Mungu hapangiwi ila Magufuli alipaswa ayaone haya akiwa hai ajifunze

Mungu hapangiwi ila Magufuli alipaswa ayaone haya akiwa hai ajifunze

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Mwenyezi Mungu ni mkuu na hapangiwi ila kwa akili zetu za kibinadamu magufuli haikupaswa kufa ili ayashuhudie haya akiwa hai ili ajifunze thamani ya utu na upendo.

Alipaswa kumuona Lissu akitabasamu na Mama Brussels.

Alipaswa kumuona Mbowe akipeana na mama mkono Ikulu.

Alipaswa kumuona Sabaya na Makonda wanavyohanyahanya.

Alipaswa kuona magazeti aliyoyafungia yanafunguliwa.

Alipaswa kumuona Ndugai akiwa mbunge wa kawaida.

Alipaswa kumuona Nape na Makamba ni Mawaziri.

Nk.

Ni vile tu wewe Mungu mkuu hupangiwi.
 
Ama kweli akutukanaye hakuchagulii tusi!!

Hivi Magufuli na kesi ya Mbowe anaingiaje? Hivi huyu mtu kumbe alikuwa anachukiwa namna hii??? Just imagine watu wanapambana na kaburi la Magufuli kila siku kutukanwa ni bora mwenyezi Mungu aliamua kumpumzisha Mzee was watu.

Sikutegemea kabisa kutajwa kwake kwenye kesi ya mchongo kama hii. Anayepaswa kukosolewa ati anapongezwa!!

Goja nikae kimya lakini ipo siku moja ukweli utajulikana!!

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mwenyezi Mungu ni mkuu na hapangiwi ila kwa akili zetu za kibinadamu magufuli haikupaswa kufa ili ayashuhudie haya akiwa hai ili ajifunze thamani ya utu na upendo...
Mwenyezi Mungu ni mkuu na hapangiwi ila kwa akili zetu za kibinadamu magufuli haikupaswa kufa ili ayashuhudie haya akiwa hai ili ajifunze thamani ya utu na upendo.
 
Magufuli alitaka mbowe na lisu wafanye walichokifanya Sasa na sio tofauti.
 
Ama kweli akutukanaye hakuchagulii tusi!!

Hivi Magufuli na kesi ya Mbowe anaingiaje??? Hivi huyu mtu kumbe alikuwa anachukiwa namna hii??? Just imagine watu wanapambana na kaburi la Magufuli kila siku kutukanwa ni bora mwenyezi Mungu aliamua kumpumzisha Mzee was watu...
Yaani muuwaji na mtesi wa watu ndio alifaa apongezwe!!!?
 
Ama kweli akutukanaye hakuchagulii tusi!!

Hivi Magufuli na kesi ya Mbowe anaingiaje??? Hivi huyu mtu kumbe alikuwa anachukiwa namna hii??? Just imagine watu wanapambana na kaburi la Magufuli kila siku kutukanwa ni bora mwenyezi Mungu aliamua kumpumzisha Mzee was watu...
Kushindana na marehemu ndio ajenda ya huu utawala, kila baya lilisababishwa na magufuli, Ila ukweli haujifichi.
 
Hii ni fursa nyingine ya kujenga nchi nzuri yenye KATIBA IMARA inayolinda na kutoa haki kwa upana kwa raia wote, upinzani hasa CHADEMA wanapaswa kuitumia vizuri
Mkuu hauko serious! Kwa tukio ili la leo unasema ndiyo fursa nzuri yakujenga Katiba Imara! Imara ambayo itawafunga watu ambao hamtaki wafungwe? Au nayo mtavunja kwa kumuomba Rais aingilie kati tena!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom