dormant accont
Senior Member
- Jan 4, 2022
- 154
- 162
Yeah!Kwani hao wazee wetu afrika tunajua hizo imani zao walizipata wapi na kwa vp? hapa kinachoonekana lengo ni kuwa na kitu chetu wenyewe waafrika na kuacha kutumia vitu vya kuletewa ndio maana uislamu na ukristo tunaita ni imani za kuletewa sio asili yetu. Kwahiyo na sisi tuanzishe dini yetu yenye kubeba mambo ya kiafrika na kwa sasa tuna nafasi nzuri tunaweza kuandika hivyo hata vizazi vyetu vijavyo watakuta maandiko ya dini ya mababu zao.
Sasa hao nao wanafaa kuwahubiria ili wafuate ili waujue ukweli na kuufuata na hata kama wanaujua ukweli pia muwahubirie waufuate kwa vitendo na sio kujiweka pembeni. Tena hao ndio ingekuwa ni wepesi kuwahubiria maana hawajafungwa na imani za dini wapo huru ila matokeo yake mmewaacha hao na kupambana na watu wa dini.Wapagani- hawa ni Watu wasioegemea Upande wowote ule wa Ki dini. Wanaweza Wakawa wanajua Ukweli ila Wakaa pembeni tu Hawajihusishi na Chochote
Wakristu na Waislamu wao Hujinadi wanamjua Mungu na Ndio wenye Mungu wa Kweli kuliko Wengine na uwahubiria Watu wengine wamepotea na Watachomwa Moto kama Hawatomwamini Mungu wao
Wakati Ukweli ni Kwamba Ni Dini zilizoletwa na Viumbe wapotofu na Hazina Ukweli ndani yake. Ukweli upo kwenye Jadi na Elimu ya Mwanzo ya Wazee wetu waliomjua Mungu kabla ya Hizo Dini Kuja
Unanielewa lakini mkuu?Kwani Wewe ndugu yangu Tz Mbongo. Unajua Elimu za Mababu wa Israeli kina Musa.. Elia.. Isaya walizipataje.!? Au umesoma Tu kwamba Walipata Kwa Mungu na Wewe ukaamini Bila Kuhoji
Elimu Yetu ipo Inaitwa SENDE ESUPRY DEWO OCHI. Ni Kibantu kikimaanisha NGUVU ILIYODUMU KATIKA JADI
Yeah tena itakuwa vizuri kabisa, kama tunaamini tulikuwa na imani za mababu zetu ambazo ni tofauti na jamii zengine basi pia nasi twaweza kuunda dini yetu made in Tanzania.Yeah!
Tuanzishe dini yetu ya kitanzania🤝💪🏿
Sasa hayo si mambo ya kawaida sana, au huelewi unachokisoma? wapi alipoitwa "mwana wa Mungu"? Mbona biblia ina wana wa Mungu wengi kwa matani (wengi sana) huwaelewi?Waebrania : 1 : 4 - amefanyika bora kupita malaika, kwa kadiri jina alilolirithi lilivyo tukufu kuliko lao.
Waebrania : 1 : 8 - Lakini kwa habari za Mwana asema, Kiti chako cha enzi,Mungu,ni cha milele na milele; Na fimbo ya ufalme wako ni fimbo ya adili.
Maandiko hayo hapo
Baba anamuita mwana Mungu.
Nimesema hakuna miungu ila Kuna Mungu na ana nafsi tatu , alafu Mungu ata akisema nipo kumi shida ni nini?Una Ucha Mungu Mkubwa Sana ila Unatetea Imani Za Wengine ambazo huzijui ndugu yangu. Unapomuita Mungu Baba na Kumwita Yesu Mungu Mwana Hao Ni Miungu Miwili tayari
Na Ki Utu... Baba Ni Jinsia ya Kiume ya Viumbe. Mungu Hawezi akawa na Sifa za Kiumbe yeye Hafanani na Chochote kile wala Kiumbe chochote kile
1.Mungu hakuwa na Haja Ya Kufanya Hayo Yote wakati aliweza Kumuumba Adam unayemwamini kama Mwanadamu wa Kwanza Kutoka Kwenye Udongo. Mimba ya Mariam ina utata maana Malaika Aliyekuja Kumjuza Alimwambia Mtoto atamwita Yesu wakati Isaya Alitabiri ataitwa Emanueli angetakiwa Kumuita Kama ilivyotabiriwa na Isaya kwanza
2. Wayahudi waliendelea na Ibada za Wanyama na Kuendelea na Torati. Yesu Hakuziondoa Hizo Sadaka
Acha Kupanic ndugu yangu
Mie Maswali yangu Ndugu ni Haya
1. Wewe ulifanya Nini Mpaka Akatoa Nafsi yake Ije Duniani na Aitoe Sadaka
2. Alikuja Kukufundishajw Kuabudu wakati Musa Alikuwa na Torati tayari iliyokuwa na Miongozo Mingi
3. Na Inakuwaje Yesu alipopatwa na Magumu alienda Kuongea na Musa na Elia wakati nafsi mbili aliziacha Mbinguni. Kwanini Asingeongea na Mungu mwenyewe
Sasa Ndugu unaanzishaje wakati Binadamu wa Kwanza keshawapa Watu(Wabantu) utaratibu wa Kumwabudu Mungu katika Jadi.Unanielewa lakini mkuu?
Nachosema ni kwamba tuanzishe sasa dini yetu waafrika na itambulike kuwa hii ni dini ya waafrika kama zilivyo dini za wazungu na waaarabu, maana hizo si za kuletewa basi tuanzishe za kwetu kwa hiki kipindi chetu na tuachane na hizo za urithi ambazo zilikuwa ni imani za mababu zetu katika kipindi chao huko na mazingira yao.
Tuanzishe cha kwetu chenye kuendana na mazingira yetu ya sasa.
Ukianzisha Dini Hutakuwa tofauti na Dini zingine tu. Mnatakiwa Kurudi katika Taratibu zilizoachwa na Wazee wenu kipindi wanapelekwa KutumikishwaYeah!
Tuanzishe dini yetu ya kitanzania[emoji1666][emoji1548]
Si uweke ili Kuweka mambo wazi na uoneshe nilivyo danganya mbona simple SanaAisee mbona unachukua aya moja tu katafute aya toka ya kwanza ndo utajua maana yake
Mungu haubiriwi ndugu yangu. Mahubiri na Kusambaza Imani Zimeletwa na Hao Watu kutoka Huko Ukoloni. Afrika Mungu alikuwa haubiriwi popote paleSasa hao nao wanafaa kuwahubiria ili wafuate ili waujue ukweli na kuufuata na hata kama wanaujua ukweli pia muwahubirie waufuate kwa vitendo na sio kujiweka pembeni. Tena hao ndio ingekuwa ni wepesi kuwahubiria maana hawajafungwa na imani za dini wapo huru ila matokeo yake mmewaacha hao na kupambana na watu wa dini.
1) Kasome hiyo sura kuanzia mwanzo mpaka ukifika hapo aya ya 4 utakuwa umeshapata majibu ya maswali yako yote.Jibu Aya maswali bila Hadith wala tafsir
Mfano Aya hii
Koran 66:4. Kama nyinyi wawili hamkutubia kwa Mwenyezi Mungu, basi nyoyo zenu zimekwisha elekea huko. Na mkisaidiana dhidi yake muhammad, basi hakika Allah ndiye kipenzi chake, na Jibrili, na Waumini wema, na zaidi ya hayo Malaika pia watasaidia.
maswali
1. hao wawili ni kina nani? ,
2. Wamefanya dhambi gani mpaka waambiwe watubu? ,
3. Wakisaidiana dhidi ya Muhammad kwani Muhammad kafanya nini? ,
4. Kwa nini Allah asaidiane na Malaika wote , jibril na waumini wote kupambana na hao wawili?
5. Awa wawili wana nguvu gani mpaka Allah asaidiwe
Hizo lugha walizoongea ndizo unazotumia leo kwenye biblia yako?Kama Tanzania tunavyotumia kiingereza na kiswahili
Biblia ipo kwa lugha yake original , ndio maana ata Allah akatumia neno injil ambalo sio la kiarabu kuelezea kitabu Cha issaHizo lugha walizoongea ndizo unazotumia leo kwenye biblia yako?
Au kwa ufupi, Biblia yako ipo kwa lugha aliyoitumia Yesu?
Mutah girl Jibu hapa Aya maswali acha kuleta janja janja ya kitoto1) Kasome hiyo sura kuanzia mwanzo mpaka ukifika hapo aya ya 4 utakuwa umeshapata majibu ya maswali yako yote.
Soma kijana.
Nimesema hakuna miungu ila Kuna Mungu na ana nafsi tatu , alafu Mungu ata akisema nipo kumi shida ni nini?
Baba sio kwa jinsi unavyoelewa wewe na wala Haina maana yoyote ya jinsia , ndio maana unakuta nchi inaitwa mama, na wala haimanishi nchi ina jinsia
Musa alifundisha wakati wake na Sheria za kipindi hicho ambacho Mungu aliona zinafaa kwao
Kwa ukristo tunaamini Mungu anapatiliza dhambi toka kizazi mpaka kizazi,
Dhambi tunairithi toka kwa adamu
Unapotosha makusudi soma ukristo na uelewa wanavyo elewa ,
Shida Iko wapi Yesu akiongea na Elia na musa?
Isaya alisema Emmanuel , Emmanuel maana yake ni Mungu pamoja nasi , Yesu mwili wake ulikuwa na nafsi moja ya mwana ndani yake ambayo nafsi hiyo ni devine ni Mungu ndani ya mwili wa Yesu ndio alicho maanisha Isaya
Ndio maana nakwambia you are demonic possessed ,
Na acha kuingiza nature ya Mungu wako kwa Mungu wa wengine
Sasa hayo si mambo ya kawaida sana, au huelewi unachokisoma? wapi alipoitwa "mwana wa Mungu"? Mbona biblia ina wana wangi kwa matani (wengi sana) huwaelewi?
Binaadam yeyote ameumbwa kwa ubora wa kuweza kuamua jema na baya, ni ubora ambao hakupewa malaika.
Hilo la mwisho mbona ni haki yetu wote kumsifu Mungu?
Sioni ushahidi hapo, unajidanganya tu mpaka sasa. Kinaandikwa kingine unataka kukitia maana nyingine.
Ni ngumu kwao kukubali Hilo ingawa Moyoni wanajua Ukweli Ulipo ila Hawataki kukubaliana Na Ukweli kwamba Wamepotoshwa sana na Wameharibikiwa
Hata Jina La Yesu Halikutabiriwa katika Maandiko ila Aliyetabiriwa alikuwa ni Emanueli
Hapana, kwani kuna ulazima?Hizo lugha walizoongea ndizo unazotumia leo kwenye biblia yako?
Au kwa ufupi, Biblia yako ipo kwa lugha aliyoitumia Yesu?
Kwanza hii sadaka aliitoa kumpa nani? Na pili je upande mmoja anatoa mwenyewe na upande wa pili anapokea mwenyewe???Una Ucha Mungu Mkubwa Sana ila Unatetea Imani Za Wengine ambazo huzijui ndugu yangu. Unapomuita Mungu Baba na Kumwita Yesu Mungu Mwana Hao Ni Miungu Miwili tayari
Na Ki Utu... Baba Ni Jinsia ya Kiume ya Viumbe. Mungu Hawezi akawa na Sifa za Kiumbe yeye Hafanani na Chochote kile wala Kiumbe chochote kile
1.Mungu hakuwa na Haja Ya Kufanya Hayo Yote wakati aliweza Kumuumba Adam unayemwamini kama Mwanadamu wa Kwanza Kutoka Kwenye Udongo. Mimba ya Mariam ina utata maana Malaika Aliyekuja Kumjuza Alimwambia Mtoto atamwita Yesu wakati Isaya Alitabiri ataitwa Emanueli angetakiwa Kumuita Kama ilivyotabiriwa na Isaya kwanza
2. Wayahudi waliendelea na Ibada za Wanyama na Kuendelea na Torati. Yesu Hakuziondoa Hizo Sadaka
Acha Kupanic ndugu yangu
Mie Maswali yangu Ndugu ni Haya
1. Wewe ulifanya Nini Mpaka Akatoa Nafsi yake Ije Duniani na Aitoe Sadaka
2. Alikuja Kukufundishajw Kuabudu wakati Musa Alikuwa na Torati tayari iliyokuwa na Miongozo Mingi
3. Na Inakuwaje Yesu alipopatwa na Magumu alienda Kuongea na Musa na Elia wakati nafsi mbili aliziacha Mbinguni. Kwanini Asingeongea na Mungu mwenyewe