Princekyoma
Member
- Apr 2, 2023
- 31
- 20
Mungu amekupa akili na utashi ili upambane ipasavyo na changamoto zinazokukabili na ugum wako wa maisha ni kipimo halisi cha akili yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu mpumbavu ndo anawaona wachokonozi ni wajingawale wajinga waliovurugwa na maisha ukajifunze kwao. Aisee
Comment ifanyiwe lamination....Huyo Mungu unayemlaumu ndio wewe mwenyewe, nyanyua hili tako upambane uache kujilaumu.
Ukitaka kufanikiwa usilalamike, badili mtazamo, badili akili, anza kuyatazama mambo yote katika hali Chanya.
Malalamiko husababisha matatizo mengi zaidi. Fikra za umasikini husababisha umasikini mwingi zaidi na zaidi.
Fikra za mikosi huzalisha mikosi mingine mingi zaidi. TULIZANA, BADILI MTAZAMO.
Anza sasa kujifikiria mambo mazuri tu na utaona mambo yote mazuri yanakuja kwako kwa wingi. Fedha, mali, furaha na baraka.
Umemaliza kabisa, kama kweli ni wa Mungu asingethubutu kuandika hayo atafute kumjua atakuwa na amani.Ni sawa na useme mume wa jirani yangu Hana msaada na Mimi na ni TAJIRI, sasa huyo ni Mumeo? Lazima awe wako!
Mungu ana msaada kwa watu wenye mahusiano naye, na Kama ungewahi Kuwa na mahusiano naye usingeropoka!
Angalia watu Kama Yusufu, Ayoub na wengine wengi kwenye Biblia, walipita balata za kutosha, wakavumilia mwisho we wakamwona Mungu!
Yani watu Kama wewe wa naweza kufa huku wanatukana Mungu Mwenye uwezo wa kukusaidia; hauna mahusiano na huyu Mungu hata kidogo!
Die hard brother Kama hutaki kumfaham na kumwelewa huyu Mungu namba ambavyo anafanya kazi zake, go die, killl yourself, die baby die!
Taja watu tunaowafahamu bn, acha kututajia characters wa story bn.
Taja watu tunaowafahamu acha hadithi.... Au mungu alikuwepo zamani tu?🤔Humjui huyu Mungu, hauna kosa!
Taja watu tunaowafahamu acha hadithi.... Au mungu alikuwepo zamani tu?🤔
Mwendo umeumaliza...Uwe na siku njema
Tuliza akili na mawazo tuambie shida ni nini hasa acha kumlaumu Muumba wako,hata baraka unayoitamani utaweza kuikosa.Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.
Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.
Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.
Kwenye paragraph ya mwisho mbona umezidi kumkandamiza?Ni sawa na useme mume wa jirani yangu Hana msaada na Mimi na ni TAJIRI, sasa huyo ni Mumeo? Lazima awe wako ndo akusaidie!
Mungu ana msaada kwa watu wenye mahusiano naye, na Kama ungewahi Kuwa na mahusiano naye usingeropoka na kumdharau!
Nani alikwambua watu wote wenye navyo wamepewa na Mungu unayemlaumu? Hata shetani utoa mafanikio yenye majuto!!! Why don’t you try him uone balaa Lake????
Angalia watu Kama Yusufu, Ayoub na wengine wengi kwenye Biblia, walipita balaa za kutosha, wakavumilia mwisho we wakamwona Mungu! Unajua kwa nini hawakukufuru Kama wewe ? Kwa Sababu wamamjua!
Yani watu Kama wewe wa naweza kufa huku wanatukana Mungu Mwenye uwezo wa kukusaidia; hauna mahusiano na huyu Mungu hata kidogo; kufa tu brother na laana zako na Umaskini!!!
Die hard brother Kama hutaki kumfaham na kumwelewa huyu Mungu namna ambavyo anafanya kazi zake ( He is a principled God ) go die, killl yourself, die baby die!
Kwenye paragraph ya mwisho mbona umezidi kumkandamiza?
Hiyo situation anayopitia anahitaj kutiwa moyo
Msaada wa nn nduguMikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.
Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.
Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.
MUNGU, hayupo kwaajiri ya watu legelege like him, mim naona tatzo sio Mungu, tatizo lipo ndani ya BONGO yake.Ni sawa na useme mume wa jirani yangu Hana msaada na Mimi na ni TAJIRI, sasa huyo ni Mumeo? Lazima awe wako ndo akusaidie!
Mungu ana msaada kwa watu wenye mahusiano naye, na Kama ungewahi Kuwa na mahusiano naye usingeropoka na kumdharau!
Nani alikwambua watu wote wenye navyo wamepewa na Mungu unayemlaumu? Hata shetani utoa mafanikio yenye majuto!!! Why don’t you try him uone balaa Lake????
Angalia watu Kama Yusufu, Ayoub na wengine wengi kwenye Biblia, walipita balaa za kutosha, wakavumilia mwisho we wakamwona Mungu! Unajua kwa nini hawakukufuru Kama wewe ? Kwa Sababu wamamjua!
Yani watu Kama wewe wa naweza kufa huku wanatukana Mungu Mwenye uwezo wa kukusaidia; hauna mahusiano na huyu Mungu hata kidogo; kufa tu brother na laana zako na Umaskini!!!
Die hard brother Kama hutaki kumfaham na kumwelewa huyu Mungu namna ambavyo anafanya kazi zake ( He is a principled God ) go die, killl yourself, die baby die!
"Dr Remmy aliimba-:Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.
Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.
Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.