Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

Dah! Umenichekesha! Yesu atarudi hata waislam wanaamini hivyo
Na mara hii akirudi wahuni watampiga Petroli! [emoji2377][emoji2377][emoji2377][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
 

Kaka principle ni hii
Imeandikwa
Marko : 16 : 15 - Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe.
16 : 16 - Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.

Mkubali Yesu kwamba ni mwana wa Mungu
Ukabatizwe. Tofauti na hapo utahukumiwa
 
Kwani nyie mnaomuabudu yesu ni wajinga na maskini kuliko wachina wasiomuamini yesu?

Wewe ni zombi huna tofauti na zamaradi yesu angekuwa ni njia wote mnaomuabudu mngekuwa na mafanikio kuliko watu wote wasiyomuabudu.

Ila nisikukatalie yawezekana yesu ndiyo mtaji wako kwa wajinga pa kujipatia pesa.

yesu angekuwa njia huko mnakodai alizaliwa wote siwajebarikiwa na kuwa waChrist.

Ujinga ulionao ni wa kujiita mroma,mlutheri,mpentekoste,muAngirikana,n.k wakati wewe ni muAfrika na dini yako ni Afrikana
 
Imeandikwa
Marko : 16 : 15 - Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe.
Injili ingefika tu hata bila wakoloni
Kwanini hawajaenda kuubiri injili North Korea au huko siyo ulimwenguni na hakuna viumbe wakaja Afrika na kuiba mali zetu kwa nguvu hadi kutupiganisha vita za dunia na utumwa juu.

Tatizo hufikiri akilini mwako bali unakopi kwa waliokulisha ujinga unaoandika na huna hoja.

Huyo yesu wako kwanini waliomtangaza kwenu na kuleta biashara ya utumwa hakuwazuia kufanya biashara hiyo?
 
Baba alimfufua mwanawe.
Huna hoja za msingi zaidi ya kukariri tu novel ya biblia ambayo yesu ni mhusika mkuu na hao mitume wenu ni wahusika wasaidizi na maudhui yake kama ujinga,uwizi,uongo,mapenzi,ubakaji,hujuma,unyonyaji,nk

Iko siku dini ya Afrikana yenye upendo wa kweli itasimama ndani ya Afrika na kuupoteza ujinga mliolishwa ni swala la muda tu.

Yaani mtu unasema yesu ni baba,mungu,mwalimu,nk tena ni njia yenu ya kwenda mbinguni sasa iweje mmuabudu kwa makundi tofauti rc,sda,fpct,lutheran,n.k hauoni kama ni waongo na wanafiki?
 
Kwasasa hana kwahiyo siwezi kujibu hilo swali hewa
Jibu swali liko wazi hilo au mngemuabudu bibi yenu mariamu na bikira yake?

Hata mbwa hawezi kuzaa bila kurolewa bikira au kuna binadamu anazaliwa bila mbegu za x na y na haohao wazungu wamewafundisha hivyo ila bado mnakomaa tu na bikra maria
 

Kaka ukitaka mafanikio ya hapa duniani fanya kazi utapata, ukitaka kwenda mbinguni njia ni moja tuu. NI YESU
 

Mada imeisha
 
Yesu aliokoa watu aliyokua anawaongoza hadi na vizazi vyao! Hao waliokengeuka na kwenda dini nyingine pengine ndiyo shetan kazini
Sasa yesu aliongoza kizazi kipi cha Waafrika na katika wanafunzi wake ulielezwa kuwa alikuwepo kizazi cha Mwafrika?

Katika biblia yako je umewahi kutana na jina la Kiafrika,Kichina,Kihindi,n.k?

Ujuha ni mzigo,umejikomboa kisiasa bado kiakili,kiuchumi na kijamii na sababu kuwa ni kuendekeza dini za mapokeo na kibaguzi na kuacha dini ya Asili yako ya Afrikana.
 
Kwanini hamjaenda North Korea kuhubiri na huyo marko wako uone cha moto?mbona wanaishi bila injili yenu
 
Kaka ukitaka mafanikio ya hapa duniani fanya kazi utapata, ukitaka kwenda mbinguni njia ni moja tuu. NI YESU
Njia angekuwa ni yesu basi tungelikuwatumeshawaona mkienda huko mbinguni kila kukicha ila kwa ujinga mlionao mnawatajirisha wachache kupitia huyo yesu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…