Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

Huu ni unabii alitoa muhammad miaka 1400 iliyopita,
Muhammad saying, “Islam began as a small religion and will return to the state in which it began. Then blessed will be the few Mishkat al-Masabih 159
-“Faith will shrink back to Medina as a snake shrinks back to its hole.” (Bukhari and Muslim.) Mishkat al-Masabih 160
“Islam began as something strange and will go back to being strange, so glad tidings to the strangers.’”Sunan Ibn Majah 3986
usichokielewa kiulize vizuri
 
usichokielewa kiulize vizuri
Nini kisicho eleweka hapa

Muhammad saying, “Islam began as a small religion and will return to the state in which it began. Then blessed will be the few Mishkat al-Masabih 159
-“Faith will shrink back to Medina as a snake shrinks back to its hole.” (Bukhari and Muslim.) Mishkat al-Masabih 160
“Islam began as something strange and will go back to being strange, so glad tidings to the strangers.’”Sunan Ibn Majah 3986
 
Nini kisicho eleweka hapa

Muhammad saying, “Islam began as a small religion and will return to the state in which it began. Then blessed will be the few Mishkat al-Masabih 159
-“Faith will shrink back to Medina as a snake shrinks back to its hole.” (Bukhari and Muslim.) Mishkat al-Masabih 160
“Islam began as something strange and will go back to being strange, so glad tidings to the strangers.’”Sunan Ibn Majah 3986
Haya nielezee sasa vipi ulikua ugeni wake na utarudi kma ugeni kma ulivokuja nielezee sasa

hlf ndo nitathibitisha kua unaongea ukweli
 
Kwa vile Yehova si Mungu Yehova ni Mtoto wa Hudi aliyezaa na Sharka mke wa Pili wa Hudi baada ya Kukimbia Kutoka India [emoji1128]. Yehova alirithi Mali za Hudi na Alipofariki alizikwa kwa Heshima Kubwa sana kilima Sinai
Embu funguka zaid hao kina Hudi ni kina nani[emoji848]
 
Haya nielezee sasa vipi ulikua ugeni wake na utarudi kma ugeni kma ulivokuja nielezee sasa

hlf ndo nitathibitisha kua unaongea ukweli
Uelezewe nini soma
Muhammad saying, “Islam began as a small religion and will return to the state in which it began. Then blessed will be the few Mishkat al-Masabih 159
-“Faith will shrink back to Medina as a snake shrinks back to its hole.” (Bukhari and Muslim.) Mishkat al-Masabih 160
“Islam began as something strange and will go back to being strange, so glad tidings to the strangers.’”Sunan Ibn Majah 3986


Au hauamini unabii wa muhammad
 
Uelezewe nini soma
Muhammad saying, “Islam began as a small religion and will return to the state in which it began. Then blessed will be the few Mishkat al-Masabih 159
-“Faith will shrink back to Medina as a snake shrinks back to its hole.” (Bukhari and Muslim.) Mishkat al-Masabih 160
“Islam began as something strange and will go back to being strange, so glad tidings to the strangers.’”Sunan Ibn Majah 3986


Au hauamini unabii wa muhammad
Ndo mana nakwambia usichokijua huwezi kukielewa mna Nyie Mungu wenu kapigwa kafa huku akimuomba Mungu wake amuokoe lkn bdo mumeshikilia kua huyo ndo Mungu
kwaio kma huelewi kitu we kaa kimya tuu iyo hadithi wala haipo kma ulivoielewa ww
 
Ndo mana nakwambia usichokijua huwezi kukielewa mna Nyie Mungu wenu kapigwa kafa huku akimuomba Mungu wake amuokoe lkn bdo mumeshikilia kua huyo ndo Mungu
kwaio kma huelewi kitu we kaa kimya tuu iyo hadithi wala haipo kma ulivoielewa ww
Tunaongela unabii wa muhammad wewe unampinga , wewe dini gani kwani? Au lugha ngumu?

Muhammad saying, “Islam began as a small religion and will return to the state in which it began. Then blessed will be the few Mishkat al-Masabih 159
-“Faith will shrink back to Medina as a snake shrinks back to its hole.” (Bukhari and Muslim.) Mishkat al-Masabih 160
“Islam began as something strange and will go back to being strange, so glad tidings to the strangers.’”Sunan Ibn Majah 3986
 
Uelezewe nini soma
Muhammad saying, “Islam began as a small religion and will return to the state in which it began. Then blessed will be the few Mishkat al-Masabih 159
-“Faith will shrink back to Medina as a snake shrinks back to its hole.” (Bukhari and Muslim.) Mishkat al-Masabih 160
“Islam began as something strange and will go back to being strange, so glad tidings to the strangers.’”Sunan Ibn Majah 3986


Au hauamini unabii wa muhammad
Mtafisirie kwa Kiswahili yawezekana yeye anajua kiarabu
 
Embu funguka zaid hao kina Hudi ni kina nani[emoji848]
Kuna Historia ya Wayahudi ni Ndefu kidogo. Ila Asili yao ni Wa hindi waliokimbia Kutoka India baada ya Kufukuzwa Huko kwa Tamaduni za Kichawi kusalia Maiti na Kuzichoma na Kula
 
Sasa tuko pamoja, Mungu yupo nawe umekiri ndo anayejua kila kitu Sasa kwanini unahoji mambo yake kwamba hayupo au Yesu hajatumwa na Mungu!

Ubarikiwe Sana kwa kukiri uwepo na anajua kila kitu.
Kukubali kwamba Mungu yupo haimaanishi kwamba anaamini maandiko yanayomuhusu. Maandiko ni ya binadamu na ndiyo anayoyahoji. Of course uwepo wetu ni kwamba kuna source, kitendawili kilichopo ni kwamba kuna uwalakini kwa kuonekana kwake. Personally sijamuona huyo source, kwa hiyo ni upuuzi kuongelea kuhusu huyo source achilia mbali kuamini hayo maandiko ya watu ambao ni binadamu wenye madhaifu na mapungufu kama mimi wanaosema wamemuona na ni source ndo kawatuma: nisingependa source mbaguzi wa hivyo, kama anataka ani-face ana kwa ana tupige stori. Kama hujawahi kuonana na huyo source, how far sure you are kwamba wanosema wameonana naye wamemwona kweli? The Universe is a mystery na hakuna tunachojua zaidi ya experiences tu za maisha tunazoishi pengine kwa kuambiwa na kufuatisha au kujiamulia njia zetu wenyewe na mwisho tutakufa. Period.
 
Wewe ndio usome historia vizuri. Acha propaganda za uongo. Watu gani waliuawa, wakati wa missionary walijenga shule na mahospitali ambayo mpaka leo zinatumika. Halafu ukristo msingi wake Ni hiari sio lazima.
Wewe nawe ina maana hata wakina Chief Mkwawa huwajui, wakina Mangi Meri je? basi hata vita ya maji maji nayo utakuwa huijui. Religion was the force behind colonialism na biblia ilichochea mauaji ya mabibi na mababu zetu. Leo tuko huru sababu kuna watu walitoa uhai wao! I will honor those rather than honoring mtu wa sehemu nyingine ambaye sina uhakika hata kama alikuwepo kweli. Kataa basi kwamba hakukuwa na ukoloni aiseee kama ambavyo kutwa kucha mnahubiriana utumwa wa waisraeli huku mnasahu kwamba ancestors wetu walipitia utumwa ambao hata huo wa waisraeli ukasome.
 
  1. Inakuaje wewe unayetoa hukumu ujipe mwanao sadaka kwa ajili ya unaotaka kuwahukumu?
  2. Hizo nafsi 3 alizonazo Mungu wapi aliwahi tamka kwenye kitabu chochote?
  3. Kwahiyo kama huyu Yesu ndo Mungu, alimwomba Mungu yupi tena amwepushe na kikombe?
 
Hakuna kisichoeleweka hapo ni wewe tuu hutaki kuelewa

Unavyojivuruga mwenyewe kwa kushindwa kusoma maandiko na kuyaelewa badala ya kubeba mistari michache na kukimbia nayo ndivyo unavyozidi kuvurugika

Aliyezaliwa na Mariam ni Kristo ambaye malaika alitumwa amwambie akishazaliwa amwite jina lake Yesu, Sio Yusufu wala Mariam walimpa hilo jina

Mathayo 2: 3-4
"Basi mfalme Herode aliposikia hayo, alifadhaika, na Yerusalemu pia pamoja naye. Akakusanya wakuu wa makuhani wote na waandishi wa watu, akatafuta habari kwao, KRISTO azaliwa wapi?"
Luka 1: 26-27; 30-33
Malaika Gabrieli alitumwa na Mungu kwenda mpaka mji wa Galilaya, jina lake Nazareti,
kwa mwanamwali bikira aliyekuwa ameposwa na mtu, jina lake Yusufu, wa mbari ya Daudi; na jina lake bikira huyo ni Mariamu.
Malaika akamwambia, Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata neema kwa Mungu.
Tazama, utachukua mimba na kuzaa mtoto mwanamume; na jina lake utamwita Yesu.
Huyo atakuwa mkuu, ataitwa Mwana wa Aliye juu, na Bwana Mungu atampa kiti cha enzi cha Daudi, baba yake.
Ataimiliki nyumba ya Yakobo hata milele, na ufalme wake utakuwa hauna mwisho.

Ijue maana ya jina Imanueli. Baada ya jina hilo kutajwa kwenye Isaya 7:14 nenda kasome Isaya 9:6. Usisome biblia vipandevipande ukatoa hitimisho, jitahidi kusoma uelewe. Ila kama imani yako sio kwa biblia basi nyamaza tuu sababu utaongea hata yasiyokuwako
Isaya 7:14
"Kwa hiyo Bwana mwenyewe atawapa ishara. Tazama, bikira atachukua mimba, atazaa mtoto mwanamume, naye atamwita jina lake Imanueli."
Isaya 9: 6
"Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani."

AMINA
 
Ukitumia akili zako timamu utajua hapa Hakuna Ukweli wowote

Maana hao hao waliotunga hayo maandiko wanakuja Kusema Huyo waliomsulubu alikuwa ni Mungu. Ila Ukiwauliza Kwahiyo Binadamu walimuua Mungu hawana Jibu. Na Ukiwauliza Kwahiyo Dunia ilimuua Mungu na Ikawa haina Mungu kwa Siku 3 mfululizo hawana Jibu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Sina budi ila kupasuka mbavu
Ukweli nikwamba Kwa mujibu wa Doctrine za kikristo ,Binadamu amemuuwa mungu ili asiwe na wa kumuhukumu.

Hatimae baada ya kumua akapata kikomboleo cha dhambi zake.

Ukimuamini mungu aliye kufa kifo cha kusulubiwa na wanadamu kisha akafufuka siku ya tatu kama msukule/mzimu na akakimbilia kusiikojulikana, na wenyewe wanasema Mbinguni na hapo ndio utakuwa salama na DHAMIBI kwa imani hii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ajabu sana
 
Allahu Akbar, (Mungu ni Mkubwa)
Neno hili limepitiliza kila unachokiona ni kikuu,
MunguniMkuu kwa Elimu yake,
Ni mkuu kwa Matendo yake,
Nimkuu kwa Wajihi wake.
Ni Mkuu kwa Sifa zake.
Na Hafanani kamwe na Kiumbe chake chochote kiwacho..
Bali anasikia na anaona.
Mungu. Amemuumba binadamu akiwa dhaifu mno.
Akmsaidia kwa kumletea Miongozo ya kuishi na nyenzo za kumrahisia maisha.
Akamletea Ujumbe kupitia binadamu wenzetu kama sisi ,ila wao walifunuliwa maono na kutumwa watuongoze njia ya salama kwa maisha yetu.

Mungu anatutaka tuishi Vema hapa Kwenye dunia,
Mungu Atatulipa kwa wema wetu.
Na wale waliokaidi na kutenda maovu,
Atawalipa kwa maovu yao ,adhabu isiyomithilika.
Mungu ana upendo sana kwa wanadamu.

Lakini Binadamu kapewa Demokrasia ya kufanya kwa matakwa yake lolote lile ,zuri au baya hatozuiliwa.
Lakini atahukumiwa kwa maamuzi yake aliyojichagulia hapa duniani.

Hata Hivyo a,akitubu na kutengamaa nakufanya mema, atamsamehe yote aliyokosea.
KARIBUNI NJIA YA SALAMA YA MSAMAHA NA KUACHANA NA MAOVU
NAYO NI KUSHIKAMANA NA MEMA NA MAPENZI YA MUNGU MKUU ALIYEUMBA KILAKITU.
 
Kuna Mambo Yapo Ulimwenguni ukiyatafakari kwa Kina hayaingii Akilini ndugu waafrika wenzangu

Kuna Historia katika Vitabu kwamba Mungu alimtoa Mwanae Ili aje Kuikomboa Dunia katika Dhambi (ambazo zipo mpaka Leo)

Ukiangalia kwa Undani Historia hii ya kuzaliwa kwake inatia Shaka sana kabla ya Kujua Majibu ya kuzaliwa kwake inakuja Historia kwamba hana Baba. Kabla hujapata Majibu ya Baba ni nani Inakuja Kwamba ni Uwezo wa Mungu ndio akazaliwa. Yanakuwa Maswali juu ya Maswali

Kumbuka Yusufu na Mariam si kwamba Walikuwa ni Wachumba la hasha bali walikuwa tayari wapo Ndani (wameoana) wanaishi pamoja. Hakuna wachumba Wanaoishi pamoja kwa Utaratibu wa Kuishi. Ukichumbia wewe utakaa kwako na Huyo mchumba atakaa kwao. Kama Waliishi pamoja maana Yake waliweza Kushiriki Tendo la Ndoa yao na Ukifuatilia kwa Makini Yusuf alikuwa Pamoja na Mariam kila Sehemu hakuna Sehemu inayosema Alikuja Kumuoa mariam Ikiwa na Maana Kwamba Tayari alikuwa keshaoa maana yake ule uchumba ulio andikwa Tayari ukayeyuka

Binadamu huzaliwa Kwa Mwanaume na Mwanamke hili halina ubishi. Ila Kuna Kuja Utata wa Hapa Kwamba Yesu alizaliwa bila Mfumo maalumu wa Uzazi wa Baba na Mama ila Roho Mtakatifu kama Wanavyodai (kumbuka Hata Huko india Wapo Watu wenye Hadithi hizi hizi za Kuzaliwa bila Baba)

Sasa Hapa Unajiuliza Maswali. Mungu huyo aliyeweza Kumuumba Mwanadamu wa Kwanza Bila Kutumia mifumo ya Uzazi Inakuwaje leo aje Aanze Kumuumba Binadamu mwingine anayedaiwa ni Mwanae kwa Mifumo ya Uzazi na Akaenda kwa Mariam ambaye alikuwa teyari ana Mume(kumbuka Hapa Mungu hazai na Wala Hakuzailiwa)

Sasa Anamzaa mwanae kupitia Mariam mara Yusufu atake kumkimbia Mariam maana Kuna Siri May be Yusufu aliiona akaona Hapa Nimepigwa na Baada ya Yesu kuzaliwa Yusuf Anapotea Ghafla kwenye Maandiko na Historia yake inaishia Hapo hapo

Mungu anamtoa Mwanae. Anakuja Mnamkataa, mnampiga, mnamtesa anawahubiria mnagoma Kukubali maneno yake mnamfukuza kwenye masinagogo yake, Anaenda Kusali mlimani peke yake, anakusanya wanafunzi wake. Hao wanafunzi nao mnawakataa mnawafukuza. Hivi Mungu hapo anawaogopa Nyie kisa Nini mpak Awafanyie Haya Yote Nyie Viumbe wake

Yaani Mungu mpaka Anatoa Mtoto wake Wa Pekee ili awabembeleze nyie mmrudie Yeye na Mnakataa. Sasa Hapo Mungu Anakuwa na Ule Uwezo na Kutoshindwa Kitu kweli. Kama Kawatumia Mwanae na Mmemgomea kawatumia Manabii na Mitume mmemgomea Tena na hamtaki kumrudia. Hivi Mungu anawalemba Hivyo Ili Iweje

Si kila Mtu anayezaliwa bila Baba Yake basi Baba Yake ndio Mungu. Wachawi wanazini na Binadamu kila Siku na Wachawi hao hao ndio Binadamu wenzenu. Wanawake wanabeba Mimba zingine wasizozijua zimetoka wapi

Basi Mjue Kwamba Hapo Mwenye Enzi Mungu hayupo na Mnaozeshwa Akili zenu ndugu zangu. Kaeni Chini Mtafakari kwa Akili zenu Timamu. Mungu hawezi kufanya hayo Kwa Viumbe wake. Yeye hayupo Hivyo

[emoji3507]Mungu si Mmoja
[emoji3507]Mungu si Wengi
[emoji3507]Mungu si Baba
[emoji3507]Mungu si Mama
[emoji3507]Mungu si Kiumbe
[emoji3507]Mungu hachukii Viumbe
[emoji3507]Mungu hapendi Viumbe wake ila Ana Enzi na Viumbe wake (usijione wewe Kiumbe Mtu unapendwa na Mungu Kuliko Viumbe wake wengine aliowaumba)
[emoji3507]Mungu hakuzaa wala Kuzaliwa

Yachunguzeni maandiko Yenu mtajua kwamba si Maandiko ya kiucha Mungu ila Maandiko ya Viumbe wenye Tamaa

ASANTENI
jiulize swali moja kisha utapata jibu
kwanini wachawi ukiwatamkia jina la Yesu wanakimbia na kuumia
na kwanini jina la Yesu Lina nguvu ukijibu hayo utaelewa
 
Back
Top Bottom