FabNXTzqEtcgazfbjjfo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 1,486
- 1,874
- Thread starter
-
- #641
Ni ngumu kwao kukubali Hilo ingawa Moyoni wanajua Ukweli Ulipo ila Hawataki kukubaliana Na Ukweli kwamba Wamepotoshwa sana na WameharibikiwaBaba akiitwa mwanasheria mtoto pia ataitwa mwanasheria?
Au tuseme baba akiwa hakimu mtoto pia ataitwa hakimu?
Au tuseme baba akiitwa rais mtoto pia ataitwa rais?
[emoji2377][emoji2377][emoji2377]
Kwanini hamtaki kukubali kuwa baba na mtoto hawako sawa??
Umechagua Jambo Jema. Tafuta Hekima Itakayokufaa katika Vitabu ila Kuwa Muumini wa Akili Timamu tu Ndugu hakuna Malaika waongo... Majini waongo watakaokusumbuaMkuu me nasoma biblia ila sipotezi mda wangu kusoma story sijui za waisrael, sijui wakina ESTA , au story za makabila ya waisrael ,cjui washeba, mara sijui wanan , Mimi huwa napenda mistari inayoniongezea busara na maarifa kama hekima ,enjili nk
Huo ni ujuha wako tu. Qur'an inajitosheleza. Hakuna neno la Binaadam lishindane na la Allah. Kuamini kuwa hadith (maneno ya binaadam) ndio yanatafsiri maneno ya Mwenyeezi Mungu ni kufanya shirki.Mutah girl koran bila Hadith na tafsir haieleweki inaacha maswali yasiyo na majibu
Mfano Aya hii
Koran 66:4. Kama nyinyi wawili hamkutubia kwa Mwenyezi Mungu, basi nyoyo zenu zimekwisha elekea huko. Na mkisaidiana dhidi yake muhammad, basi hakika Allah ndiye kipenzi chake, na Jibrili, na Waumini wema, na zaidi ya hayo Malaika pia watasaidia.
Utajiuliza maswali
1. hao wawili ni kina nani? ,
2. Wamefanya dhambi gani mpaka waambiwe watubu? ,
3. Wakisaidiana dhidi ya Muhammad kwani Muhammad kafanya nini? ,
4. Kwa nini Allah asaidiane na Malaika wote , jibril na waumini wote kupambana na hao wawili?
5. Awa wawili wana nguvu gani mpaka Allah asaidiwe
Jibu unalipata Kwenye Hadith
1. Wawili ni Aisha na hafsa
2. Walikuwa wanamkataza Muhammad kubaka House girl
3. Muhammad alikuwa ana mbala house girl anaitwa maria
4. Allah hana nguvu
5. Walikuwa wanammandi Muhammad mpaka Allah akaingilia kati kumruhusu kutembea na house girl
Hadith inamajibu
Muhammad had a female slave with whom he had intercourse, but 'Aishah and Hafsah would not leave him alone until he said that she was forbidden for him. Then Allah, the Mighty and Sublime, revealed:
"O Prophet! Why do you forbid (for yourself) that which Allah has allowed to you.' until the end of the Verse. Sunan an-Nasa'i 3959
Hujui Kwamba Huko Ndiko kuna Miungu Tofauti tofauti kuliko unaposema Mababu wa Miungu.Mababu walikuwa na Mungu si MiunguSoma uelewe kwanza.. umeambiwa kama unaona Miungu ya babu zenu inafaa nendeni mkaiabudu. HAUJALAZIMISHWA KUIAMINI BIBLIA.
Kama Tanzania tunavyotumia kiingereza na kiswahiliKwa hiyo hapo unasema waliongea lugha tofayti tofauti, au sijakuelewa?
Jibu Aya maswali bila Hadith wala tafsirHuo ni ujuha wako tu. Qur'an inajitosheleza. Hakuna neno la Binaadam lishindane na la Allah. Kuamini kuwa hadith (maneno ya binaadam) ndio yanatafsiri maneno ya Mwenyeezi Mungu ni kufanya shirki.
Qur'an ni "criterion", yenyewe inasema imekuja kuweka sawa palipotiwa mikono ya watu, sasa tuendeleze ujinga huohuo wa kutia mikono yetu na kuiona kuwa Qur'an haijitoshelezi? Kwa mtazamo wangu huo ni ujuha tu.
Qur'an haina shaka.
Haileti maana yoyote pale tunapoambiwa Mungu anajua hadi wakati ujao. Alafu huyo huyo anaweka mpango siku moja aumbe binadamu huku akijua watamuasi na itambidi amtoe mwanae wa pekee kama sadaka.Kuna Mambo Yapo Ulimwenguni ukiyatafakari kwa Kina hayaingii Akilini ndugu waafrika wenzangu
Kuna Historia katika Vitabu kwamba Mungu alimtoa Mwanae Ili aje Kuikomboa Dunia katika Dhambi (ambazo zipo mpaka Leo)
Ukiangalia kwa Undani Historia hii ya kuzaliwa kwake inatia Shaka sana kabla ya Kujua Majibu ya kuzaliwa kwake inakuja Historia kwamba hana Baba. Kabla hujapata Majibu ya Baba ni nani Inakuja Kwamba ni Uwezo wa Mungu ndio akazaliwa. Yanakuwa Maswali juu ya Maswali
Kumbuka Yusufu na Mariam si kwamba Walikuwa ni Wachumba la hasha bali walikuwa tayari wapo Ndani (wameoana) wanaishi pamoja. Hakuna wachumba Wanaoishi pamoja kwa Utaratibu wa Kuishi. Ukichumbia wewe utakaa kwako na Huyo mchumba atakaa kwao. Kama Waliishi pamoja maana Yake waliweza Kushiriki Tendo la Ndoa yao na Ukifuatilia kwa Makini Yusuf alikuwa Pamoja na Mariam kila Sehemu hakuna Sehemu inayosema Alikuja Kumuoa mariam Ikiwa na Maana Kwamba Tayari alikuwa keshaoa maana yake ule uchumba ulio andikwa Tayari ukayeyuka
Binadamu huzaliwa Kwa Mwanaume na Mwanamke hili halina ubishi. Ila Kuna Kuja Utata wa Hapa Kwamba Yesu alizaliwa bila Mfumo maalumu wa Uzazi wa Baba na Mama ila Roho Mtakatifu kama Wanavyodai (kumbuka Hata Huko india Wapo Watu wenye Hadithi hizi hizi za Kuzaliwa bila Baba)
Sasa Hapa Unajiuliza Maswali. Mungu huyo aliyeweza Kumuumba Mwanadamu wa Kwanza Bila Kutumia mifumo ya Uzazi Inakuwaje leo aje Aanze Kumuumba Binadamu mwingine anayedaiwa ni Mwanae kwa Mifumo ya Uzazi na Akaenda kwa Mariam ambaye alikuwa teyari ana Mume(kumbuka Hapa Mungu hazai na Wala Hakuzailiwa)
Sasa Anamzaa mwanae kupitia Mariam mara Yusufu atake kumkimbia Mariam maana Kuna Siri May be Yusufu aliiona akaona Hapa Nimepigwa na Baada ya Yesu kuzaliwa Yusuf Anapotea Ghafla kwenye Maandiko na Historia yake inaishia Hapo hapo
Mungu anamtoa Mwanae. Anakuja Mnamkataa, mnampiga, mnamtesa anawahubiria mnagoma Kukubali maneno yake mnamfukuza kwenye masinagogo yake, Anaenda Kusali mlimani peke yake, anakusanya wanafunzi wake. Hao wanafunzi nao mnawakataa mnawafukuza. Hivi Mungu hapo anawaogopa Nyie kisa Nini mpak Awafanyie Haya Yote Nyie Viumbe wake
Yaani Mungu mpaka Anatoa Mtoto wake Wa Pekee ili awabembeleze nyie mmrudie Yeye na Mnakataa. Sasa Hapo Mungu Anakuwa na Ule Uwezo na Kutoshindwa Kitu kweli. Kama Kawatumia Mwanae na Mmemgomea kawatumia Manabii na Mitume mmemgomea Tena na hamtaki kumrudia. Hivi Mungu anawalemba Hivyo Ili Iweje
Si kila Mtu anayezaliwa bila Baba Yake basi Baba Yake ndio Mungu. Wachawi wanazini na Binadamu kila Siku na Wachawi hao hao ndio Binadamu wenzenu. Wanawake wanabeba Mimba zingine wasizozijua zimetoka wapi
Basi Mjue Kwamba Hapo Mwenye Enzi Mungu hayupo na Mnaozeshwa Akili zenu ndugu zangu. Kaeni Chini Mtafakari kwa Akili zenu Timamu. Mungu hawezi kufanya hayo Kwa Viumbe wake. Yeye hayupo Hivyo
[emoji3507]Mungu si Mmoja
[emoji3507]Mungu si Wengi
[emoji3507]Mungu si Baba
[emoji3507]Mungu si Mama
[emoji3507]Mungu si Kiumbe
[emoji3507]Mungu hachukii Viumbe
[emoji3507]Mungu hapendi Viumbe wake ila Ana Enzi na Viumbe wake (usijione wewe Kiumbe Mtu unapendwa na Mungu Kuliko Viumbe wake wengine aliowaumba)
[emoji3507]Mungu hakuzaa wala Kuzaliwa
Yachunguzeni maandiko Yenu mtajua kwamba si Maandiko ya kiucha Mungu ila Maandiko ya Viumbe wenye Tamaa
ASANTENI
Ndivyo watu wanaishi kwenye Hizo ImaniHaileti maana yoyote pale tunapoambiwa Mungu anajua hadi wakati ujao. Alafu huyo huyo anaweka mpango siku moja aumbe binadamu huku akijua watamuasi na itambidi amtoe mwanae wa pekee kama sadaka.
Alafu hapo hapo anaweka na moto wa milele. Yani alijua kabisa atamuumba mtu na mtu atazingua na itabidi kumchoma moto ila akamuumba ili aone shoo ya moto wa milele imekaaje.😔Ndivyo watu wanaishi kwenye Hizo Imani
Nilisha kuonya ukitaka kujua Imani ya watu kaisome kwanza uelewe, Mungu wa wakristo unatakiwa uelewe yupoje ili kuepuka maswali ya kitotoHujui Kwamba Huko Ndiko kuna Miungu Tofauti tofauti kuliko unaposema Mababu wa Miungu.Mababu walikuwa na Mungu si Miungu
Hamjui kwamba Huko Mnaabudu Miungu mitatu (utatu)
Wakija Watakuambia Unakufuru. Yaani Unatengeza Kitu kama Gari aj Baskeli halafu Kikikuangusha Unakichoma Moto na Kusema Umekikomesha na Kitasaga MenoAlafu hapo hapo anaweka na moto wa milele. Yani alijua kabisa atamuumba mtu na mtu atazingua na itabidi kumchoma moto ila akamuumba ili aone shoo ya moto wa milele imekaaje.[emoji17]
Hizo porojo zako binafsi, weka ushahidi wa maandiko, kama huna ni heri ukae kimya tu.
Aisee mbona unachukua aya moja tu katafute aya toka ya kwanza ndo utajua maana yakeJibu Aya maswali bila Hadith wala tafsir
Mfano Aya hii
Koran 66:4. Kama nyinyi wawili hamkutubia kwa Mwenyezi Mungu, basi nyoyo zenu zimekwisha elekea huko. Na mkisaidiana dhidi yake muhammad, basi hakika Allah ndiye kipenzi chake, na Jibrili, na Waumini wema, na zaidi ya hayo Malaika pia watasaidia.
maswali
1. hao wawili ni kina nani? ,
2. Wamefanya dhambi gani mpaka waambiwe watubu? ,
3. Wakisaidiana dhidi ya Muhammad kwani Muhammad kafanya nini? ,
4. Kwa nini Allah asaidiane na Malaika wote , jibril na waumini wote kupambana na hao wawili?
5. Awa wawili wana nguvu gani mpaka Allah asaidiwe
Una Ucha Mungu Mkubwa Sana ila Unatetea Imani Za Wengine ambazo huzijui ndugu yangu. Unapomuita Mungu Baba na Kumwita Yesu Mungu Mwana Hao Ni Miungu Miwili tayariNilisha kuonya ukitaka kujua Imani ya watu kaisome kwanza uelewe, Mungu wa wakristo unatakiwa uelewe yupoje ili kuepuka maswali ya kitoto
Mungu ni Roho na ana nafsi tatu toka uwepo wake , ana Nafsi Baba , Mwana na Roho mtakatifu na nafsi zake zote ni divine
Mungu alitengeneza mwili humani flesh ambayo ilipitia kwa maria ambayo ndio aliitoa sadaka na kufuta sadaka zote za damu za wanyama
Acha Kupanic ndugu yanguAliitoa nafsi yake moja ya mwana ndio ikavaa mwili human flesh huo mwili iliopitia kwa maria
Mungu hazai wala hajazaliwa , Mungu hafi
Mwili alikuwa nao nafsi mwana ndio ulikufa na aliufufua mwenyewe huo mwili
Alikuja kwetu kutufunza jinsi ya kuishi utakati na jinsi tunatakiwa kumuabudu Mungu
Kuna mda Yesu alikuwa anaongea kama human flesh na kutenda kama human
Na Kuna mda alikuwa anaongea nafsi ya Mungu ambayo ilikuwa ndani yake kama miujiza , kufufua wafu , kusamehe dhambi n.k
Unaposoma biblia unatakiwa ujue wapi Yesu anaongea kama human flesh na wapi anaongea kama Mungu
Ndio maana Kuna watu niliwakanya hapa wasiingize nature ya Mungu wao kwa Mungu wa wakristo na wewe nakukanya usilete nature ya Mungu wako kwa Mungu wa wakristo
You a demonic possessed
Baba akiitwa mwanasheria mtoto pia ataitwa mwanasheria?
Au tuseme baba akiwa hakimu mtoto pia ataitwa hakimu?
Au tuseme baba akiitwa rais mtoto pia ataitwa rais?
[emoji2377][emoji2377][emoji2377]
Kwanini hamtaki kukubali kuwa baba na mtoto hawako sawa??
Hivi kwanini huwa mnawatazama watu wa dini tu tena wakristo na waislamu tu, wenye imani tofauti na hizo mbona hamuwatizami? na wale wasioamini Mungu au dini mbona hamuwaubilii?Ndugu Dira Ilikuwepo Ila Kutokana Na Kuja Kwa Wakoloni wakaita Ni Ushenzi na Uchawi. Sasa hivi Watu wanakesha Waangalia Kwaya na Kwenda Kusali Ijumaa. Jumamosi na Jumapili huo Muda wa Kusema Au Kutafuta Ukweli wa Ki Utu na Dira ya Kiafrika wataupta Wapi
Tena Akifika Huko wanaanza Kukemea Mizimu ya Mababu zao. Unategema Watakuwa Salama Hao zaidi ya Kuharibikiwa
Wapagani- hawa ni Watu wasioegemea Upande wowote ule wa Ki dini. Wanaweza Wakawa wanajua Ukweli ila Wakaa pembeni tu Hawajihusishi na ChochoteHivi kwanini huwa mnawatazama watu wa dini tu tena wakristo na waislamu tu, wenye imani tofauti na hizo mbona hamuwatizami? na wale wasioamini Mungu au dini mbona hamuwaubilii?
Kwani hao wazee wetu afrika tunajua hizo imani zao walizipata wapi na kwa vp? hapa kinachoonekana lengo ni kuwa na kitu chetu wenyewe waafrika na kuacha kutumia vitu vya kuletewa ndio maana uislamu na ukristo tunaita ni imani za kuletewa sio asili yetu. Kwahiyo na sisi tuanzishe dini yetu yenye kubeba mambo ya kiafrika na kwa sasa tuna nafasi nzuri tunaweza kuandika hivyo hata vizazi vyetu vijavyo watakuta maandiko ya dini ya mababu zao.Utaanzishaje Dini Yako au Imani yako Ndugu wakati hujui Mwanzo kulikuwaje. Hata Watu wakikuuliza Umetokea Wapi utawajibuje Wakati Dini yako Umeianzisha 2022.
Kwani Wewe ndugu yangu Tz Mbongo. Unajua Elimu za Mababu wa Israeli kina Musa.. Elia.. Isaya walizipataje.!? Au umesoma Tu kwamba Walipata Kwa Mungu na Wewe ukaamini Bila KuhojiKwani hao wazee wetu afrika tunajua hizo imani zao walizipata wapi na kwa vp?
hapa kinachoonekana lengo ni kuwa na kitu chetu wenyewe waafrika na kuacha kutumia vitu vya kuletewa ndio maana uislamu na ukristo tunaita ni imani za kuletewa sio asili yetu. Kwahiyo na sisi tuanzishe dini yetu yenye kubeba mambo ya kiafrika na kwa sasa tuna nafasi nzuri tunaweza kuandika hivyo hata vizazi vyetu vijavyo watakuta maandiko ya dini ya mababu zao.