Mungu hapangiwi ila Magufuli alipaswa ayaone haya akiwa hai ajifunze

Mungu hapangiwi ila Magufuli alipaswa ayaone haya akiwa hai ajifunze

Ama kweli akutukanaye hakuchagulii tusi!!

Hivi Magufuli na kesi ya Mbowe anaingiaje? Hivi huyu mtu kumbe alikuwa anachukiwa namna hii??? Just imagine watu wanapambana na kaburi la Magufuli kila siku kutukanwa ni bora mwenyezi Mungu aliamua kumpumzisha Mzee was watu.

Sikutegemea kabisa kutajwa kwake kwenye kesi ya mchongo kama hii. Anayepaswa kukosolewa ati anapongezwa!!

Goja nikae kimya lakini ipo siku moja ukweli utajulikana!!
Real mkuu nilichojifunza wengi wetu ni ile tabia na huruka za kiafrika ndizo zinatamaraki.

Ukiwauliza wewe Magufuli alifanya nini kinachosababisha umchukie atakwambia unajua, ooh yule ali... 'Nothing'

👉🏾 Najifunza na ninaendelea kujifunza tabia ya binadamu.
 
Alipaswa kuona mfumuko wa Bei wa mafuta, mkate, Nondo na kadhalika, alipaswa kuona TOZO, alipaswa kuona ripoti ya Mto Mara kuwa maji yamechafuka na kinyesi na mikojo ya ng'ombe, alipaswa kuona bwawa la umeme la Nyerere wakipiga chenga nakuazisha mradi wa gesi.
 
Yaani muuwaji na mtesi wa watu ndio alifaa apongezwe!!!?
Watawala wote huua,mwangosi alikufa rais alikuwa nani?msitu wa mabwepande ulianza kujulikana rais alikuwa nani? Hivyo wakati mwingine kuua ni lzm.
 
Nilikuwa mmoja kati ya walioiombea heri Tz kuepuka mkono wa mabavu wa huyu bwana.
 
Watawala wote huua,mwangosi alikufa rais alikuwa nani?msitu wa mabwepande ulianza kujulikana rais alikuwa nani? Hivyo wakati mwingine kuua ni lzm.
Kweli ccm imetufikisha hapa, kufanya hata raia kuwa na roho mbaya.
 
Back
Top Bottom