Mutah girl koran bila Hadith na tafsir haieleweki inaacha maswali yasiyo na majibu
Mfano Aya hii
Koran 66:4. Kama nyinyi wawili hamkutubia kwa Mwenyezi Mungu, basi nyoyo zenu zimekwisha elekea huko. Na mkisaidiana dhidi yake muhammad, basi hakika Allah ndiye kipenzi chake, na Jibrili, na Waumini wema, na zaidi ya hayo Malaika pia watasaidia.
Utajiuliza maswali
1. hao wawili ni kina nani? ,
2. Wamefanya dhambi gani mpaka waambiwe watubu? ,
3. Wakisaidiana dhidi ya Muhammad kwani Muhammad kafanya nini? ,
4. Kwa nini Allah asaidiane na Malaika wote , jibril na waumini wote kupambana na hao wawili?
5. Awa wawili wana nguvu gani mpaka Allah asaidiwe
Jibu unalipata Kwenye Hadith
1. Wawili ni Aisha na hafsa
2. Walikuwa wanamkataza Muhammad kubaka House girl
3. Muhammad alikuwa ana mbala house girl anaitwa maria
4. Allah hana nguvu
5. Walikuwa wanammandi Muhammad mpaka Allah akaingilia kati kumruhusu kutembea na house girl
Hadith inamajibu
Muhammad had a female slave with whom he had intercourse, but 'Aishah and Hafsah would not leave him alone until he said that she was forbidden for him. Then Allah, the Mighty and Sublime, revealed:
"O Prophet! Why do you forbid (for yourself) that which Allah has allowed to you.' until the end of the Verse. Sunan an-Nasa'i 3959