Mungu atawaadhibu kwa dhambi za wazazi wenu, hata kizazi cha tatu mpaka cha nne

if God is all good (all benevolent) then God has the desire to end suffering, and if God is all-powerful (omnipotent) then God has the ability to end suffering. Therefore if God does not end suffering, then God is either not all good, or is not all-powerful, and is therefore not God”.
 
MTU ni yuleyule Mkuu.
Wakati mzazi wako anafanya dhambi wewe ulikuwa katika mwili wake. Wewe ni yeye, version yake.

Hata wewe ukifanya kosa hapo, ndani yako wapo Watoto wako ambao haujawazaa, lazima wawajibishwe [emoji3]

Hamna hizi hadithi zisahaulike mzee
 
Kutubu hakuondoi adhabu Mkuu[emoji23][emoji23]

Kwa hivyo laana ipo pale pale duuh ya kizazi chatatu mpaka channe! Watoto mpaka wajukuu

Makosa hasa hayo ambayo yapo hapo ambayo yanafanywa na wazazi na kuja kupelekea laana kwa watoto ni yapi? Haswa
 
Sasa mkuu hao wana na wajukuu wana kosa gani?

Sio kwamba ni ‘fair’ kama alitefanya ndio afanyiwe?

Sio fair Kwa kweli mkuu, yaani mtu akikuona unapata tabu ya magonjwa na tabu zingine ajisemee mtaaani huko unamuona huyo wazazi wake walifanya kitu fulani hiyo ni laana kutoka Kwa Mungu Kwa sababu ya makosa ya wazazi wake... hata haiji yaani
 
Mungu wetu sisi alitaka yale maovu unayowafanyia watu wengine ukiona furaha na kujigamba yawapate na wanao na wajukuu zako kama unaona ni mazuri na wao wayavune.

Nimeshasikia kwa wauza madawa ya kulevya kwamba ukiwa unauza unga si unaharibu kizazi yaani watoto wa watu unawauzia Kwa hivyo na wewe kwenye uzao wako lazima ikukute hiyo yaani kama sio mwanao ni mjukuu lazima imkute nae apate tabu kama unavyowatesa wengine.. sasa nilikuwa najiuliza Kwa nn? Isikukute wewe mwenyewe ili uumie zaid
 

Waafrica tuamke
 

Nzuri kwa waislam kwa kweli, haiwezekani kwa kosa la mwengine aazibiwe mwengine

Hata serikali leo ukifanya kosa mtoto hakamatwi mama yaani atatafutwa mtoto popote alipo atumikie kifungo
 
Hiyo Kwa Sasa hivi haipo kulingana na maandiko,mtoto hatakufa Kwa dhambi za baba yake,ukifanya uovu laana itakupata wewe,Haina nafasi ya kumpata mtoto kama ataamua kumcha Mungu
 
Hiyo Kwa Sasa hivi haipo kulingana na maandiko,mtoto hatakufa Kwa dhambi za baba yake,ukifanya uovu laana itakupata wewe,Haina nafasi ya kumpata mtoto kama ataamua kumcha Mungu

Kama ni kweli ni vizur tatzo maandiko bado yapo
 
Sijui kuhusu wewe ila kiuhalisia ‘that’s not fair’
Haiwezekani aue baba yako adhabu upewe wewe.
 

Kweli kabsa unaweza kumsaidia mtu kumbe laana inatoka kwa Mungu moja kwa moja unakuwa Kama unapambana na Mungu sasa akichukia anaweza akakupiga laana na wewe
 
Sio fair Kwa kweli mkuu, yaani mtu akikuona unapata tabu ya magonjwa na tabu zingine ajisemee mtaaani huko unamuona huyo wazazi wake walifanya kitu fulani hiyo ni laana kutoka Kwa Mungu Kwa sababu ya makosa ya wazazi wake... hata haiji yaani
Kabisa mkuu, utetezi wa ndugu yangu Rasterman hauingii akilini.
 
Mungu humhukumu kila mtu kadiri ya matendo yake
1Neno la Mwenyezi-Mungu lilinijia: 2 “Kwa nini mnarudiarudia methali hii katika nchi ya Israeli:
‘Akina baba wamekula zabibu mbichi,
lakini meno ya watoto wao yakatiwa ganzi!’
3Lakini, kama niishivyo mimi Bwana Mwenyezi-Mungu, nasema kwamba methali hii haitatumika tena katika Israeli. 4Jueni kwamba uhai wote ule ni wangu, uhai wa mzazi na uhai wa mtoto. Yeyote anayetenda dhambi, ndiye atakayekufa.
5“Kama mtu ni mwadilifu, anafuata yaliyo haki na sawa, 6kama hashiriki tambiko za sanamu za miungu mlimani wala kuzitegemea sanamu za miungu ya Waisraeli, kama hatembei na mke wa jirani yake wala kulala na mwanamke wakati wa siku zake, 7kama hamdhulumu mtu yeyote, bali hurudisha rehani, kama hanyanganyi watu mali zao, bali huwapa chakula wenye
 

Mstari umeeleza wazi kuwa yeye Mungu ndio ataazibu yaani atatoa laana yeye mwenyewe
 
Kwenye hili nimualike ndugu yangu Al Habib MrPhilosopher Kanju

Atueleze kimaadili imekaaje kumtumia mtu ‘as mere means to an end’.
 
"Life span" ya dhambi ni miaka mia 400.Itaendelea kuoperate mpaka kwenye uzao huo mpaka iexpire.

Hatari sanaa, aliyetuandikia haya maandiko ametuathiri pakubwa sana sisi wasomaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…