Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

Sasa jibu maswali
Koran 66:1. Ewe Nabii! Kwa nini unaharimisha alicho kuhalilishia Mwenyezi Mungu? Unatafuta kuwaridhi wake zako. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.

1. Muhammad alifanya dhambi ya kuharamisha kitu ambacho ni halali kwa nini?
2. Ni kitu gani Muhammad aliharamisha?
3. ALItaka kuwaridhia wake zake ,je ni wote 13 au ni baadhi?
4. Nani anaongea kwenye hii Aya Muhammad au Allah? Kama ni Allah kwa Nini anamtaja mwenyezi Mungu badala aseme nilikuhalalishia Mimi
Hakuna swali la maana hapo. Unajidanganya tu, mara useme jibu nalijua, mara ulete uhao wako, hauna jipya. You are too shallow.


Wewe unamuani Allah au Mtume Muhammad salla Allahu alayhi Wasalaam?
 
Hakuna swali la maana hapo. Unajidanganya tu, mara useme jibu nalijua, mara ulete uhao wako, hauna jipya. You are too shallow.


Wewe unamuani Allah au Mtume Muhammad salla Allahu alayhi Wasalaam?
Nimeshamaliza kazi , Koran ni wazi bila Hadith au tafsir ni mashahiri yasio na majibu ya maswali na Koran yenyewe Haina maelezo wala majibu ya maswali mpaka urejee Hadith au tafsir au maoni ya scholar
 
Nimeshamaliza kazi , Koran ni wazi bila Hadith au tafsir ni mashahiri yasio na majibu ya maswali na Koran yenyewe Haina maelezo wala majibu ya maswali mpaka urejee Hadith au tafsir au maoni ya scholar
Kazi kwako.

Walijaribu wenye akili wameshindwa itakuwa wewe poyoyo? Wewe kajitafsirie na kajidanganye upendavyo.

Unamuani Allah?
 
Kazi kwako.

Walijaribu wenye akili wameshindwa itakuwa wewe poyoyo? Wewe kajitafsirie na kajidanganye upendavyo.

Unamuani Allah?
Wewe umesema wewe ni Koran only
Nimekupa maswali utumie Koran kujibu umeshindwa , next time usirudie kudanganya watu ukweli ni kwamba Koran bila Hadith na tafsir hakuna kitu utaelewa ,utabaki kukariri kama kasuku
 
Kuamini Kunakuja Pale Kama Kuna Ukweli zaidi kuliko Mwingine ndipo mtu anaamini
Imani ya kweli inakuwa na uwiano bayana na jambo unaloliamini.
Je sisi tuna uwiano wa saizi ya maumbile na huyo Fumbakasa na mkewe Mwasi? Kama hamna uwiano, basi imani hiyo ni batili.
 
Wewe umesema wewe ni Koran only
Nimekupa maswali utumie Koran kujibu umeshindwa , next time usirudie kudanganya watu ukweli ni kwamba Koran bila Hadith na tafsir hakuna kitu utaelewa ,utabaki kukariri kama kasuku
Sijawahi kutamka wala kuandika "koran". Usitie upuuzi wako kinywani mwangu.

Ficha upumbavu wako. Unataka kujadili na mimi kitu ambacho hakieleweki? "koran" ndio mdudu gani?
 
Sijawahi kutamka wala kuandika "koran". Usitie upuuzi wako kinywani mwangu.

Ficha upumbavu wako. Unataka kujadili na mimi kitu ambacho hakieleweki? "koran" ndio mdudu gani?
Nafahamu ukishindwa mada unaamia kwenye grammar ila leo nimekuwekea panapo husika , Koran ni neno sahihi kabisa wala halina pingamizi
 
Sijawahi kutamka wala kuandika "koran". Usitie upuuzi wako kinywani mwangu.

Ficha upumbavu wako. Unataka kujadili na mimi kitu ambacho hakieleweki? "koran" ndio mdudu gani?
Huu ndio utamu wa uelewa wa jambo

The Quran, also romanized Qur'an or Koran, is the central religious text of Islam,
 
Huu ndio utamu wa uelewa wa jambo

The Quran, also romanized Qur'an or Koran, is the central religious text of Islam,
You keep your "koran".

Ask me anything you want to know about Qur'an. But first, answer me, do you believe in Allah?
 
You keep your "koran".

Ask me anything you want to know about Qur'an. But first, answer me, do you believe in Allah?
Allah ipo wazi ni demonic power ambayo ilimkaba Muhammad pale pangoni na kuanza kumwambia asome lakini mpaka anakufa hakujua kusoma, it's either Lucifer himself or powerful demon

Ndio maana demons au majini wakaweka surah Yao nzima kwenye Koran
 
Allah ipo wazi ni demonic power ambayo ilimkaba Muhammad pale pangoni na kuanza kumwambia asome lakini mpaka anakufa hakujua kusoma, it's either Lucifer himself or powerful demon

Ndio maana majini wakaweka surah Yao nzima kwenye Koran
Do You believe in Muhammad?
 
Ukienda Mbele Utajichanganya Mwenyewe. Kaini na Abel walikuwa ndio watoto wa Adam na Hawa Kulingana na Maandiko hayo Hakukuwa na Binadamu wengine. Sasa Kulingana na Maandiko Mungu alimfukuza Kaini. Ila Kaini akalia Akasema Anaweza Kukutana Na Binadamu wengine wakamuua. Sasa Jiulize Mwenyewe kama Adam na Hawa Walikuwa ni Binadamu wa Kwanza wakati hata Wao walitambua Kuna Binadamu wengine



ANDIKO NI HILI

Leo umenifukuza kutoka ardhi yenye rutuba na mbali nawe. Basi, nitakuwa mtu wa kutangatanga, asiye na makao maalumu duniani, na yeyote atakayeniona ataniua.” Lakini Mwenyezi-Mungu akamjibu, “Sivyo! Atakayekuua wewe Kaini atalipizwa mara saba.” Basi, Mwenyezi-Mungu akamtia Kaini alama ya tahadhari, ili yeyote atakayemwona asimuue.

Mwanzo 4:14‭-‬15


Mungu alikuwa na haja Gani ya Kumpiga Chapa kama Hakuna Binadamu wengine Duniani
Ndiyo tunaambiwa kain akaoa[emoji2] hivi alimuoa ndugu yake au?
 
Kama alishakuja kuokoa wanaadamu sasa haya mateso yanatoka wapi? Na hizi dhambi zinazoendelea je?
Kwasabu yesu alituokoa bila kumuua shetan! Kwahiyo tunayeshatani! Ujue kuwa yesu alikuja kuwaokoa wanadam kwakua walikua hawamjui mungu kabisa yaan empty head kuhusu mungu baada ya kutufia msalaban na shetan bado yupo sasa binadam tunatenda thambi huku tukijijua kabisa hii nu dhambi! Lakini kama ukiamua kutotenda dhambi wewe siyo mdhambi
 
Kazi kwako.

Walijaribu wenye akili wameshindwa itakuwa wewe poyoyo? Wewe kajitafsirie na kajidanganye upendavyo.

Unamuani Allah?

Bibie Faiza umezidiwa hoja.
Ushauri
Mkiri Yesu, ubatizwe, upate uzima wa milele katika yeye.
BILA YESU MBINGUNI HUTOBOI
 
Yohana : 1 : 1 - Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.
Hapa ndipo ujinga wetu waafrika unajitokeza neno na yesu au Mungu ni vitu tofauti kabisa.

Hivi uliwahi kujiuliza kwanini biblia iliwekwa kimafumbo????

Kitabu cha kuwaongoza watu ni vyema kiwekwe wazi

neno=Mungu wapi imesema yesu ni Mungu kwahiyo na waislam nao mohamad ni Mungu?


Acheni Uafrika uliopitiliza!!!
 
Back
Top Bottom