Mungu hawasaidie sana watoto wa kiume tamaa inawamaliza

Na hela ni zako unatafuta kivyako anakuja mtakatifu anakuambia eti ni dhambi kuhonga mademu wakali ...
Wanataka sijui hizo hela tu,ifanyie nini?
Matu.izi ya hela kwa mwanau.e ni kuhonga mademu wazuri wakupee mbususu basi.
 
Na Trump kasitisha misaada ya ARV,
Na Trump kazuia msaada wa ARV mbona wengi watadondoka kama kumbikumbi, upande wangu sijawahi kuzidiwa akili na nyege, kichwa cha juu kinafanya kazi kuliko vichwa vyote.

Natumia kinga tu, lasivyo tupime HIV na Hepatitis B(homa ya ini ambayo ni hatari kuliko hiyo HIV mnayoiogopa). Tusiweke uhai wetu hatari kwaajili ya mambo ya kipumbavu.
 
pamoja na kujua yote hayo baada ya kumwaga, kesho utarudia. When it comes to sex,akili huwa ina cease kufanya kazi halafu inarudi baada ya kumwaga.
Akili haisimami kufanya kazi, mnajiendekeza kwenye hatari za kipumbavu
 
Awe na mpenzi mmoja na wote wawili wawe waaminifu, hakuna kingine
Unapozungumzia matokeo anagalia sana na chanzo. Huwezi kutafta shimo la kumwaga mbegu bila kuwa na kitu kinaitwa "NYEGE". Sasa pengine ungetoa suluhisho mtu akabiliane vipi na nyege?
 
Mi ni tall na black karibu upate mtoto mrefu mzuri mzuri shaurilo 😁😁😁

Mbegu za kimaasai og kabisa
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… nadhani itakuwa ni β€œBIG NO” πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…hii ni mbegu ya wanaojitafuta πŸ˜…πŸ˜…
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… nadhani itakuwa ni β€œBIG NO” πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…hii ni mbegu ya wanaojitafuta πŸ˜…πŸ˜…
Wee mwanamke kwa kupenda hela hapanaa kwa kweli umezidi mi nakuacha sitakaa nikusumbue tena


Byee πŸ‘‹πŸ‘‹πŸ«·πŸ‘‹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…