Mungu hana msaada wowote katika maisha yangu

Mungu hana msaada wowote katika maisha yangu

Bado una safari ndefu sana ya kumjua Mungu.. Mungu anatafutwa.. Sijui umefanya jitihada gani katika kumtafuta Mungu..??
 
Logical non sequitur.

Hata nisipoweza kuthibitisha uwepo wangu, hilo halithibitishi Mungu yupo.

Thibitisha Mungu yupo.
Tayari ushathibitisha uwepo wa Mungu, neno "hata nisipothibitisha" tayari ni kukubaliana kutokukubaliana kwa uwepo wa Mungu.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Tayari ushathibitisha uwepo wa Mungu, neno "hata nisipothibitisha" tayari ni kukubaliana kutokukubaliana kwa uwepo wa Mungu.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Hapana, wewe huelewi logical non sequitur fallacy unayoifanya tu.

Na huo ni uthibitisho Mungu hayupo.

Angekuwepo, asingeumba mtu mjinga kama wewe.
 
Kama MUNGU hana msaada wowote kwako,,hivi hiyo pumzi unayovuta unailipia kiasi gani kwa siku?

Yule anayekulaza na kukuamsha kila siku asubuhi unamlipa kiasi gani?

Viungo vyako vya mwili kuendelea kufanya kazi vikiwa salama unalipia kiasi gani?

Kama basi huna shukran kwa muumba wako inapasa kusema kwamba FIRAUNI na wafuasi wake bado wanaishi duniani.
 
Ni sawa na useme mume wa jirani yangu Hana msaada na Mimi na ni TAJIRI, sasa huyo ni Mumeo? Lazima awe wako ndo akusaidie!

Mungu ana msaada kwa watu wenye mahusiano naye, na Kama ungewahi Kuwa na mahusiano naye usingeropoka na kumdharau!

Nani alikwambua watu wote wenye navyo wamepewa na Mungu unayemlaumu? Hata shetani utoa mafanikio yenye majuto!!! Why don’t you try him uone balaa Lake????

Angalia watu Kama Yusufu, Ayoub na wengine wengi kwenye Biblia, walipita balaa za kutosha, wakavumilia mwisho we wakamwona Mungu! Unajua kwa nini hawakukufuru Kama wewe ? Kwa Sababu wamamjua!

Yani watu Kama wewe wa naweza kufa huku wanatukana Mungu Mwenye uwezo wa kukusaidia; hauna mahusiano na huyu Mungu hata kidogo; kufa tu brother na laana zako na Umaskini!!!

Die hard brother Kama hutaki kumfaham na kumwelewa huyu Mungu namna ambavyo anafanya kazi zake ( He is a principled God ) go die, killl yourself, die baby die!
Acha porojo...huyo Mungu hayupo ni story tu.
 
Ni sawa na useme mume wa jirani yangu Hana msaada na Mimi na ni TAJIRI, sasa huyo ni Mumeo? Lazima awe wako ndo akusaidie!

Mungu ana msaada kwa watu wenye mahusiano naye, na Kama ungewahi Kuwa na mahusiano naye usingeropoka na kumdharau!

Nani alikwambua watu wote wenye navyo wamepewa na Mungu unayemlaumu? Hata shetani utoa mafanikio yenye majuto!!! Why don’t you try him uone balaa Lake????

Angalia watu Kama Yusufu, Ayoub na wengine wengi kwenye Biblia, walipita balaa za kutosha, wakavumilia mwisho we wakamwona Mungu! Unajua kwa nini hawakukufuru Kama wewe ? Kwa Sababu wamamjua!

Yani watu Kama wewe wa naweza kufa huku wanatukana Mungu Mwenye uwezo wa kukusaidia; hauna mahusiano na huyu Mungu hata kidogo; kufa tu brother na laana zako na Umaskini!!!

Die hard brother Kama hutaki kumfaham na kumwelewa huyu Mungu namna ambavyo anafanya kazi zake ( He is a principled God ) go die, killl yourself, die baby die!
Umeandika vizuri..hongera..ingawa kuna sehemu umechapia.
Mungu sio Hamisi (Mwanadamu), upendo wa Mungu ni zaidi kwa mbali kulinganishwa wa upendo wa mzazi kwa mtoto.Je mzazi anaweza mchukia mtoto wake hata kama anamapungufu kama yote, jibu ni hapana.
Hapo umemuongelea Mungu as if ni mwanadamu kuwa anatoa baada ya kupokea, umemuweka Mungu kama kiumbe chenye hisia na UMEMUHUKUMU HUYU NDUGU KUWA SABABU YUKO MBALI NA MUNGU NDO MAANA ANAPITIA MATATIZO. Umekosea sana...nani alikudanganya kuwa watu waliokaribu na Mungu hawapati matatizo, nani huyo - kuna mwanadamu yupi ambaye anamaisha yamenyooka na hana matatizo ???Vipi wewe mwenzetu unamaisha mazuri from all angles kama malaika???
Mungu yuko sawa kwa watu wote, hana upendeleo, Mungu katupa karama kila mtu na kila mtu kwa kupitia karama yake anaweza kujipatia mahitaji yake hapa duniani bila kumuingilia mwenzake.
Tumuombe Mungu atusaidie kuwa wastahimilivu pale tunapopitia changamoto - EMOTIONAL INTELLIGENCE. Hivyo usimtishe et sijui kamkosea Mungu...n.k huo ni uongo..muombe Mungu ampe ustahimilivu kama wewe hapo mpaka unafikiri wenzio wanamatatizo sababu wako sinful. Kwa hiyo ukienda OCEAN Road ukiona watu wanavyoteseka na Cancer - akili yako inakwambia hao ndi wakosefu sio???
 
Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.

Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.

Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.
Faida pekee ya rushwa kwenye jamii ni kuua imani, is one of the symptom enlightment, endelea na ulozi mpaka uijue lugha, inawezekana, welcome to the highest culture
 
Tatizo kubwa linaanzia hapo unapo fikiria kwamba mungu nikiumbe👈
Ondoa fikra hii kichwani nahii imewafanya watu wengi kua tegemezi na ombaomba wakidhani mungu nikiumbe amestarehe sehemu anawasikiliza wao wakiomba?
Inabidi ubadili fikra zako na utambue kwamba mungu yuko ndani mwako wewe hapo.
Hivyo kumuomba nj'e nawewe nipigo la kufeli kwahatua yakwanza.
Inabidi afanyeje aweze ku experience hizo nguvu za Mungu zilizopo ndani yake.
 
Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.

Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.

Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.
Mungu anafahamu kuna watu akiwapa balaa lake sio dogo, ndiomaana kakunyima.
 
Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.

Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.

Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.
Afya ya akili haipo sawa...kujiona wewe ndio una matatizo kuliko watu wote ni shida ya akili inawezekana kabisa hayo matatizo uliyonayo ni madogo sana kulinganisha na hao wenzako unaosema wana Neema Tele.
Wahi kwa wataaamu wakusaidie.
 
Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.

Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.

Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.
MUNGU sio fikra. God is real. Hatumjifunzi au kumwamini ili kuhakikisha kama kugusa. Kila mtu ana maswali kumhusu. Ila majibu, msaada na Imani kwa Mungu ni halisi. Ni vigumu kugawiana Imani kama keki. Binafsi nimemuona MUNGU kwa Imani na aliyonitendea.
 
Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.

Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.

Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.
Nan anaefanya upumue kama kakupa pumzi kwann useme hana msaada🙂
 
Mikosi, Kila kitu kibaya Mimi. Dhambi zangu hazijai hata kikombe lakini niliyoyapitia ni magumu kuliko umri wangu.

Lakini ukitazama wengine kwenye matendo maovu yote huwakosi, Ila wamejaa neema tele. Kila kitu kizuri kwao.

Ninapoelekea naenda kutokumwamini huyu kiumbe wa kuitwa Mungu. Maana kama kweli yupo ni mtesaji na mnyanyasaji kweli.
NIMEMALIZA.
Kunbe mungu wako na yeye ni kiumbe?

Huyo hafai, hata mimi nakuunga mkono.
 
Umeandika vizuri..hongera..ingawa kuna sehemu umechapia.
Mungu sio Hamisi (Mwanadamu), upendo wa Mungu ni zaidi kwa mbali kulinganishwa wa upendo wa mzazi kwa mtoto.Je mzazi anaweza mchukia mtoto wake hata kama anamapungufu kama yote, jibu ni hapana.
Hapo umemuongelea Mungu as if ni mwanadamu kuwa anatoa baada ya kupokea, umemuweka Mungu kama kiumbe chenye hisia na UMEMUHUKUMU HUYU NDUGU KUWA SABABU YUKO MBALI NA MUNGU NDO MAANA ANAPITIA MATATIZO. Umekosea sana...nani alikudanganya kuwa watu waliokaribu na Mungu hawapati matatizo, nani huyo - kuna mwanadamu yupi ambaye anamaisha yamenyooka na hana matatizo ???Vipi wewe mwenzetu unamaisha mazuri from all angles kama malaika???
Mungu yuko sawa kwa watu wote, hana upendeleo, Mungu katupa karama kila mtu na kila mtu kwa kupitia karama yake anaweza kujipatia mahitaji yake hapa duniani bila kumuingilia mwenzake.
Tumuombe Mungu atusaidie kuwa wastahimilivu pale tunapopitia changamoto - EMOTIONAL INTELLIGENCE. Hivyo usimtishe et sijui kamkosea Mungu...n.k huo ni uongo..muombe Mungu ampe ustahimilivu kama wewe hapo mpaka unafikiri wenzio wanamatatizo sababu wako sinful. Kwa hiyo ukienda OCEAN Road ukiona watu wanavyoteseka na Cancer - akili yako inakwambia hao ndi wakosefu sio???

“kwa mtoto.Je mzazi anaweza mchukia mtoto wake hata kama anamapungufu kama yote, jibu ni hapana;
ni hapana. Hapo umemuongelea Mungu as if ni mwanadamu kuwa anatoa baada ya kupokea,

God is so principled, ni wa kanuni:

1. Kwa Neema na Upendo wake alituletea Wokovu bure; lakini unajua kwamba “Lazima umkubali Yesu ndiyo upokee wokovu? Huo ndo utaratibu aliouweka.

2. Mtu anajuwaje Kumuelewa Mungu? Ni kwa kujifunza na kumfaham, ni hatua ya kwenda kujifunza, soma Warumi 12: 1 ( Ina mambo ma 3:

- Mwili unautoa dhabihu kumuelekea Mungu, ni bidii.

- Nia/nafsi inageuzwa ili Kuwa mamlaka ya mwisho.

- Baada ya kutoa Mwili na kugeuzwa nia kumfuata Mungu then ndo unajua MAPENZI ya Mungu…..

Swali: Hizo hatua 3 hapo mimi ndo namsadia?

Upo sahihi, ila uelewa wako umeishia kwenye Upendo wa Mungu tu, elewa Mungu ana upande wa pili!!
 
MUNGU sio fikra. God is real. Hatumjifunzi au kumwamini ili kuhakikisha kama kugusa. Kila mtu ana maswali kumhusu. Ila majibu, msaada na Imani kwa Mungu ni halisi. Ni vigumu kugawiana Imani kama keki. Binafsi nimemuona MUNGU kwa Imani na aliyonitendea.
Kwangu hajafanikiwa kunisaidia chochote.
 
Back
Top Bottom