Sun is Sun
JF-Expert Member
- Mar 13, 2024
- 649
- 975
- Thread starter
- #81
Hawataki kusikia ukweli. Naona wanashangaa maoni yangu juu ya huyo MunguWalokole feki utasikia wanaisingizia mizimu ya ukoo wenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawataki kusikia ukweli. Naona wanashangaa maoni yangu juu ya huyo MunguWalokole feki utasikia wanaisingizia mizimu ya ukoo wenu
Kama kipi????Vitu vingi sana na hajatimiza hata moja kwanini?
Niliamua tu kujiita hivyoKwanini wajiita sun is sun.....
SawaLosted mind.
Pole sana kwa yanayokusibu. Mungu atabaki kuwa Mungu milele haijalishi wewe unapitia hali gani. Ushauri wangu kwako ni kuomba toba na rehema na kurejea kwake na kumwamini ili aingilie kati sumbuko lako. Mungu anasema katika Yeremia 29:11 'Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi asema Bwana ni mawazo ya amani kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.
Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.
Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.
Kwa nini hakuwaokoa wale waliozama maji KIVU. Na wao walikuwa wendawazimu kama Mimi?Mungu anavitu vingi vya kufanya hawez kuangaika na wendawazimu.
Kwahiyo unahisi nimelala!! ndani sifanyi Kazi?Watumishi wa Mungu wote katika biblia walikuwa ni wafanyakazi hodari, wavuvi, maseremala, wafugaji na wakulima, sasa wewe umefanya nini?
Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.
Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.
Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.
Kwanini una hasira nami Ndugu yangu? Ndiyo ni kweli hajawahi kunisaidia
Labda hata kupata hiyo VISA na nauli ya kwenda kwa Pdiddy ni kipengele kwake.basi Nenda kwa watu kama kina Pdiddy wakushughulikie kwa mambo maovu unatamani kuwa mdhambi ili uprovu unalodhani kuwa wenye dhambi nyingi ndio wenye pesa.
Kama ni kuomba nimeomba sana, Au labda niombe uchi ndiposa atanijibu?Pole sana kwa yanayokusibu. Mungu atabaki kuwa Mungu milele haijalishi wewe unapitia hali gani. Ushauri wangu kwako ni kuomba toba na rehema na kurejea kwake na kumwamini ili aingilie kati sumbuko lako. Mungu anasema katika Yeremia 29:11 'Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi asema Bwana ni mawazo ya amani kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.
Mbona hata sikuomba kuzaliwa? Hata pumzi sikuiomba. Na kama ni kufa mda wowote nipo tayariUnapumua pumzi yake, umekula umeshiba chakula ambacho amekikuza kwa mvua na jua kutoka kwake
Unakuja kuandika pumba zako hizi
Kama Mungu hauoni msaada wake hamia kwa Shetani
Kwahiyo anasaidia akipenda. Means maombi yenu ni sawa na bure?Mungu kutokukusaidia haina maana hayupo au mkatili,
Mahusiano ndîo kîla kitu.
Hata wewe utafariki. Kwani utaishi milele?Basi ngoja akamalizie na kamoyo hako mku
😂😂😂😂😨😨Watafute majini wakusaidie mkuu, Wapo wengi mno. Ingia youtube search namna ya kumuita jini na kumuamrisha akutumikie. Tena ukilipata la kike itakua poa, kama yuko single unaoa mazima.
Okay,bas subiri mkuuHata wewe utafariki. Kwani utaishi milele?
Hii ndo akili unayoingia nayo kanisani. Au kuna nyingine?Labda hata kupata hiyo VISA na nauli ya kwenda kwa Pdiddy ni kipengele kwake.
LabdaUnapofika Mwisho yeye ndipo anaonekana. Mimi nitaendelea kumuamini sana kwa sababu amenivusha katika mengi.