Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
- Thread starter
- #41
Kama hujui magufuli ndie master mind wa hii kesi ya mchongo ila alikufa kabla hajaitekeleza ila matukio yote hayo yalipangwa wakati wake mama wawatu alikuta file mezani na wajanja wakamuingiza mke wa plan ya mtangulizi wake.
Alimfunga mbowe?