Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,176
- 10,068
Atakuwa anajifunza huko Namna ya Kuishi Kwa Upendo na Malaika anaowaongozaMwenyezi Mungu ni mkuu na hapangiwi ila kwa akili zetu za kibinadamu magufuli haikupaswa kufa ili ayashuhudie haya akiwa hai ili ajifunze thamani ya utu na upendo...