Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

Sijaelewa unaleta ubishi au ni hoja?

Jaribu kugoogle "North Korea:maisha na sheria zake"

Pia jaribu kuwa bookish siyo kukalia biblia tu

Religion in North Korea (2020)[1]

No Religion (71.30%)
Others Religion (Including Chondoism and Korean religion) (12.90%)
Folk religions (12.30%)
Christianity (2.00%)
Buddhism (1.50%)

Soma hiyo na urudi tena kusema injili haijafika North Korea.
 
Soma vitu current achana na ushabiki wa dini za mapokeo na ukoloni
2022_03_08_00.04.36.jpg
2022_03_08_00.04.48.jpg
 

Attachments

  • 2022_03_08_00.04.48.jpg
    2022_03_08_00.04.48.jpg
    63.5 KB · Views: 6
Kuna Mambo Yapo Ulimwenguni ukiyatafakari kwa Kina hayaingii Akilini ndugu waafrika wenzangu

Kuna Historia katika Vitabu kwamba Mungu alimtoa Mwanae Ili aje Kuikomboa Dunia katika Dhambi (ambazo zipo mpaka Leo)

Ukiangalia kwa Undani Historia hii ya kuzaliwa kwake inatia Shaka sana kabla ya Kujua Majibu ya kuzaliwa kwake inakuja Historia kwamba hana Baba. Kabla hujapata Majibu ya Baba ni nani Inakuja Kwamba ni Uwezo wa Mungu ndio akazaliwa. Yanakuwa Maswali juu ya Maswali

Kumbuka Yusufu na Mariam si kwamba Walikuwa ni Wachumba la hasha bali walikuwa tayari wapo Ndani (wameoana) wanaishi pamoja. Hakuna wachumba Wanaoishi pamoja kwa Utaratibu wa Kuishi. Ukichumbia wewe utakaa kwako na Huyo mchumba atakaa kwao. Kama Waliishi pamoja maana Yake waliweza Kushiriki Tendo la Ndoa yao na Ukifuatilia kwa Makini Yusuf alikuwa Pamoja na Mariam kila Sehemu hakuna Sehemu inayosema Alikuja Kumuoa mariam Ikiwa na Maana Kwamba Tayari alikuwa keshaoa maana yake ule uchumba ulio andikwa Tayari ukayeyuka

Binadamu huzaliwa Kwa Mwanaume na Mwanamke hili halina ubishi. Ila Kuna Kuja Utata wa Hapa Kwamba Yesu alizaliwa bila Mfumo maalumu wa Uzazi wa Baba na Mama ila Roho Mtakatifu kama Wanavyodai (kumbuka Hata Huko india Wapo Watu wenye Hadithi hizi hizi za Kuzaliwa bila Baba)

Sasa Hapa Unajiuliza Maswali. Mungu huyo aliyeweza Kumuumba Mwanadamu wa Kwanza Bila Kutumia mifumo ya Uzazi Inakuwaje leo aje Aanze Kumuumba Binadamu mwingine anayedaiwa ni Mwanae kwa Mifumo ya Uzazi na Akaenda kwa Mariam ambaye alikuwa teyari ana Mume(kumbuka Hapa Mungu hazai na Wala Hakuzailiwa)

Sasa Anamzaa mwanae kupitia Mariam mara Yusufu atake kumkimbia Mariam maana Kuna Siri May be Yusufu aliiona akaona Hapa Nimepigwa na Baada ya Yesu kuzaliwa Yusuf Anapotea Ghafla kwenye Maandiko na Historia yake inaishia Hapo hapo

Mungu anamtoa Mwanae. Anakuja Mnamkataa, mnampiga, mnamtesa anawahubiria mnagoma Kukubali maneno yake mnamfukuza kwenye masinagogo yake, Anaenda Kusali mlimani peke yake, anakusanya wanafunzi wake. Hao wanafunzi nao mnawakataa mnawafukuza. Hivi Mungu hapo anawaogopa Nyie kisa Nini mpak Awafanyie Haya Yote Nyie Viumbe wake

Yaani Mungu mpaka Anatoa Mtoto wake Wa Pekee ili awabembeleze nyie mmrudie Yeye na Mnakataa. Sasa Hapo Mungu Anakuwa na Ule Uwezo na Kutoshindwa Kitu kweli. Kama Kawatumia Mwanae na Mmemgomea kawatumia Manabii na Mitume mmemgomea Tena na hamtaki kumrudia. Hivi Mungu anawalemba Hivyo Ili Iweje

Si kila Mtu anayezaliwa bila Baba Yake basi Baba Yake ndio Mungu. Wachawi wanazini na Binadamu kila Siku na Wachawi hao hao ndio Binadamu wenzenu. Wanawake wanabeba Mimba zingine wasizozijua zimetoka wapi

Basi Mjue Kwamba Hapo Mwenye Enzi Mungu hayupo na Mnaozeshwa Akili zenu ndugu zangu. Kaeni Chini Mtafakari kwa Akili zenu Timamu. Mungu hawezi kufanya hayo Kwa Viumbe wake. Yeye hayupo Hivyo

[emoji3507]Mungu si Mmoja
[emoji3507]Mungu si Wengi
[emoji3507]Mungu si Baba
[emoji3507]Mungu si Mama
[emoji3507]Mungu si Kiumbe
[emoji3507]Mungu hachukii Viumbe
[emoji3507]Mungu hapendi Viumbe wake ila Ana Enzi na Viumbe wake (usijione wewe Kiumbe Mtu unapendwa na Mungu Kuliko Viumbe wake wengine aliowaumba)
[emoji3507]Mungu hakuzaa wala Kuzaliwa

Yachunguzeni maandiko Yenu mtajua kwamba si Maandiko ya kiucha Mungu ila Maandiko ya Viumbe wenye Tamaa

ASANTENI

Kwanza ww unatuambia hayo ukiwa dini gani usikute unaangaika na bible while yako yamekushinda
Alaf haya mambo ni imani na imani hauwezi kuitafsiri kiuwanadamu, ww kama unaami hivyo ni sawa
Vitu vingi kwenye hizi dini zetu ukifikiria kwa akili ya kawaida utaona kuna mapungufu mengi ya maelezo
So kama umeamua kuiamini iamini with no questions
 
Kama Yesu ni Mungu Alikuwa Anaomba nini Mlimani na Wanafunzi wake. Kama Yeye ni Mungu inatakiwa asiombe Chochote

Ww bibilia hujaisoma vizuri ukaelewa
Kwenye bible kuna
Mungu baba
Mungu mwana na Mungu Roho mtakatifu
Yesu alifanyika mwana akaja akakaa kwetu

Mtoto wa nyoka ni nyoka so mtoto huyo hawezi muomba baba yake?
 
Unataka kusema ni mtoto wa Mungu? [emoji23][emoji23]
Viumbe wote duniani ni watoto wa Mungu siyo yesu tu na kila kiumbe kina baba,mama na mtoto na hana ubaguzi kama mlivyo nyie walishwaji
 
Ww bibilia hujaisoma vizuri ukaelewa
Kwenye bible kuna
Mungu baba
Mungu mwana na Mungu Roho mtakatifu
Yesu alifanyika mwana akaja akakaa kwetu

Mtoto wa nyoka ni nyoka so mtoto huyo hawezi muomba baba yake?
Wewe ndiyo ovyo hujui hata unachokijua!!
 
Stories za dini ya kikuristo ni fix hazileti mantiki kwa normal reasoning person.

Sio stori za kikristo, any normal brain haiwezi kutafsiri imani hata iwe uislam uhindu or whatever
Wewe na hiyo dini yako unamuamini Mungu?
If yes hiyo normal reasoning brain yako inakuambia nn wakati unaomba? Kuna Mungu anaekusikia while kwa normal thinking homuoni wala humjui
So vitu vya imani let us believe it not question it
Coz ukijaribu kuchimbua zaidi kwa akili zako hata huyo Mungu unae muamini utajikuta unamuacha
 
Kuna Mambo Yapo Ulimwenguni ukiyatafakari kwa Kina hayaingii Akilini ndugu waafrika wenzangu

Kuna Historia katika Vitabu kwamba Mungu alimtoa Mwanae Ili aje Kuikomboa Dunia katika Dhambi (ambazo zipo mpaka Leo)

Ukiangalia kwa Undani Historia hii ya kuzaliwa kwake inatia Shaka sana kabla ya Kujua Majibu ya kuzaliwa kwake inakuja Historia kwamba hana Baba. Kabla hujapata Majibu ya Baba ni nani Inakuja Kwamba ni Uwezo wa Mungu ndio akazaliwa. Yanakuwa Maswali juu ya Maswali

Kumbuka Yusufu na Mariam si kwamba Walikuwa ni Wachumba la hasha bali walikuwa tayari wapo Ndani (wameoana) wanaishi pamoja. Hakuna wachumba Wanaoishi pamoja kwa Utaratibu wa Kuishi. Ukichumbia wewe utakaa kwako na Huyo mchumba atakaa kwao. Kama Waliishi pamoja maana Yake waliweza Kushiriki Tendo la Ndoa yao na Ukifuatilia kwa Makini Yusuf alikuwa Pamoja na Mariam kila Sehemu hakuna Sehemu inayosema Alikuja Kumuoa mariam Ikiwa na Maana Kwamba Tayari alikuwa keshaoa maana yake ule uchumba ulio andikwa Tayari ukayeyuka

Binadamu huzaliwa Kwa Mwanaume na Mwanamke hili halina ubishi. Ila Kuna Kuja Utata wa Hapa Kwamba Yesu alizaliwa bila Mfumo maalumu wa Uzazi wa Baba na Mama ila Roho Mtakatifu kama Wanavyodai (kumbuka Hata Huko india Wapo Watu wenye Hadithi hizi hizi za Kuzaliwa bila Baba)

Sasa Hapa Unajiuliza Maswali. Mungu huyo aliyeweza Kumuumba Mwanadamu wa Kwanza Bila Kutumia mifumo ya Uzazi Inakuwaje leo aje Aanze Kumuumba Binadamu mwingine anayedaiwa ni Mwanae kwa Mifumo ya Uzazi na Akaenda kwa Mariam ambaye alikuwa teyari ana Mume(kumbuka Hapa Mungu hazai na Wala Hakuzailiwa)

Sasa Anamzaa mwanae kupitia Mariam mara Yusufu atake kumkimbia Mariam maana Kuna Siri May be Yusufu aliiona akaona Hapa Nimepigwa na Baada ya Yesu kuzaliwa Yusuf Anapotea Ghafla kwenye Maandiko na Historia yake inaishia Hapo hapo

Mungu anamtoa Mwanae. Anakuja Mnamkataa, mnampiga, mnamtesa anawahubiria mnagoma Kukubali maneno yake mnamfukuza kwenye masinagogo yake, Anaenda Kusali mlimani peke yake, anakusanya wanafunzi wake. Hao wanafunzi nao mnawakataa mnawafukuza. Hivi Mungu hapo anawaogopa Nyie kisa Nini mpak Awafanyie Haya Yote Nyie Viumbe wake

Yaani Mungu mpaka Anatoa Mtoto wake Wa Pekee ili awabembeleze nyie mmrudie Yeye na Mnakataa. Sasa Hapo Mungu Anakuwa na Ule Uwezo na Kutoshindwa Kitu kweli. Kama Kawatumia Mwanae na Mmemgomea kawatumia Manabii na Mitume mmemgomea Tena na hamtaki kumrudia. Hivi Mungu anawalemba Hivyo Ili Iweje

Si kila Mtu anayezaliwa bila Baba Yake basi Baba Yake ndio Mungu. Wachawi wanazini na Binadamu kila Siku na Wachawi hao hao ndio Binadamu wenzenu. Wanawake wanabeba Mimba zingine wasizozijua zimetoka wapi

Basi Mjue Kwamba Hapo Mwenye Enzi Mungu hayupo na Mnaozeshwa Akili zenu ndugu zangu. Kaeni Chini Mtafakari kwa Akili zenu Timamu. Mungu hawezi kufanya hayo Kwa Viumbe wake. Yeye hayupo Hivyo

[emoji3507]Mungu si Mmoja
[emoji3507]Mungu si Wengi
[emoji3507]Mungu si Baba
[emoji3507]Mungu si Mama
[emoji3507]Mungu si Kiumbe
[emoji3507]Mungu hachukii Viumbe
[emoji3507]Mungu hapendi Viumbe wake ila Ana Enzi na Viumbe wake (usijione wewe Kiumbe Mtu unapendwa na Mungu Kuliko Viumbe wake wengine aliowaumba)
[emoji3507]Mungu hakuzaa wala Kuzaliwa

Yachunguzeni maandiko Yenu mtajua kwamba si Maandiko ya kiucha Mungu ila Maandiko ya Viumbe wenye Tamaa

ASANTENI
Mkuu, umeuliza swali zuri sana lakini based on vitabu vilivyotungwa na watu kusingizia ni vya Mungu (tukufu). Mungu hajatunga wala kumpa mtu haya kwenye vitabu. Ukijuwa historia ya dini jinsi zilivyotungwa na watu ni mshangao tupu.
 
Soma vitu current achana na ushabiki wa dini za mapokeo na ukoloniView attachment 2142622View attachment 2142623

Kaka mkubali yesu uokolewe, hamna sehemu kwenye hilo andiko ambako kunasema injili haijahubiriwa na ndio maana wakristo wanauawa kwa maana WAPO.
Imeandikwa
Matendo ya Mitume : 4 : 12 - Wala hakuna wokovu katika mwingine awaye yote, kwa maana hapana jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo.
 
Ww bibilia hujaisoma vizuri ukaelewa
Kwenye bible kuna
Mungu baba
Mungu mwana na Mungu Roho mtakatifu
Yesu alifanyika mwana akaja akakaa kwetu

Mtoto wa nyoka ni nyoka so mtoto huyo hawezi muomba baba yake?

Kwahiyo Yesu ni Mtoto wa Mungu au Mungu?
 
Kwanza ww unatuambia hayo ukiwa dini gani usikute unaangaika na bible while yako yamekushinda
Alaf haya mambo ni imani na imani hauwezi kuitafsiri kiuwanadamu, ww kama unaami hivyo ni sawa
Vitu vingi kwenye hizi dini zetu ukifikiria kwa akili ya kawaida utaona kuna mapungufu mengi ya maelezo
So kama umeamua kuiamini iamini with no questions
Ndivyo mlivyopumbazwa Kiasi cha Kwamba Kitu kinaeleweka Kabisa Kwamba Ni Cha Uongo na Ni Kufuru ila mnalazimisha Eti kwa Akili Ya Kawaida huwezi Elewa.

Viumbe hao ndio wamewavaa Akili zenu ili zisiwe kufikiria. Yaani Nione umesema Kikombe halafu mimi nitafsiri Bakuli na Siyo Kikombe.

Yesu alifia Msalabani kwa Sababu alienda Kinyume na Sheria za Wayahudi na Waonwalitumia Sheria ya Musa ambayo ndio Hukumu ya Mungu. So Yesu alifia Msalabani kwa Sheria ya Mungu iliyoandikwa

1. Ilikuwa nj Kufuru Kusema Wewe ni Mtoto wa Mungu

2.ilikuwa Ni Kufuru Kujifananisha Na Mungu

3. Kulingana na Wayahudi Mungu Pekee Ndie Aliyekuwa anasamehe Dhambi kwa Kuchinja Beberu mmoja Mzaliwa Wa Kwanza katika wanyama hao
 
Umekataa maandiko halafu bado unaoji maandiko yenyewe. Hiki ni kioja cha karne
Kuhoji lazima Uhojiwe wewe unayesimamia Hayo maandiko. Wewe ndio ujibu Ndugu kwahiyo unattaka Anayekuuliza Mpka Awe anayakubali Sasa Ukikubali Unahoji nini Wakati tayari ushakubali Mungu anazaa
 
Kaka principle ni hii
Imeandikwa
Marko : 16 : 15 - Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe.
16 : 16 - Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.

Mkubali Yesu kwamba ni mwana wa Mungu
Ukabatizwe. Tofauti na hapo utahukumiwa
Hhhhhhh Huna hoja kila kiumbe huzaliwa kwenye Uislamu ndo mna mnabatiza watoto wenu ili muwatoe kwnye Uislamu
 
Back
Top Bottom