So unataka kuniambia his workdone is equal to ZERO?!Kwasabu yesu alituokoa bila kumuua shetan! Kwahiyo tunayeshatani! Ujue kuwa yesu alikuja kuwaokoa wanadam kwakua walikua hawamjui mungu kabisa yaan empty head kuhusu mungu baada ya kutufia msalaban na shetan bado yupo sasa binadam tunatenda thambi huku tukijijua kabisa hii nu dhambi! Lakini kama ukiamua kutotenda dhambi wewe siyo mdhambi
Sasa Mungu alimfufua vipi katika wafu wakati yeye mwenyewe mnamsema ni Mungu?Warumi : 10 : 9 - Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka.
Kwahiyo wakoloni waliowabadilisha akili zenu na kuwajaza ujinga huo siyo wanadamu eti?Mtu akigonga mlango lazima aliye ndani ndiye amkaribishe, vivyo hivyo kweli ya Mungu kuijua hadi yeye mwenyewe akujalie
Hakuna maneno ya mtu yatakayo badili mentality yako, hadi pale mwenyewe mwenye Neno lake akubali kukujalia uelewe
Yesu mwenyewe alisema, 'hakuna atakayekuja kwangu isipokuwa amejaliwa na Baba'
Hivyo ipatikane huruma tu ya Mungu akujalie kuelewa. Otherwishe 'wafu siku zote huachwa wazike wafu wao'.
Na kiwanda cha Biblia hakijawahi kuwa Huku Kwetu DaaahIle ni movie mzee watu walishatengeza fedha na wengine hawapo tena,unajua wazungu ni wajanja sana ktk maswala ya ankra walipiga hela kwenye agano la kale wakarudia tena agano jipya wakapiga hela yaani part 1 & 2 wakauza na biblia za kutosha Afrika kwa kila kabila.
Ujinga huu wa Waafrika sijui nani katuridhisha[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Wewe ni kichaa,kwahiyo waislam,wahindu,bohora,wachina,wapagani,wakorea,n.k hawatafika mbinguni kwa sababu siyo wafuasi wa yesu?
Huu ujinga hauwezi kuondo bila bakora kwa uliingizwa vichwani kwenu kwa bakora na wakoloni,msiishi kwa kukariri aisee.
Wakoloni walikuja na biblia mkono mmoja na vitabu vya shule mkono mwingine.
Katika biblia wakakuaminisha kuwa wewe ni zao la adamu na hawa na katika vitabu vya elimu wakakuamina kuwa wewe ni zao la manyani na ukasoma sana haya hadi leo.
Sasa ni kipi kinakufanya uendelee kuwaamini wakoloni wakati tayari ni waongo?ina maana kuna adam na hawa wa wahindi,wachina,wazungu,Waafrika,n.k kama siyo ni pea moja kwanini kuwe na tofauti hata siku moja pea ya Mwafrika wasizae mchina au pea ya mchina wasizae mwafrika?ni miujiza gani hiyo Mungu asiiweke wazi??
Ujinga wako ndiyo umaskini wako!!
Wazazi wako pamoja na wewe mlitambua kuna Miungu na Mungu lini kama siyo baada ya wakoloni kufika Afrika na kuwapandikiza huo ujinga?
Au Afrika tu ndiyo kuna Miungu ila china,india,korea,nk kuna Mungu?
Mbona China na Korea wanaabudu Miungu yao na wameendelea zaidi yako wewe unaejidai una Mungu wa kweli?
Ujuha ni mzigo!!
Kasema atarudi tenaSo unataka kuniambia his workdone is equal to ZERO?!
Kwa maana kaondoa dhambi za wanaadamu bila kuondoa chanzo cha dhambi! [emoji2377][emoji2377][emoji2377]
Je dhambi zikizidi atakuja tena? [emoji2365][emoji2365][emoji2365]
Sasa Mungu alimfufua vipi katika wafu wakati yeye mwenyewe mnamsema ni Mungu?
Kwasasa hana kwahiyo siwezi kujibu hilo swali hewaKwa mfano Yesu angekuwa na mtoto, kwahiyo mngekuwa mnaamini mungu babu, baba na mjukuu au?! [emoji2365][emoji2365][emoji2365]
Dah! Umenichekesha! Yesu atarudi hata waislam wanaamini hivyoKwahiyo dhambi zikizidi sana atakuja tena ili wamgongee misumari tena?
Ila kwa kichapo kile alichochezea sidhani kama atakuja tena!! [emoji2377][emoji2377][emoji2377]
Duh! Kwahiyo tunaweza oana ndugu?Ndiyo, alioa pacha wake Luluwa.
Yesu aliokoa watu aliyokua anawaongoza hadi na vizazi vyao! Hao waliokengeuka na kwenda dini nyingine pengine ndiyo shetan kaziniUnaongea kitu baada ya kufikiri na kutafakari au unaongea tu kwa kuwa ulizaliwa na kulishwa hivyo hadi ukubwani mwako.
Huyo yesu wako aliiokoa dunia yote au Afrika tu?
Huko Uchina,India,palestina,mongolia,UAE,nk nako yesu aliwaokoa?
Kama yesu aliwaokoa wanadamu wote kwanini kuwe na dini tofauti na ya kwake?
Jiongeze siyo kila kitu ukiamini kama ulivyokikuta kuwa mdadisi.
Kasome tenaYohana : 1 : 1 - Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.
Wakristo bhna mtoto akizaliwa anaambiwa ana dhambi ya Asili sasa mtoto kazaliwa hajui lolote tyr ana dhambi ya Asili sasa uyo alokuja kukuondoleeni.dhambi hiyo.dhambi ya asili hajaiondoa?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kaka njia ni moja tuu ya kwenda mbinguni. NI YESU TU.
Utoe shahada,Uswali swali tano,Ufunge swaumu , uwe mchina,mhindu,mfilipino, Bila kumkubali Yesu ukabatizwa, MBINGUNI HUTOBOI.
Maandiko yamekuwapo kabla ya mkoloni kaka, kabla hata mudy hajaminywa pangoni na kiumbe kisichojulikana maandiko yapo. Chaguo ni lako.
Hili andiko lako Mungu alishatoa jibu kwamba "msichunguze maandiko maana mnatafuta ubatili"!
Mungu alijua upo na utachunguza lutafuta makosa tuu Wala hutafuti usahihi.
Yesu ni Mungu.
So unataka kuniambia his workdone is equal to ZERO?!
Kwa maana kaondoa dhambi za wanaadamu bila kuondoa chanzo cha dhambi! [emoji2377][emoji2377][emoji2377]
Je dhambi zikizidi atakuja tena? [emoji2365][emoji2365][emoji2365]
Inamaana kile kichapo hakikumtosha?! [emoji2377][emoji2377][emoji2377]Dah! Umenichekesha! Yesu atarudi hata waislam wanaamini hivyo
Wagalatia 6:5Imeandikwa
Wakolosai : 1 : 13 - Naye alituokoa katika nguvu za giza, akatuhamisha na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wa pendo lake;
1:14 - ambaye katika yeye tuna ukombozi, yaani, msamaha wa dhambi;
Si mnasema trinity ni nafsi tatu zilizo sawa!?Baba alimfufua mwanawe.