Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

1. Muhammad alifanya dhambi ya kuharamisha kitu ambacho ni halali kwa nini?
Kwa ajili ya kuwaridhisha wake zake, mbona aya imeonyesha na sababu ? Unapoteza muda wa nini ?
2. Ni kitu gani Muhammad aliharamisha?
Alijijaramishia yeye mwenyewe nafsi yake asali. Si kwa wote.
3. ALItaka kuwaridhia wake zake ,je ni wote 13 au ni baadhi?
Hii idadi ya wake 13 umeipata wapi ? Naomba ututhibitishie ya kuwa Mtume alikuwa na wake 13 kwa wakati mmoja.
4. Nani anaongea kwenye hii Aya Muhammad
Anawasilisha Mtume maneno ya Allah kama yalivyo.
Kama ni Allah kwa Nini anamtaja mwenyezi Mungu badala aseme nilikuhalalishia Mimi
Mtume alikuwa anashushiwa aya kama ilivyo, bila kubadilisha herufi yoyote ndiyo maana Qur'aan ni maneno ya Allah.

Kisha rejea katika aya ya kabla yake na baada yake.

Usiwe unauliza maswali ya kitoto.
 
Sijasema ninayoamini Mm ndio ukiyaamini ndio unakuwa na Akili Timamu. Akili Timamu ni Uwezo wa Kuchambua ukweli na Uongo katika Jambo Lolote Linalokuja kwako.

Ndio maana Silazimishi mtu kuyaaamini Haya niyasemayo Ila Yeye Mwenyewe Achambue Kama Yana Ukweli au Laah
Ndio hatutapata jibu moja kwa maana wapo ambao wataona unayoamini wewe ndio ukweli ila mwengine ataona hakuna ukweli na kuona mtazamo mwengine huko ndio una ukweli, na wote hao wametumia akili zao timamu.

Unajua ndio maana nakwambia jaribu uwaambie huo mtazamo wako na watu ambao hawaamini Mungu nao ili uone watachambua vp ila wewe umekazana kushambulia watu wa dini tu na kulinganisha mafundisho yao na hayo yako kwa kuona yako ni bora.
 
Bibie Faiza umezidiwa hoja.
Ushauri
Mkiri Yesu, ubatizwe, upate uzima wa milele katika yeye.
BILA YESU MBINGUNI HUTOBOI
Sasa unamkiri vipi Yesu wakati muda wake ushapita. Na ukristo hauku uleta Yesu ?

Au unamkiri Yesu kupitia nini na mfaundisho gani ? Msaada tafadhali ?
 
Siioni hoja, naona viroja. Swali nililomuuliza yeye ntakuuliza wewe.

Unamuamini Allah?

Ukiongelea kuhusu Yesu alayhi salaam, elewa kuwa hakuna kuwa Muislam kama humuamini na kufata mafundisho ya Yesu. Jiulize wewe, unamfata Yesu au unamfata mzungu aliyetundikwa msalabani kwa laana?

Faiza umesema uongo kwamba hakuna kuwa Muislam kama humuamini na kufata mafundisho ya Yesu.
Sote tuna fahamu kwamba ili uwe muislamu lazima utoe shahada kwa allah na mtume wake Muhammad.
Narudia tena
Mkiri Yesu kwamba ni Mwana wa Mungu,ubatizwe upate uzima wa milele.
BILA YESU MBINGUNI HUTOBOI
 
Sasa unamkiri vipi Yesu wakati muda wake ushapita. Na ukristo hauku uleta Yesu ?

Au unamkiri Yesu kupitia nini na mfaundisho gani ? Msaada tafadhali ?

Warumi : 10 : 9 - Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka.
 
Warumi : 10 : 9 - Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka.
Hayo maneno amesema Yesu au ? Tuwekee matini ya hayo maneno tusome wote, kisha uniambie hicho kitabu cha Warumi kimeandiwa na nani ?
 
Ndio hatutapata jibu moja kwa maana wapo ambao wataona unayoamini wewe ndio ukweli ila mwengine ataona hakuna ukweli na kuona mtazamo mwengine huko ndio una ukweli, na wote hao wametumia akili zao timamu.

Unajua ndio maana nakwambia jaribu uwaambie huo mtazamo wako na watu ambao hawaamini Mungu nao ili uone watachambua vp ila wewe umekazana kushambulia watu wa dini tu na kulinganisha mafundisho yao na hayo yako kwa kuona yako ni bora.
Humu ndani Wapo watu wa Aina Tofauti tofauti hakuna Mwenye Chapa Ya Kuwa Mimi Sina Imani. Ila Najua Wapo Watachambua Wenyewe Kwa Akili zao. Sitaki wafuate Wao Wenyewe wachambue waone wasimamie Wapi na Wapi watafute Ukweli

Tupo Duniani Kujua Ukweli ndio maan Tunaangaika
 
Humu ndani Wapo watu wa Aina Tofauti tofauti hakuna Mwenye Chapa Ya Kuwa Mimi Sina Imani. Ila Najua Wapo Watachambua Wenyewe Kwa Akili zao. Sitaki wafuate Wao Wenyewe wachambue waone wasimamie Wapi na Wapi watafute Ukweli

Tupo Duniani Kujua Ukweli ndio maan Tunaangaika
Sasa ndio siku nyengine andaa uzi kuwaeleza ukweli na kukosoa mitazamo yao watu kama wakana mungu ili uweze kuona mitazamo tofauti kuliko kila siku kushambulia mitazamo ya watu wa dini tu.
 
Sasa ndio siku nyengine andaa uzi kuwaeleza ukweli na kukosoa mitazamo yao watu kama wakana mungu ili uweze kuona mitazamo tofauti kuliko kila siku kushambulia mitazamo ya watu wa dini tu.
Hapana ndio Maana Nikauliza wenye Dini Hizo swali. Angalia Swali Langu

Mungu Ulimkosea Nini Mpaka Akamtoa Mwanae Sadaka!?

Nilitegemea Kungekuwa Na Jibu Linalisema ulifanya hiki na Hiki ndio maan Akamtoa Sadaka Mwanae
 
Humu ndani Wapo watu wa Aina Tofauti tofauti hakuna Mwenye Chapa Ya Kuwa Mimi Sina Imani. Ila Najua Wapo Watachambua Wenyewe Kwa Akili zao. Sitaki wafuate Wao Wenyewe wachambue waone wasimamie Wapi na Wapi watafute Ukweli

Tupo Duniani Kujua Ukweli ndio maan Tunaangaika
Halafu kupitia imani yako kwanini mungu hakufanya ikawa kila mtu anamjua yeye na yote yanayohusiana na yeye mungu toka tunazaliwa? yani tukazaliwa tukiwa na huo uelewa au kwamba uwepo wake ukawa wazi usio hitaji hadi uelezewe na watu fulani.
 
Hapana ndio Maana Nikauliza wenye Dini Hizo swali. Angalia Swali Langu

Mungu Ulimkosea Nini Mpaka Akamtoa Mwanae Sadaka!?

Nilitegemea Kungekuwa Na Jibu Linalisema ulifanya hiki na Hiki ndio maan Akamtoa Sadaka Mwanae
Sasa hapo wakana mungu ambao nataka pia uwaguse kwenye hizi mada zako wanaingiaje hapo?
 
Sasa hapo wakana mungu ambao nataka pia uwaguse kwenye hizi mada zako wanaingiaje hapo?
Wanaokana Mungu wao Watapata Mada yao Nikitaka Wajibu. Swali langu Lipo kwako Wee unayeamini Sadaka Ya Mungu ya Kumtoa Mwanae

Wao hata Hawaamini kama Kuna Huyo Mungu. Kwahiyo Mada hii Haiwahusu hata Waliposoma TITLE nahisi hawakufungua Hata maana Hawaamini Hayo.
 
Halafu kupitia imani yako kwanini mungu hakufanya ikawa kila mtu anamjua yeye na yote yanayohusiana na yeye mungu toka tunazaliwa? yani tukazaliwa tukiwa na huo uelewa au kwamba uwepo wake ukawa wazi usio hitaji hadi uelezewe na watu fulani.
Mungu si Kazi yake Wewe kumjua Au Usimjue.(usipomjua sawa, ukimjua sawa pia) umepewa Akili yenye Free Will.. Ndio maana Mababu zetu walikuwa hawana Mambo ya Kusambaza Injili sijui Mahubiri kwa Watu wao walikuwa na Elimu ya Kuishi na Walikuambia Mungu yupo Hivi na Hivi Na Sifa Zake Kuu zipo 12.

Sasa Ukitaka Mungu ashuke Sijui aanze Kusema Nirudien.. Msiponirudia nitawaadhibu.. Hizo si Sifa za Mungu bali ni Viumbe wengine ndio hupenda Hayo
 
Wanaokana Mungu wao Watapata Mada yao Nikitaka Wajibu. Swali langu Lipo kwako Wee unayeamini Sadaka Ya Mungu ya Kumtoa Mwanae

Wao hata Hawaamini kama Kuna Huyo Mungu. Kwahiyo Mada hii Haiwahusu hata Waliposoma TITLE nahisi hawakufungua Hata maana Hawaamini Hayo.
Kwahiyo katika huu uzi wako umejadiliana na wakristo tu ambao wanaamini hilo la Mungu kumtoa sadaka mwanae?
 
Kwahiyo katika huu uzi wako umejadiliana na wakristo tu ambao wanaamini hilo la Mungu kumtoa sadaka mwanae?
Lengo kubwa la Uzi ni La Kwao. Ingawa Wengine wamekuja kuchokoza Mada. Na ukiona Hivyo Ujue Watu wana Maswali Mengi yasiyo na Majibu

Tutajadili Zaidi ndugu Ngoja Nifanye Kazi kidogo
 
Mungu si Kazi yake Wewe kumjua Au Usimjue.(usipomjua sawa, ukimjua sawa pia) umepewa Akili yenye Free Will.. Ndio maana Mababu zetu walikuwa hawana Mambo ya Kusambaza Injili sijui Mahubiri kwa Watu wao walikuwa na Elimu ya Kuishi na Walikuambia Mungu yupo Hivi na Hivi Na Sifa Zake Kuu zipo 12.

Sasa Ukitaka Mungu ashuke Sijui aanze Kusema Nirudien.. Msiponirudia nitawaadhibu.. Hizo si Sifa za Mungu bali ni Viumbe wengine ndio hupenda Hayo
Unasema mungu si kazi yake sisi kumjua kwahiyo huyo binaadamu wa kwanza alimjua mungu pasina mungu mwenyewe kutaka hilo jambo kwamba mungu hakuhusika kivyovyote vile?
 
Kwa ajili ya kuwaridhisha wake zake, mbona aya imeonyesha na sababu ? Unapoteza muda wa nini ?

Alijijaramishia yeye mwenyewe nafsi yake asali. Si kwa wote.

Hii idadi ya wake 13 umeipata wapi ? Naomba ututhibitishie ya kuwa Mtume alikuwa na wake 13 kwa wakati mmoja.

Anawasilisha Mtume maneno ya Allah kama yalivyo.

Mtume alikuwa anashushiwa aya kama ilivyo, bila kubadilisha herufi yoyote ndiyo maana Qur'aan ni maneno ya Allah.

Kisha rejea katika aya ya kabla yake na baada yake.

Usiwe unauliza maswali ya kitoto.

Umesema alihsramisha asali?
Koran nzima sijaona ayo majibu embu nipe verse tafadhali

Ili la Allah kuongea alafu anataja Mungu mwingine tuliache kwa sasa , nipe jibu Muhammad aliharamisha asali kwa kutumia Koran niwe muislamu leo hii, uzuri na beard ipo nchi Tano
 
Hayo maneno amesema Yesu au ? Tuwekee matini ya hayo maneno tusome wote, kisha uniambie hicho kitabu cha Warumi kimeandiwa na nani ?
Koran nzima Haina ushahidi wowote kwamba ni Allah anaongea

Muhammad anakiri kabisa hajawahi kuongea na Allah
Anasema kaongea na jibril ambae hakuna binadamu alimuona Yani ushahidi ni Muhammad mwenyewe hakuna mtu kaona wala kusikia
Kuna mda Muhammad alikuwa na li shoga akasema ni jibril watu wakawa hawaelewi wakimuona shoga wanazani ni jibril Muhammad akamwambia ni jibril kavaa mwili wa shoga

Muhammad hakuna muujiza ata mmoja kafanya watu wakaona

Wanao Muamini Muhammad wanamuamini blindly bila ushahidi wowote
 
Umesema alihsramisha asali?
Koran nzima sijaona ayo majibu embu nipe verse tafadhali
Soma sababu ya kushuka kwa hiyo aya. Kisha utajua jambo lilikuwaje mpaka ikashuka hiyo aya.

Kisha wewe utuambie Mtume aliharamisha nini.

Maelezo ya kushuka kwa hiyo na aliharamisha nini huuakuti kwenye Qur'aan unayakuta kwenye Hadithi za Mtume. Mtume alipewa Wahayo mbili, alipewa Qur'aan na Hadithi. Na vyote viwili hivyo Allah amevihifadhi.
Ili la Allah kuongea alafu anataja Mungu mwingine tuliache kwa sasa , nipe jibu Muhammad aliharamisha asali kwa kutumia Koran niwe muislamu leo hii, uzuri na beard ipo nchi Tano
Kingine ukisoma aya iko wazi Mtume hajatumia Qur'aan kuharamisha chichote na hili huwezi kulionyesha bali aya imeshuka kumkataza Mtume kwa kile alichojiharamishia yenyewe kutokana na aliyofanyiwa na wake zake.

Kwahiyo kusema Mtume aliharamisha jambo kupitia Qur'aan huo ni wendawazimu na inaonekana huijui Qur'aan na uelewa wako ni mdogo.
 
Back
Top Bottom