Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanataka sijui hizo hela tu,ifanyie nini?Na hela ni zako unatafuta kivyako anakuja mtakatifu anakuambia eti ni dhambi kuhonga mademu wakali ...
Kama hujaenjoy huyo dem, lakini ukie joy mbona full raha tuu roho imapata kitu inatakaPost nut clarity
Mto Ngono, KageraNGONO
Na Trump kasitisha misaada ya ARV,Unapomwaga mbegu, ndipo utagundua kwamba maisha siyo tu kuhusu NGONO.
Kuanzia mwanzo wa mazungumzo hadi mnapofika kitandani, na hata mkiwa juu ya kila mmoja, kila kitu kinahisi vizuri. Lakini mchezo hubadilika mara tu unapomwaga mbegu.
Unapomwaga mbegu, ndipo utagundua kuwa ulikuwa unafanya ngono na msichana asiyefaa.
Unapomwaga mbegu, ndipo utagundua kuwa hukuwa unampenda wala kumpenda kweli, bali ilikuwa tamaa ya mwili tu iliyokufanya ufikiri unampenda.
Unapomwaga mbegu, ndipo utagundua kuwa hata huhitaji uwepo wa huyo msichana katika maisha yako tena.
Unapomwaga mbegu, ndipo utagundua kuwa una ndoto za kufanikisha, na ndoto hizo ni muhimu zaidi kuliko NGONO.
Unapomwaga mbegu, ndipo utagundua kuwa ulikuwa unafanya ngono na kahaba na unapaswa kumpa sh 50000 kwa dakika tatu, la sivyo atakusumbua na kukuumbua hadharani.
Unapomwaga mbegu, ndipo utagundua kuwa umempatia mtu ujauzito hali ya kuwa huna uwezo wa kumudu maisha na inakubidi ujipange upya.
Unapomwaga mbegu, ndipo utagundua kuwa umepoteza pesa nyingi kwa kumchukua huyo msichana kutoka kwake, kumnunulia chakula na gharama nyinginezo, pesa ambazo ungeweza kutumia kwa maendeleo yako.
Unapomwaga mbegu, ndipo utagundua kuwa hujui hata hali ya kiafya ya mtu uliyefanya naye ngono, na pengine ni mtu uliyekutana naye kwa mara ya kwanza.
Ngono ni upumbavu kwa sababu inatufanya tusahau, inazima fikra zetu, na inatufanya wanaume tusite kufikiria. Tunakuwa tayari kuhatarisha kila kitu kwa ajili ya dakika tatu tu za kumwaga mbegu, jambo ambalo hutugharimu sana na kutuchelewesha katika mipango yetu.
Ikiwa ngono haitadhibitiwa ipasavyo, inaweza kutumaliza na kutunyang’anya kila kitu tunachokijenga maishani. Baadhi ya mambo yanaweza kuepukwa kwa kuweka hatua fulani za udhibiti wa hali.
Mwanaume mwenye nguvu ni yule anayeweza kudhibiti TAMA YAKE YA NGONO.
Na Trump kazuia msaada wa ARV mbona wengi watadondoka kama kumbikumbi, upande wangu sijawahi kuzidiwa akili na nyege, kichwa cha juu kinafanya kazi kuliko vichwa vyote.Unapomwaga mbegu, ndipo utagundua kwamba maisha siyo tu kuhusu NGONO.
Kuanzia mwanzo wa mazungumzo hadi mnapofika kitandani, na hata mkiwa juu ya kila mmoja, kila kitu kinahisi vizuri. Lakini mchezo hubadilika mara tu unapomwaga mbegu.
Unapomwaga mbegu, ndipo utagundua kuwa ulikuwa unafanya ngono na msichana asiyefaa.
Unapomwaga mbegu, ndipo utagundua kuwa hukuwa unampenda wala kumpenda kweli, bali ilikuwa tamaa ya mwili tu iliyokufanya ufikiri unampenda.
Unapomwaga mbegu, ndipo utagundua kuwa hata huhitaji uwepo wa huyo msichana katika maisha yako tena.
Unapomwaga mbegu, ndipo utagundua kuwa una ndoto za kufanikisha, na ndoto hizo ni muhimu zaidi kuliko NGONO.
Unapomwaga mbegu, ndipo utagundua kuwa ulikuwa unafanya ngono na kahaba na unapaswa kumpa sh 50000 kwa dakika tatu, la sivyo atakusumbua na kukuumbua hadharani.
Unapomwaga mbegu, ndipo utagundua kuwa umempatia mtu ujauzito hali ya kuwa huna uwezo wa kumudu maisha na inakubidi ujipange upya.
Unapomwaga mbegu, ndipo utagundua kuwa umepoteza pesa nyingi kwa kumchukua huyo msichana kutoka kwake, kumnunulia chakula na gharama nyinginezo, pesa ambazo ungeweza kutumia kwa maendeleo yako.
Unapomwaga mbegu, ndipo utagundua kuwa hujui hata hali ya kiafya ya mtu uliyefanya naye ngono, na pengine ni mtu uliyekutana naye kwa mara ya kwanza.
Ngono ni upumbavu kwa sababu inatufanya tusahau, inazima fikra zetu, na inatufanya wanaume tusite kufikiria. Tunakuwa tayari kuhatarisha kila kitu kwa ajili ya dakika tatu tu za kumwaga mbegu, jambo ambalo hutugharimu sana na kutuchelewesha katika mipango yetu.
Ikiwa ngono haitadhibitiwa ipasavyo, inaweza kutumaliza na kutunyang’anya kila kitu tunachokijenga maishani. Baadhi ya mambo yanaweza kuepukwa kwa kuweka hatua fulani za udhibiti wa hali.
Mwanaume mwenye nguvu ni yule anayeweza kudhibiti TAMA YAKE YA NGONO.
Akili haisimami kufanya kazi, mnajiendekeza kwenye hatari za kipumbavupamoja na kujua yote hayo baada ya kumwaga, kesho utarudia. When it comes to sex,akili huwa ina cease kufanya kazi halafu inarudi baada ya kumwaga.
Unapozungumzia matokeo anagalia sana na chanzo. Huwezi kutafta shimo la kumwaga mbegu bila kuwa na kitu kinaitwa "NYEGE". Sasa pengine ungetoa suluhisho mtu akabiliane vipi na nyege?
Huo uaminifu utaupataje ikiwa kila mtu ana interests zake kwenye mahusiano.Awe na mpenzi mmoja na wote wawili wawe waaminifu, hakuna kingine
Ndo tunatakiwa tuwe na interest nzuri, siyo za ajabu ajabuHuo uaminifu utaupataje ikiwa kila mtu ana interests zake kwenye mahusiano.
Njoo nikuuzieKwa nini msiende kuziuza 🤭
Kila mtu ana aina ya Mbegu anazozitaka. Itabidi nikuone kwanza ili nichague 😅😅mbegu za online sitakiNjoo nikuuzie
Mi ni tall na black karibu upate mtoto mrefu mzuri mzuri shaurilo 😁😁😁Kila mtu ana aina ya Mbegu anazozitaka. Itabidi nikuone kwanza ili nichague 😅😅mbegu za online sitaki
😅😅😅😅😅 nadhani itakuwa ni “BIG NO” 😅😅😅hii ni mbegu ya wanaojitafuta 😅😅Mi ni tall na black karibu upate mtoto mrefu mzuri mzuri shaurilo 😁😁😁
Mbegu za kimaasai og kabisa
Wee mwanamke kwa kupenda hela hapanaa kwa kweli umezidi mi nakuacha sitakaa nikusumbue tena😅😅😅😅😅 nadhani itakuwa ni “BIG NO” 😅😅😅hii ni mbegu ya wanaojitafuta 😅😅