Mungu anaweza kutenda dhambi?

Mungu anaweza kutenda dhambi?

Hapana sio tafsiri yake kwakuwa kuna sheria kandamizi
Dhambi ni jambo lolote lile la kuwaza, la kunena na la kutenda ambalo
Halimuumizi mhusika ama wengine/vingine
Halimharibu mhusika wala wengine/vingine
Halina madhara yoyote yale kwa mhusika wala kwa wengine na vingine
Nlimaanisha sheria za mungu.
 
Ukitoa fikra wenye spectrum ya kizuri au kibaya....utaanza kuelewa ishu nzima ya purpose/sababu.
Yani hakuna juu wala chini. Ila kuna hapo tu, na ukiuliza wapi, jibu ni popote pale.
 
Back
Top Bottom