Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Haitakaa itokee...labda nikupongeze ww ila sio Wanazi wa hii timu humu... 😆 😆🤣🤣Mtani tukiwapiga uje kutupongeza hapa mtani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haitakaa itokee...labda nikupongeze ww ila sio Wanazi wa hii timu humu... 😆 😆🤣🤣Mtani tukiwapiga uje kutupongeza hapa mtani
@tamuuuuu mkuu heshima zako.Nachowapendea Simba hawana kelele wao ni vitendo tu.Simba ya sasa hawakuruhusu upate ushindi hata iweje!
Wale wamisri wameona hali halisi.
Tukutane tar 5 mtaona
Siku yenyewe si ndio hii?Tukutane trh 5...hyo inaitwa msiemtaka kaja
Khatari shekhe kuna watu watatamani ardhi ipasuke wafiche nyuso zao
Balaa sanaNilisema mtu kala 5 😂😂🤣🤣
SawaYanga wanatimu nzuri ila wanacheza kitoto...Azizi ki,Paccome wanapoteza Sana mipira mtu Hatari ni Max kakamilika kwelikweli
Kabisa 🤣Yametimia
Kakimbia
🤣🤣Sawa