Vitabu kwamba Mungu alimtoa Mwanae Ili aje Kuikomboa Dunia katika Dhambi (ambazo zipo mpaka Leo)


Aliyezaliwa sio Yesu ila ni Kristo
Jina la Yesu lilishushwa toka kwa Mungu na malaika
Mungu anafanya kazi ndani yetu kupitia roho, Mungu alikaa ndani ya Kristo kupitia
Mungu ana nafasi zake katika utendaji wake;
*Mungu ni baba katika nafasi yake ya uumbaji,
*Mungu ni mwana katika nafasi yake ya ukombozi kupitia Kristo,
*Mungu oho mtakatifu katika nafasi yake ya kutenda kazi ndani yetu

Yesu ni Mungu
 
Kwa vile Yehova si Mungu Yehova ni Mtoto wa Hudi aliyezaa na Sharka mke wa Pili wa Hudi baada ya Kukimbia Kutoka India [emoji1128]. Yehova alirithi Mali za Hudi na Alipofariki alizikwa kwa Heshima Kubwa sana kilima Sinai
Hueleweki unataka nini.
 
Sasa Kwanini unahubiri kwamba Bila Yeye hakuna Mtu atauona Ufalme wa Mungu. Huko si Kulazimisha watu.

Kwanza Kumbuka Neno Ufalme ni mamlaka za Viumbe. Mungu hana ufalme

Kuna watu wengi Kama wewe wanaopotosha. Biblia ndio inasema tena Yesu Kristo mwenyewe anasema ya kwamba utafuteni ufalme wa Mungu na mengine yote mtazidishiwa. Hiyo ndio Imani ya Kikristo.
 
Kuna Mambo Yapo Ulimwenguni ukiyatafakari kwa Kina hayaingii Akilini ndugu waafrika wenzangu
1.Wenye tamaa y kwenda kula vinono wakifika huko mbinguni
2.unafki.. haina tofaut na wanaopiga vigelegele ili siku moja wapate uteuz ila kiukwel wala hawampend huyo rais.
3.uoga..kwamba bora awe mcha mungu ili asipomkuta poa na akimkuta huko poa
 
Alimtoa sadaka mwanaye mpendwa akamuacha apigwe kichapo cha aibu mpaka kifo

Fikiria huyo ni mwanaye mpendwa na hakuna mwingine kwa Mungu mwenye kuzidi viwango vya upendo kama huyo

Na bado belivers wanaendelea kutaka tuamini kuwa anatupenda

He killed his own son so that he can forgive us... but if we don’t believe he killed his own son he is gonna kill us too

What a joke but I ain't laughin?

Yohana 10:17-18
"Ndiposa Baba anipenda, kwa sababu nautoa uhai wangu ili niutwae tena. Hakuna mtu aniondoleaye, bali mimi nautoa mwenyewe. Nami ninao uweza wa kuutoa, ninao na uweza wa kuutwaa tena. Agizo hilo nalilipokea kwa Baba yangu."

Angekufa akazikwa na kuoza ingekua joke. Siku tatu tuu alifufuka na anaishi hadi sasa duniani kote
 
Na Utavurugika Zaidi.
[emoji3507]Dhambi hazijaisha na Zipo hata kwa wale wanaosema Wamempokea

[emoji3507]Wanasema Yupo ndani yao na Wao wapo ndani yake. Ila Unashangaa inakuwaje Mungu yupo ndani yangu ila inafikia Hatua naenda Kutembea na Malaya. Naua mtu nasema Uongo hivi akiwa ndani yangu atawezake Ruhusu mimi kufanya hayo

Tumeharibikiwa Ndugu yangu sana na Hasa Hawa Wanaomeza Tu chochote kinacho kuja Mbele yao bila Kutafakari

Kitu usichokijua uulize na sio kuwa mjuaji. Utakuwaje na Mungu ndani yako wakati unampinga na huamini juu ya Yesu Kristo. Anayekuongoza uende kwa Malaya ni shetani unayemshabikia ambaye mwisho wake sio mzuri. Tubu dhambi zako na uache maovu uzishike amri kumi za Mungu. Umpokee Yesu Kristo kuwa bwana na mwokozi wako hakika utaiona tofauti kabisa.
 
Kusoma Biblia hakuwezi kukuokoa anayekuokoa ni Binadamu mwenzako tu. Ukizama majiini utaokolewa, ukipata ajali utaokolewa, Biblia imejaa utunzi wa Binadamu

Ni bora ukakombolewa maana anayekukomboa ni Yule anayekuambia Ukweli. Kumbuka Adam na Hawa si Binadamu wa kwanza Kama Biblia inavyosema mana Adam na Hawa waliwakuta Binadamu Duniani kitu ambacho Biblia haijakisema

Wewe unamatatizo makubwa. Binadamu ndio anamuokoa binadamu mwenzake?. Acha kujitoa akili, nyie ndio mkiuguua tumbo mnaanza kulia Mungu nisaidie nakufa. Wakati wa Nuhu walikuwepo wabishi zaidi yako lakini mwisho ulipofika waliliia Kama watoto. Juzi hapa kulikuwa na Corona Tanzania tukafany maombi ya kufunga, je Kuna binadamu gani alikuwa ana uwezo wa kuondoa corona?.
 
Kuna Mambo Yapo Ulimwenguni ukiyatafakari kwa Kina hayaingii Akilini ndugu waafrika wenzangu

Kuna Historia katika Vitabu kwamba Mungu alimtoa Mwanae Ili aje Kuikomboa Dunia katika Dhambi (ambazo zipo mpaka Leo)

Ukiangalia kwa Undani Historia hii ya kuzaliwa kwake inatia Shaka sana kabla ya Kujua Majibu ya kuzaliwa kwake inakuja Historia kwamba hana
Kalagabaho!
 
Kwa vile Yehova si Mungu Yehova ni Mtoto wa Hudi aliyezaa na Sharka mke wa Pili wa Hudi baada ya Kukimbia Kutoka India [emoji1128]. Yehova alirithi Mali za Hudi na Alipofariki alizikwa kwa Heshima Kubwa sana kilima Sinai

Wewe unakaribia kuchanganyikiwa. Andaa mkutano uanze kufundisha watu Imani yako na sio kuvamia Imani za watu wengine ili Cha kwako kiwe Bora. Kwa kukufahamisha tofautisha Mungu na miungu yako. Mungu Ni mmoja na miungu Ni mingi zaidi ya elfu kumi.
 
FabNXTzqEtcgazfbjjfo

YOHANA 3:16
Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.

Iko hivi, Mungu hajatuogopa ila anatupenda sana.

Kuzaliwa kwa Yesu hakuna Mashaka wala wasiwasi. Ni wewe tu umechagua kutoelewa.


Mathayo 1:18 (SRUV)

Kuzaliwa kwake Yesu Kristo kulikuwa hivi. Mariamu mama yake alipokuwa ameposwa na Yusufu, kabla hawajakaribiana, alionekana ana mimba kwa uweza wa Roho Mtakatifu.


Yusufu na Mariamu walikuwa wachumba, walikuwa hawajafanya mapenzi.
 
Back
Top Bottom